Ulipata milioni yako ya kwanza ukiwa na umri gani?

Huwezi kukaa meza moja na mimi na milioni yako ya 2025 sisi tuliishika milioni ya mwaka 2000
Huo ni wakati ambao milioni ilikuwa ni milion kweli kweli
haha kwamba unajimwambafy au sio, sawa mkuu nakubali daima watu hatufanani huo ulikuwa wakati wako na sisi ni wakati wetu.
Two people can be equal but not the same, two people can be the same but not equal.
 
Dah ila haya maisha mimi ningeipata nikiwa na 20 maybe ila yule mwanamke akanichelewesha hadi tulipoachana nikiwa na 21 nikashika 1m yangu ya kwanza.

Yaweza kuonekana ni hela ndogo ila kwa mimi kiukweli na maisha niliyotokea without any backup nikafikisha 7digits za kwangu kwa kudunduliza na sio za kuotea au kupewa asee was a miracle.
 
hio ni hatua kubwa sana maishani.
 
Nikiwa na 15 yrs…
Mwanaume atakayebishia comment yangu namtongoza…!! 😹😹😹
 
Nikiwa na 15 yrs…
Mwanaume atakayebishia comment yangu namtongoza…!!
hahaha unanitaka unanipenda basi ntongoze, hela ya kodi nainywea pombe....
ila Lamomy πŸ˜€ Ladady yuko wapi
 
Ok, nikajua wakiona details ziko sawa watajua unafungua nyingine baada kufanya uharibifu kule.
Hakuna kitu kama hicho mkuu siku wakijichanganya vi milion viwili au vitatu unapita nazo tu then unafungua a/c nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…