Ulipata changamoto gani katika kumtambulisha mwenza katika familia yako?

Ulipata changamoto gani katika kumtambulisha mwenza katika familia yako?

Uko sahihi kabisa mwanamke akipata mimba ya mwanaume ambae hampendi lazima aitoe.

Mm mtaniona mnafiki nimemshauri asimuoe hicho ni kiwanja chenye mgogoro.wakigombana tu anamtafuta baba mtoto kisiri, akiishiwa hela anaomba matumizi kisiri, kwani wanawake wameisha??

Ila mwanaume aliezaa nje haina shida
Hata yeye kupasha kiporo kwa baby mama si yale yale
 
Kama una mpenda kwa dhati na familia inakuheshimu, huna sababu ya kuhofia, ila kama huna nia naye ya dhati, mwache na maisha yake.
 
Wakuu tupo pamoja.

Mimi hapa nina mwanamke mmoja bwana ana mtoto mmoja ila sio wangu nataka kumuoa, nimeridhia kabisa na nimempenda mwanamke licha ya kuwa na mtoto, ila kipengele kinakuja kwenye familia sidhani kama watanielewa! na hata kama watanielewa sidhani kama watatoa ushirikiano ipasavyo...navyoona wataniona bwege la kutupwa kulingana na uchaguzi wangu...yaani naona uchumba hapo ndio kizingiti kilipo na utafia hapo! hapa nawaza tu nimwambie mchumba aendelee na maisha yake nisimpotezee muda au nikaushe tu, tatizo ninampenda sitaki kabisa kuachana naye.

Nikimwambia ugumu utakaokuwepo nahisi ndio itakuwa mwisho wa mahusiano na mimi bado namhitaji...haya nikisema kumwambia baadae nitakuwa nimempotezea muda, yaani ni kizunguzungu, ninachojua familia yangu haitopendezwa kabisa mimi kuoa mwanamke aliye na mtoto wa mtu mwingine, ila mimi ndio nimeshampenda.

haya endapo nikimwambia kuwa hilo suala la yeye kuwa na mtoto tulifiche, itakuwa sio rahisi maana kutakuwa na muingiliano wa familia na itajulikana tu.

Je Mwanamke au Mwanaume ni changamoto gani ulipitia katika kumtambulisha Mwenza wako katika familia yako yaani baba mama na ndugu zako?

Tiririka kisa chako tupate uzoefu, naamini sio mimi tu niliyepo katika hili.
Fanya kitu roho yako inapenda , ukitaka kufanya kitu kwa kuangalia watu , utafeli mkuu .
Nakwambia tena utafeli mkuu
 
Mkuuu...simama kwenye msimamo wako... Wewe ndo unaenda kuishi nae

Kama unampenda..mtetee na waoneshe mazuri yake.. na Stand firm in what you believe..nawala usitetereke
Tatizo wanataka wafate ndugu wanachowaambia wakati wao ndo wanaenda kuishi nao bila kujua msimamo ndo kila kitu.
 
Game linaanza ushafungwa 1-0. Hatari hii, labda mzazi mwenzake awe ametangulia, otherwise unaanza matatizo kabla hata hujaingia kwa ndoa.
 
Acha mihemko kama kijana under 25.

Fanya utafiti kisha Fanya maamuzi.

Ungekuwa mdogo wangu sidhani ungefikiria upumbavu kama huo.

Au umeanza mapenzi ukubwani
Atakua Bikra wa kiume si wewe ndio ulishauri watu waanzane wakioana?
 
We si unaongea, kuna mguso wa pekee kwa kila mwanamume! Katika watu waliokupitia yupo ambae unajua ukweli nafsini mwako kuwa hata sasa akikuhitaji akakomaa umpe huwezi mnyima[emoji38]
Sio kweli
 
Wakuu tupo pamoja.

Mimi hapa nina mwanamke mmoja bwana ana mtoto mmoja ila sio wangu nataka kumuoa, nimeridhia kabisa na nimempenda mwanamke licha ya kuwa na mtoto, ila kipengele kinakuja kwenye familia sidhani kama watanielewa! na hata kama watanielewa sidhani kama watatoa ushirikiano ipasavyo...navyoona wataniona bwege la kutupwa kulingana na uchaguzi wangu...yaani naona uchumba hapo ndio kizingiti kilipo na utafia hapo! hapa nawaza tu nimwambie mchumba aendelee na maisha yake nisimpotezee muda au nikaushe tu, tatizo ninampenda sitaki kabisa kuachana naye.

Nikimwambia ugumu utakaokuwepo nahisi ndio itakuwa mwisho wa mahusiano na mimi bado namhitaji...haya nikisema kumwambia baadae nitakuwa nimempotezea muda, yaani ni kizunguzungu, ninachojua familia yangu haitopendezwa kabisa mimi kuoa mwanamke aliye na mtoto wa mtu mwingine, ila mimi ndio nimeshampenda.

haya endapo nikimwambia kuwa hilo suala la yeye kuwa na mtoto tulifiche, itakuwa sio rahisi maana kutakuwa na muingiliano wa familia na itajulikana tu.

Je Mwanamke au Mwanaume ni changamoto gani ulipitia katika kumtambulisha Mwenza wako katika familia yako yaani baba mama na ndugu zako?

Tiririka kisa chako tupate uzoefu, naamini sio mimi tu niliyepo katika hili.
Cheki na polepole atakushauri vizuri
 
Wakuu tupo pamoja.

Mimi hapa nina mwanamke mmoja bwana ana mtoto mmoja ila sio wangu nataka kumuoa, nimeridhia kabisa na nimempenda mwanamke licha ya kuwa na mtoto, ila kipengele kinakuja kwenye familia sidhani kama watanielewa! na hata kama watanielewa sidhani kama watatoa ushirikiano ipasavyo...navyoona wataniona bwege la kutupwa kulingana na uchaguzi wangu...yaani naona uchumba hapo ndio kizingiti kilipo na utafia hapo! hapa nawaza tu nimwambie mchumba aendelee na maisha yake nisimpotezee muda au nikaushe tu, tatizo ninampenda sitaki kabisa kuachana naye.

Nikimwambia ugumu utakaokuwepo nahisi ndio itakuwa mwisho wa mahusiano na mimi bado namhitaji...haya nikisema kumwambia baadae nitakuwa nimempotezea muda, yaani ni kizunguzungu, ninachojua familia yangu haitopendezwa kabisa mimi kuoa mwanamke aliye na mtoto wa mtu mwingine, ila mimi ndio nimeshampenda.

haya endapo nikimwambia kuwa hilo suala la yeye kuwa na mtoto tulifiche, itakuwa sio rahisi maana kutakuwa na muingiliano wa familia na itajulikana tu.

Je Mwanamke au Mwanaume ni changamoto gani ulipitia katika kumtambulisha Mwenza wako katika familia yako yaani baba mama na ndugu zako?

Tiririka kisa chako tupate uzoefu, naamini sio mimi tu niliyepo katika hili.
Mrejesho
 
Back
Top Bottom