Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Japo sikufurahishwa na uongozi wake lakini nilihuzunika ile kibinaadam, ajabu nikasikia mziki mkubwa na sauti za watu kama wanasheherekea hivi kuna Bar kubwa ipo ng'ambo ya Barabara ikabidi nitoke nikajionee wanashangilia ama Wanalia? Lahaulaaa walikua wanashangilia wanamwaga bia, wanacheza mziki, nikasema ama kweli kwenye hii Dunia ishi vizuri na Watu.