Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,198
- 3,950
Mawifi Mungu anawaona...Acha kabisa mkuu tuliobahatika kuwa na madada wengi na mashangazi ni changamoto kubwa mno,nilimpenda fupi nyundo wangu mmoja aisee ni shida,mi binafsi nawapenda wanawake wafupi huwa naamini hata kina ya ile kitu ni fupi.
Sasa basi akaja msibani yaani alitolewa kasoro mtoto wa watu,eti ninaulizwa mfuko wa simenti na yeye kipi kirefu,kuna muda nilikua simuoni na simu haipatikani kumuulizia yuko wapi nikaambiwa nimuangalie nyuma ya jiko la gesi.
Ila nipo nadunda nae na ana akili ya maisha hadi basi ukijumlisha na anavyoifinyiaga kwa ndani basi tuuu
" ........eti mtafute nyuma ya mtungi wa gas"