Ulipokea vipi Msiba wa Hayati Magufuli?

Ulipokea vipi Msiba wa Hayati Magufuli?

Hukumu ya Mungu siku zote ni ya haki. Huwezi kutumia mabilioni ya kodi zetu kuandaa uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kisha ukatumia mabilioni mengine kuvuruga chaguzi hizo tena kwa kumwaga damu halafu Mungu akuache kuendelea kupumua, never !!!!!
 
narudia tena WATANZANIA mimi taarifa nilipata asubuhi

WATANZANIA walimlilia Rais wao bwana

nakuhakikishia hakuna Rais ambae kifo chake kilihuzunisha Dunia kama kilel na haitokuja kutokea,wakifa hao wako hatutahuzunika kama tulivyohuzunika.

nawawakilisha WATANZANIA take it
Watoto wa juzi mna tabu sana, hivi wakati wa msiba wa Mchonga ulikuwa na umri gani? Huu msiba wa Jiwe ambao majority tulishangilia huo ulikuwa msiba au ilikuwa sherehe?
 


Jamaa alikuwa anapendwa watu mpaka walikuwa wanaivamia njia kama hakuwa na mpango wa kusimama liwalo na liwe lakini asimame wamuone tu.

Raisi wa watu

Hata yule mwovu anapendwa sana na watu wa aina yake au wasiomjua vyema kuwa ni mwaribifu mkuu
 
Kwanza nilijua ashafariki tokea tarehe 09 march baada ya Corona kumfyeka fyeeeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Siku anatangazwa nilifurahi sana tulifanya bonge ya party mwenge tukalewa hadi asubuhi tukisherehekea kuwa kambare amekata moto

Nchi yetu ilipata uhuru baada ya miaka 6 ya yule shetani katili wa kuzimu

Kwa kweli Asante Mungu, asante sana Corona kwa kumfyeka yule mwehu kambare mkuu
Maajabu hata sisi ughaibuni tulipata taarifa(zisizo rasmi) kuanzia tarehe 9 lakini ikawa ukiuliza wengine wanaingizwa mkenge na wanasiasa(akina Kassim Majaliwa) kwamba mwehu bado yuko hai na Corona anaikabili kwa ndimu, vitunguu na tangawizi [emoji38][emoji38].
 
Aisee acha tu, ilikuwa kama ndoto nafungua tv naona kwenye screen kuna kapicha kamheshimiwa halafu mara taarifa ya mama inaletwa akitaalifu umma duh nilishituka sana.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Acha tu. hadi sasa tunaumia tu.. tulikuwa tumeanza kuchimbiwa mitaro ya kuletewa maji hadi sasa hatujui lini yatafika huku kwetu. Barabara ay Lami tunaziona kwa macho kwa wenzetu tu.
Poleni aisee!Undeni tawi jipya la machawa.Hakika mtafikiwa na mizigo yenu mizito itatuliwa.
 
Wakati tukiwa kwenye kipindi cha Kumbu kumbu cha musiba wa hayati Dr John Pombe Magufuli Rais wa JMT awamu ya tano tuambizane wewe ndugu yangu huko uliko taarifa za musiba ulizipataje na ulipokea vipi msiba mzito wa kuondokewa na rais wa Tanzania?

Ilikuwa ni habari ya kusikitisha kwa Watanzania kwa mara ya kwanza kumpoteza Rais Kipenzi akiwa madarakani na pengine Afrika mashariki nzima.
Sherehe kubwa sana, tulikunywa na kula nyama choma kwa fujo, kama wiki zima.
 
Mixed feelings indeed.

Mwenyenzi Mungu amrehemu..
 
Mkuu watu kuwa wengi kwenye msiba haimaanishi alipendwa. Wengine walikwenda kushuhudia ikiwa Shetani naye hufa
Angalia video sio ya msiba alikuwa hai bado anapita tu njiani kwenye mishemishe zake. Baada ya ving’ora kukatiza wananchi walipoona akuwa na mpango wa kusimama wakavamia barabara kitemi gari lake binafsi ikabidi msafara wote usimame.

Halafu video imerokediwa na bystander tu aliekuwepo kwenye eneo. Unaona upendo wa wazi kutoka kwa wananchi.
 
Back
Top Bottom