Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Akili ili-jam ikashindwa kulitafsiri tukio la msiba huo. Macho yangu yalikuwa yanaona watu wanaomboleza lakini akili bado ilikuwa haiwezi kukubaliana na ukweli huo. Kwa upande mwingine tena macho hayo hayo yaliyokuwa yanawaona waombolezaji, yalikuwa yanapeleka signal kwenye ubongo kwamba hayupo huku akili ikiwa imegoma kuupokea ukweli huoWakati tukiwa kwenye kipindi cha Kumbu kumbu cha msiba wa hayati Dr John Pombe Magufuli Rais wa JMT awamu ya tano tuambizane wewe ndugu yangu huko uliko taarifa za musiba ulizipataje na ulipokea vipi msiba mzito wa kuondokewa na rais wa Tanzania?
View attachment 2551830
Ilikuwa ni habari ya kusikitisha kwa Watanzania kwa mara ya kwanza kumpoteza Rais Kipenzi akiwa madarakani na pengine Afrika Mashariki nzima.
Ama kweli ulikuwa msiba mzitoAkili ili-jam ikashindwa kulitafsiri tukio la msiba huo. Macho yangu yalikuwa yanaona watu wanaomboleza lakini akili bado ilikuwa haiwezi kukubaliana na ukweli huo. Kwa upande mwingine tena macho hayo hayo yaliyokuwa yanawaona waombolezaji, yalikuwa yanapeleka signal kwenye ubongo kwamba hayupo huku akili ikiwa imegoma kuupokea ukweli huo
Imeenda hivyo hadi ukapita muda mrefu na hatimaye kujikuta niko tu kwenye hali ya kujua kuwa hayupo, ila akili yangu haikuwahi kulipokea tukio hilo.
Kwa hiyo kwa maana nyingine, kwa upande wangu mimi ni kwamba sikuwahi kuupokea msiba wa Rais wangu mpendwa JPM; akili iliukataa kwamba haukuwa halisi; I LOVED JPM (RIP)
Nilitoa kafara ya kondoo wa mwaka mmoja alizaliwa tarehe 9/3/2020Nilichinja kondoo mwenye mkia mnono na kufanya sherehe kubwa!
Mbona na hilo jibwa halikufia kijijini kwake Chato?mbeba box weeeee unadhani una dhamani sawa na mimi ninaeishi kwenye nchi yangu huna lolote mkimbizi wewe huna lolote 😕 nasisitiza tena hata wewe utakufa hata kama hujawahi kua,kutesa wala kudhulumu na wabaya wako watakunanga pia Mungu ni wetu sote siku yako yaja hakikisha umejiandaa kuliko kuhukumu wenzako wakati na wewe njia ni hiyo hiyo
Nilichinja kondooaliyenona na kufanya sherehe. Nyama choma na vimiminishi kwa wingi> Kwa hakika ilikuwa siku nzuri sana kwangu na washikaji wangu!
Ni upuuzi wako tu na hao washikaji zako.Nilichinja kondooaliyenona na kufanya sherehe. Nyama choma na vimiminishi kwa wingi> Kwa hakika ilikuwa siku nzuri sana kwangu na washikaji wangu!