Ulipokea vipi Msiba wa Hayati Magufuli?

Ulipokea vipi Msiba wa Hayati Magufuli?

Japo sikufurahishwa na uongozi wake lakini nilihuzunika ile kibinaadam, ajabu nikasikia mziki mkubwa na sauti za watu kama wanasheherekea hivi kuna Bar kubwa ipo ng'ambo ya Barabara ikabidi nitoke nikajionee wanashangilia ama Wanalia? Lahaulaaa walikua wanashangilia wanamwaga bia, wanacheza mziki, nikasema ama kweli kwenye hii Dunia ishi vizuri na Watu.
 
Wakati tukiwa kwenye kipindi cha Kumbu kumbu cha msiba wa hayati Dr John Pombe Magufuli Rais wa JMT awamu ya tano tuambizane wewe ndugu yangu huko uliko taarifa za musiba ulizipataje na ulipokea vipi msiba mzito wa kuondokewa na rais wa Tanzania?

View attachment 2551830

Ilikuwa ni habari ya kusikitisha kwa Watanzania kwa mara ya kwanza kumpoteza Rais Kipenzi akiwa madarakani na pengine Afrika Mashariki nzima.
Akili ili-jam ikashindwa kulitafsiri tukio la msiba huo. Macho yangu yalikuwa yanaona watu wanaomboleza lakini akili bado ilikuwa haiwezi kukubaliana na ukweli huo. Kwa upande mwingine tena macho hayo hayo yaliyokuwa yanawaona waombolezaji, yalikuwa yanapeleka signal kwenye ubongo kwamba hayupo huku akili ikiwa imegoma kuupokea ukweli huo

Imeenda hivyo hadi ukapita muda mrefu na hatimaye kujikuta niko tu kwenye hali ya kujua kuwa hayupo, ila akili yangu haikuwahi kulipokea tukio hilo.

Kwa hiyo kwa maana nyingine, kwa upande wangu mimi ni kwamba sikuwahi kuupokea msiba wa Rais wangu mpendwa JPM; akili iliukataa kwamba haukuwa halisi; I LOVED JPM (RIP)
 
Akili ili-jam ikashindwa kulitafsiri tukio la msiba huo. Macho yangu yalikuwa yanaona watu wanaomboleza lakini akili bado ilikuwa haiwezi kukubaliana na ukweli huo. Kwa upande mwingine tena macho hayo hayo yaliyokuwa yanawaona waombolezaji, yalikuwa yanapeleka signal kwenye ubongo kwamba hayupo huku akili ikiwa imegoma kuupokea ukweli huo

Imeenda hivyo hadi ukapita muda mrefu na hatimaye kujikuta niko tu kwenye hali ya kujua kuwa hayupo, ila akili yangu haikuwahi kulipokea tukio hilo.

Kwa hiyo kwa maana nyingine, kwa upande wangu mimi ni kwamba sikuwahi kuupokea msiba wa Rais wangu mpendwa JPM; akili iliukataa kwamba haukuwa halisi; I LOVED JPM (RIP)
Ama kweli ulikuwa msiba mzito
 
mbeba box weeeee unadhani una dhamani sawa na mimi ninaeishi kwenye nchi yangu huna lolote mkimbizi wewe huna lolote 😕 nasisitiza tena hata wewe utakufa hata kama hujawahi kua,kutesa wala kudhulumu na wabaya wako watakunanga pia Mungu ni wetu sote siku yako yaja hakikisha umejiandaa kuliko kuhukumu wenzako wakati na wewe njia ni hiyo hiyo
Mbona na hilo jibwa halikufia kijijini kwake Chato?
Ukiishi kiudhalimu utanangwa tu so frustrations zako za kufiwa jiliwaze na chawa wenzako, kuwa chawa wa maiti that's total ridiculous.
All in all kila mja anavuna alichopanda, Jiwe anavuna udhalimu aliofanyia watu.
 
Ilinikuta hivi kwa furaha
 

Attachments

  • VID-20230102-WA0028.mp4
    5.1 MB
Back
Top Bottom