Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu mwandiko wa beki 3..anaandika Shelia..ledio..Nilijisikia amani sana View attachment 2549223View attachment 2549224
😀😀😀Swali la kichonganishi hili.
Alikua kipenzi chakoJpm alikuwa kipenzi cha Watu na wala hii haina ubishi
Cha watanzania. Kwani we sio mtanzaniaAlikua kipenzi chako
Kwa majonzi mazitoWakati tukiwa kwenye kipindi cha Kumbu kumbu cha musiba wa hayati Dr John Pombe Magufuli Rais wa JMT awamu ya tano tuambizane wewe ndugu yangu huko uliko taarifa za musiba ulizipataje na ulipokea vipi msiba mzito wa kuondokewa na rais wa Tanzania?
Ilikuwa ni habari ya kusikitisha kwa Watanzania kwa mara ya kwanza kumpoteza Rais Kipenzi akiwa madarakani na pengine Afrika mashariki nzima.
AmeenKwa majonzi mazito
Hadi nikalala kwa wenge usiku.
Mungu aendelee kumpumzisha pema.
Koma.Mimi sasa hivi ndiyo nakumbuka mazuri yake! Maana tumerudi kule kule tulikokuwa kabla yake!
Labda huyo ISIS alikuwa ndo Jiwe na id Fake😉😉Taarifa hio ndio ilikua kama umepokea "BARUA YA KUSIMAMISHWA KAZI".[emoji23][emoji23][emoji23]
Maana zile Elf 3 za bando kutoka ofisi maalum lumumba mlizokua mnapewa kila week, ili mje kuimba mapambio JF na Twitter, zilisitishwa rasmi.
Wenzako kina ISIS(Mzee Wa Walahii) ndio wakapotea mazima JF. Huyu mdudu sitokaa kumsahau maisha yangu yote, alikua anakera hakuna mfano. Ndio user aliekua anaongoza kunitukana JF haijawahi kutokea.
Mimi nilizipata taarifa asubuh wakat naelekea job?manake nilizima simu na kulala mapema that day,ila siku ya kuzikwa kwake sehemu niliyokuwepo mvua ilipiga hatari na tulikesha club tukilewa chakari hadi alfajiri😅My apology kwa wale watakaokereka lakini eneo nilipokuwepo watu walikesha wakinywa kwa masikitiko mengi
Chapati zilikuwa ngapi?Niliagiza maharage na chapatiView attachment 2548905
Mlimlilia sana kwa kweli.Poleni mno wa kwetu.Lucky bar and restaurant kuna watu walitununulia bar na jiko zima bar ilifungwa saa nne asubuhi yake tukapewa supu ya bure wakituahidi tukutane arobaini yake