Jamaa alikuwa anapendwa watu mpaka walikuwa wanaivamia njia kama hakuwa na mpango wa kusimama liwalo na liwe lakini asimame wamuone tu.
Raisi wa watu
Mkuu watu kuwa wengi kwenye msiba haimaanishi alipendwa. Wengine walikwenda kushuhudia ikiwa Shetani naye hufa