Huwezi kukaa meza moja na mimi na milioni yako ya 2025 sisi tuliishika milioni ya mwaka 2000Kwema wakuu!
Uliweza kupata milioni moja (Tsh 1,000,000) yako ya kwanza ukiwa na umri gani? Ulifanya kazi gani,uliuza nini ukaipata? Unaweza pia kushare uliitumiaje?
haha kwamba unajimwambafy au sio, sawa mkuu nakubali daima watu hatufanani huo ulikuwa wakati wako na sisi ni wakati wetu.Huwezi kukaa meza moja na mimi na milioni yako ya 2025 sisi tuliishika milioni ya mwaka 2000
Huo ni wakati ambao milioni ilikuwa ni milion kweli kweli
Hapana nilifungua tena bank hio hio sikubadili.ππππMkuu umenichekesha! kwahiyo ukahama bank ukaenda kufungua account bank nyingine??
hio ni hatua kubwa sana maishani.Dah ila haya maisha mimi ningeipata nikiwa na 20 maybe ila yule mwanamke akanichelewesha hadi tulipoachana nikiwa na 21 nikashika 1m yangu ya kwanza.
Yaweza kuonekana ni hela ndogo ila kwa mimi kiukweli na maisha niliyotokea without any backup nikafikisha 7digits za kwangu kwa kudunduliza na sio za kuotea au kupewa asee was a miracle.
Sasa hawakukukamata mkuu maana jina ni hilohiloHapana nilifungua tena bank hio hio sikubadili.
sijakamatwa sasa nikamatwe kwani mimi mwizi.? Bank hakunaga cha kufanana majina wao wanadeal na a/c tu.Sasa hawakukukamata mkuu maana jina ni hilohilo
Ok, nikajua wakiona details ziko sawa watajua unafungua nyingine baada kufanya uharibifu kule.sijakamatwa sasa nikamatwe kwani mimi mwizi.? Bank hakunaga cha kufanana majina wao wanadeal na a/c tu.
Hakuna kitu kama hicho mkuu siku wakijichanganya vi milion viwili au vitatu unapita nazo tu then unafungua a/c nyingine.Ok, nikajua wakiona details ziko sawa watajua unafungua nyingine baada kufanya uharibifu kule.
ππSi itokee basi hiyo neema kwangu namimi nije kucoment hapa!Hakuna kitu kama hicho mkuu siku wakijichanganya vi milion viwili au vitatu unapita nazo tu then unafungua a/c nyingine.
hio ni nadra sana mimi ilikua 2016 hadi leo haikujirudia tenaππSi itokee basi hiyo neema kwangu namimi nije kucoment hapa!