We si unaongea, kuna mguso wa pekee kwa kila mwanamume! Katika watu waliokupitia yupo ambae unajua ukweli nafsini mwako kuwa hata sasa akikuhitaji akakomaa umpe huwezi mnyima😆Mi hata tuzae watoto kumi tukiachana, hamna cha kiporo wala cha leo leo
Kweli tumetofautiana
Una stand firm kuhalalisha mke then baadae anageuka malaya na kukuletea stress katika ndoa...K.K.S!!!Wanawake bwana!
Jamani jamani mbona wana dhambi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyuma ya jiko la gesiAcha kabisa mkuu tuliobahatika kuwa na madada wengi na mashangazi ni changamoto kubwa mno,nilimpenda fupi nyundo wangu mmoja aisee ni shida,mi binafsi nawapenda wanawake wafupi huwa naamini hata kina ya ile kitu ni fupi.
Sasa basi akaja msibani yaani alitolewa kasoro mtoto wa watu,eti ninaulizwa mfuko wa simenti na yeye kipi kirefu,kuna muda nilikua simuoni na simu haipatikani kumuulizia yuko wapi nikaambiwa nimuangalie nyuma ya jiko la gesi.
Ila nipo nadunda nae na ana akili ya maisha hadi basi ukijumlisha na anavyoifinyiaga kwa ndani basi tuuu
Si rahisi kumgeuza mwanamke mpenda variates za dushe! Aidha mwanamke akiwa anatafuta ni hatari, atasupply K kinoma; atanyenyekea au hata kama huna hela atauza k ili akupe wewe pesa. Ila akishaolewa hapo ndipo utamjua. Huyu Gustavo Gaviria kama hachangamshi jukwaa, basi singeli mazeri kambamba haswa. Utaoaje watu wawili yaani mama na mtoto. Wenzako wanaoa mmoja wewe wawili. Huo ni (malizia)Una stand firm kuhalalisha mke then baadae anageuka malaya na kukuletea stress katika ndoa...K.K.S!!!
Wanawake sio wa kuwalia yamini...Wanazingua sana aisee!!! Mwanamke anaweza kukuigizia ni malaika ilimradi tu umuoe. Atakavyokuchenjia ni hatari 😝😝😝Si rahisi kumgeuza mwanamke mpenda variates za dushe! Aidha mwanamke akiwa anatafuta ni hatari, atasupply K kinoma; atanyenyekea au hata kama huna hela atauza k ili akupe wewe pesa. Ila akishaolewa hapo ndipo utamjua. Huyu Gustavo Gaviria kama hachangamshi jukwaa, basi singeli mazeri kambamba haswa. Utaoaje watu wawili yaani mama na mtoto. Wenzako wanaoa mmoja wewe wawili. Huo ni (malizia)
Mkuu we acha tu! Sasa mtoto akikua kama ni mvulana atakuchapa tu. Akiwa binti, uwezekano wa kumbikiri ni mkubwaWanawake sio wa kuwalia yamini...Wanazingua sana aisee!!! Mwanamke anaweza kukuigizia ni malaika ilimradi tu umuoe. Atakavyokuchenjia ni hatari 😝😝😝
Sawa mkuuKomaa naee tu
mbona hatariMkuu we acha tu! Sasa mtoto akikua kama ni mvulana atakuchapa tu. Akiwa binti, uwezekano wa kumbikiri ni mkubwa
Sikupingi ila tambua hicho ni kiwanja chenye mgogorobado sijachaguliwa kabisa na siwezi kuchaguliwa, napata tu contradictions kichwani.
Hehe hehe hakuna narudia hakunaWe si unaongea, kuna mguso wa pekee kwa kila mwanamume! Katika watu waliokupitia yupo ambae unajua ukweli nafsini mwako kuwa hata sasa akikuhitaji akakomaa umpe huwezi mnyima[emoji38]
duh mgogoro mbona kama wote!Sikupingi ila tambua hicho ni kiwanja chenye mgogoro
1,rafiki yangu aliolewa akiwa na mimba mwanaume akahaidi kumhudumia mtoto, mtoto kazaliwa mme kabadilika na vile mtoto ni wa kiume mapenzi yamepungua kwa huyo shoga yangu. Mme hataki kutoa matumizi ya mtoto sasa mm ndo natumika kumbembeleza bava mtoto halisi atume matumizi
2.Ndani ya familiya yetu kabisa kuna binti aliolewa na mtoto mwanzo wa ndoa full mahaba tukafurahi ndogo wetu kapata mme na kampenda mtoto ambae sio wake.tukasema asante yesu. Aiiiiiii nachokwambia sasa hivi huyo mtoto kawa kikwazo mwanaume hampendi kama mwanzo.
Mbaya zaidi waliamua kuwaficha wazazi wa mme, ila tambua pembe la ng'ombe halifichiki, wazazi wamejua, ni vurugu pande zote. Mke/ yaan mdogo wetu hapumui akienda sehemu basi ni kumsingizia kaenda kukutanda na mzazi mwenzi wakati hawana hata mawasiliano.
Mleta mada natamani umuoe huyo dada ila kwa afya ya familiya yako aiseee sikushauri, labda na wewe kama una mtoto hapo sawa.utaweza kuwaconvice wazazi. Lakini pia usije kujipendekeza mtoto utamlea yakikushinda ukashindwa kumuhudumia mkeo akalazimika kuomba matumizi kwa mzazi mwenzie usije kutuchosha haoa kutaka ushauri, wakati unajua incase wakikutana lazima angegede.
Hicho ni kiwanja cha urithi mgogoro kama wote pambana.
Nafikiri hii ni option nzuriKaka yangu alimpachika mimba kwanza akazaa mtoto kisha akampeleka nyumbani kwa wazazi akiambatana na mwanae aliyemkuta, japo ilileta maneno kiasi lakini alikubalika kwa urahisi zaidi kuliko ambavyo asingezaa nae kwanza
Dah,hongera kwa ujasiri..."em muangalie nyuma ya jiko LA gesi". Watu wanadharau sanaAcha kabisa mkuu tuliobahatika kuwa na madada wengi na mashangazi ni changamoto kubwa mno,nilimpenda fupi nyundo wangu mmoja aisee ni shida,mi binafsi nawapenda wanawake wafupi huwa naamini hata kina ya ile kitu ni fupi.
Sasa basi akaja msibani yaani alitolewa kasoro mtoto wa watu,eti ninaulizwa mfuko wa simenti na yeye kipi kirefu,kuna muda nilikua simuoni na simu haipatikani kumuulizia yuko wapi nikaambiwa nimuangalie nyuma ya jiko la gesi.
Ila nipo nadunda nae na ana akili ya maisha hadi basi ukijumlisha na anavyoifinyiaga kwa ndani basi tuuu
hahaa wacha mkuuNafikiri hii ni option nzuri
Uzi wa single mothers kutesa huu[emoji23]
Uko sahihi kabisa mwanamke akipata mimba ya mwanaume ambae hampendi lazima aitoe.Hahahah shida ni ubinafsi wa wanawake tu kuwa resources zinatakiwa zimfikie na mtoto ambaye hujamzaa wewe!
Hapo tu ndio mna tatizo napo, ila hebu waza which is the worst scenario kati ya baba kumlea mtoto wake wa damu au kulea mtoto wako uliozalishwa na mwanaume mwengineo ambaye yuko irresponsible?
The worst part still atakulaghai ili akugonge kwa siri mnaendeleza kamchezo ka kupasha kiporo sababu kimsingi kama mwanamke hakubakwa obvious alizaa na mwanaume anayempenda. Hamna mwanamke anazaa na mtu ambaye hampendi isipokuwa kwa ugumu wa maisha tu! Ndio maana kesi za kupasha viporo haziishi
Yap haifaiUko sahihi kabisa mwanamke akipata mimba ya mwanaume ambae hampendi lazima aitoe.
Mm mtaniona mnafiki nimemshauri asimuoe hicho ni kiwanja chenye mgogoro.wakigombana tu anamtafuta baba mtoto kisiri, akiishiwa hela anaomba matumizi kisiri, kwani wanawake wameisha??
ni kweli naona hiki kiwanja kina mgogoroUko sahihi kabisa mwanamke akipata mimba ya mwanaume ambae hampendi lazima aitoe.
Mm mtaniona mnafiki nimemshauri asimuoe hicho ni kiwanja chenye mgogoro.wakigombana tu anamtafuta baba mtoto kisiri, akiishiwa hela anaomba matumizi kisiri, kwani wanawake wameisha??
a
Hahahah hilo mbona simple kwanza wala hutakiwi kulizungumzia [emoji23] maana utachekwa bure.
Mwanamume hata baba yako huenda ana ndugu yenu aliozaa na mwanamke tofauti na mama yenu pengine enzi za ujana. What matters ni kwamba anaanza mfumo rasmi wa maisha na wewe. Wazazi wata bless tu wala halina shida unless uwe na wazazi ma complicator au wawe hawajamuelewa mchumba wako so watumie kama sababu ya kum diss.