Ulipokea vipi Msiba wa Hayati Magufuli?

Ulipokea vipi Msiba wa Hayati Magufuli?

Hata yule mwovu anapendwa sana na watu wa aina yake au wasiomjua vyema kuwa ni mwaribifu mkuu
Mbona ata hao wazuri walio hai leo awapendwi hivyo.

Magufuli aliwagusa wananchi kipekee.

Hii ni serikali nyingine na kazi ya mungu aina makosa. Sioni sababu ya kumsakama marehemu kama itaondoa ukweli.

Na hakuna ubaya watu kuzungumzia mema na mabaya ya leo ni sehemu ya kuwa kiongozi.
 
Watoto wa juzi mna tabu sana, hivi wakati wa msiba wa Mchonga ulikuwa na umri gani? Huu msiba wa Jiwe ambao majority tulishangilia huo ulikuwa msiba au ilikuwa sherehe?
hakuna majority yoyote usidanganye watu watanzania walihuzunika mno acha uongo mpaka kwa uchache wenu mlikuwa mnamuonea wivu marehemu jinsi watu walivyoshiriki kwa majonzi na kuonyesha mapenzi ya dhati
 
Maajabu hata sisi ughaibuni tulipata taarifa(zisizo rasmi) kuanzia tarehe 9 lakini ikawa ukiuliza wengine wanaingizwa mkenge na wanasiasa(akina Kassim Majaliwa) kwamba mwehu bado yuko hai na Corona anaikabili kwa ndimu, vitunguu na tangawizi [emoji38][emoji38].
wewe komaa na kubeba mabox huko ughaibuni houseboy/girl mkuu kumbe hata Tanzania hukuwepo na wala hujui lolote nahisi ulikuwa unaangalia page ya kigogo hujui hata nini kilikuwa kinaendelea kwenye mitaa na vitongoji nchini Tanzania

endelea kuwa fala kwenye nchi za watu mtumwa wewe 😎
 
Wewe kama wewe acha kusemea watu wengine ambao hujui nafsi zao ispokuwa Mola wetu mlezi tu.
Mungu aipokee roho yake mahali pema peponi. Ndicho nachoweza kusema, kwani sisi sote ni wa Mungu na Kwake tutarudi, kila moja kwa wakati na namna yake.
Namshukuru Mungu kwa kuwa naye
 
wewe komaa na kubeba mabox huko ughaibuni houseboy/girl mkuu kumbe hata Tanzania hukuwepo na wala hujui lolote nahisi ulikuwa unaangalia page ya kigogo hujui hata nini kilikuwa kinaendelea kwenye mitaa na vitongoji nchini Tanzania

endelea kuwa fala kwenye nchi za watu mtumwa wewe 😎
Acha kutukana hata kama ukitukanwa
 
Wakati tukiwa kwenye kipindi cha Kumbu kumbu cha musiba wa hayati Dr John Pombe Magufuli Rais wa JMT awamu ya tano tuambizane wewe ndugu yangu huko uliko taarifa za musiba ulizipataje na ulipokea vipi msiba mzito wa kuondokewa na rais wa Tanzania?

Ilikuwa ni habari ya kusikitisha kwa Watanzania kwa mara ya kwanza kumpoteza Rais Kipenzi akiwa madarakani na pengine Afrika mashariki nzima.

Nilipokea kwa furaha sana.
 
Nilikuwa nimekaa kwenye kochi sebuleni nikapokea simu ya taarifa hiyo.

Nilikaa nikitafakari kwa muda then nikakubali nikasimama nikatoka nje kwenda kupunga upepo.
 
hayo yamepangwa mkuu. kazuie hata msafara wa DC uone kitakachokutokea
Vipi maongezi ya hao wanao record na mbona awakujua kama wananchi watavamia barabara ghafla.

Ata mimi nilitaka kuamini sinema, ila walinzi wake pia awakuwa tayari imebidi washuke haraka kwenye magari yao kukimbilia gari lake baada ya kuona limesha zingirwa.
 
Vipi maongezi ya hao wanao record na mbona awakujua kama wananchi watavamia barabara ghafla.

Ata mimi nilitaka kuamini sinema, ila walinzi wake pia awakuwa tayari imebidi washuke haraka kwenye magari yao kukimbilia gari lake baada ya kuona limesha zingirwa.
yote hayo yanapangwa tu. huwezi huwezi huwezi kuzuia msafara wa raisi
 
Nilikuwa nimekaa kwenye kochi sebuleni nikapokea simu ya taarifa hiyo.

Nilikaa nikitafakari kwa muda then nikakubali nikasimama nikatoka nje kwenda kupunga upepo.
Jasho lilikutoka. Pole sana Ndugu Stroke. Zilikuwa ni habari za kushtusha mno.
 
Siku huzunika sana ila huenda ilikuwa siku Mbaya sana kwa Sabaya,Sabufa na Makonda maana walimuona ni kama Mungu wao
 
yote hayo yanapangwa tu. huwezi huwezi huwezi kuzuia msafara wa raisi
Wanaposimama magari yanayoongoza njia ayaendi mbali vile na msafara, ata huyo anae-record unamsikia akisema inabidi waliotangulia warudi.

Unaona pia heka heka za walinzi wake awakuwa tayari for stop over mpaka gari limezingirwa.

Video inajitosheleza yenyewe ni ghafla, but then you are entitled to your own interpretation of the incident.
 
Wakati tukiwa kwenye kipindi cha Kumbu kumbu cha musiba wa hayati Dr John Pombe Magufuli Rais wa JMT awamu ya tano tuambizane wewe ndugu yangu huko uliko taarifa za musiba ulizipataje na ulipokea vipi msiba mzito wa kuondokewa na rais wa Tanzania?

Ilikuwa ni habari ya kusikitisha kwa Watanzania kwa mara ya kwanza kumpoteza Rais Kipenzi akiwa madarakani na pengine Afrika mashariki nzima.
M nilifurahi sana. Nilitaman afufuke alaf afe tena nifurahi kwa mara ya pili [emoji2]
 
Chukulia mpaka lea Magufuli angekuwepo, wangekuwa wamefungwa watu wangapi?wangekuwa wameuwawa wangapi?muwe mnalifikilia na hilo,Wacha mama aiponye inchi
Ndiyo mafisadi na wanasiasa uchwara wangeona Tanzania kuwa chungu.huyo Mama alipoingia gharama za maisha zilipanda sana.mtanzania hajali Kama mbowe kafanya mikutano au la anachojali ni mahitaji yake muhimu kama vyakula NK.
 
Full shangwe[emoji3][emoji16][emoji3][emoji16][emoji3][emoji6][emoji1787][emoji2][emoji1]
 
Wakati tukiwa kwenye kipindi cha Kumbu kumbu cha musiba wa hayati Dr John Pombe Magufuli Rais wa JMT awamu ya tano tuambizane wewe ndugu yangu huko uliko taarifa za musiba ulizipataje na ulipokea vipi msiba mzito wa kuondokewa na rais wa Tanzania?

Ilikuwa ni habari ya kusikitisha kwa Watanzania kwa mara ya kwanza kumpoteza Rais Kipenzi akiwa madarakani na pengine Afrika mashariki nzima.

Sintosahau watu walivyokua busy na TV mara ya kwanza ile ya uvumi wa kifo chake alafu akatokea na ile song ya Hauwezi kushindana na mwanadamu mwenye kinywa [emoji28]
Pale ndo alikua amesubiriwa aondoke, hii nyingine watu walikua wanajiuliza rumors kweli ama si kweli?
I remember nilifurahi kama wengine lakini nikalia kama binadamu cos at the end of the day hakuna binadamu mkamilifu na sisi ni nani kumuhesabia dhambi?
Plus kuna watoto wake pia ambao walipoteza baba.: aendelee kupumzika kwa amani.
 
Hakika niliumia sana,

Mwamba kaacha mambo mengi ya kujifunza

Hasa katika falsafa ya kulinda lasirimali za umma na kudhibiti wazembe kazini
Vita aliipigana vizuri

RIP mwamba
 
Back
Top Bottom