ubora wa rcva unalinganishwa na specs. Str4922 is second to none( g6 na q11g). Kwa sw tangu g6 na qsat zimetengenezwa hakuna update. Mana yake nini. Rcva zilizotengenezwa mwanzo pa1 na mapungufu yao ziko vile vile? Hizo sw za kufungua paytvs haziongezi ubora wa rcva. Nikikonect g6 kwenye strong naona nafaidi zaidi kuliko nikii2mia rcva yenyewe 1 kwa 1. Nikichoka kuangalia picha nackili internet radio mpaka za bongo kama radio maria, radio mbao, zilizopendwa, mtwara fm, radio one na nyingine nyingi kibao. Kwa kweli mwenzenu ukitoa avatarcam g6 naiona rcva ya kawaida tu. Mpaka sasa rcva za kichina zenye updates ni openbox na skybox tu.