Kwanini unasema hakuna muelekeoNamkumbuka dada mmoja wa Kimasai aliyenitonya dhalimu kafa tangu tarehe 11 March. Siku hiyo huyo dada aliruka ruka kwa furaha kubwa sana. Wala sikumlaumu kwani kama mfanyabiashara Arusha na Dar biashara zake zimeyumba sana kutokana na sera MUFILISI na kwa muelekeo huu wa samia sidhani kama kutakuwa na ahueni anytime soon.
Duh [emoji22]Siku hio sister kanipigia simu saa 5 usiku, nikaikaushia tu nikahisi jambo zito linakuja. Sio kawaida kunipigia late night.
Baadae ananitumia sms eti magufuli kafariki, dah nilizima simu, nikalala! Like nothing happened.
I lost my Job because of him.
And now I am a senior un employed fellow.
6 yrs without a Job
Yani meko kafa unaliaMie nilikua kitandani najiandaa nilale nikapigiwa simu na sister angu ananiuliza kuna habari gani huko mjini nikamwambia huku shwari hakuna shari akasema mbona nasikia Rais amefariki?...
Sijui kama mimi ni katili..... ila huo ndiyo ukweli.Wewe ni katili
Wewe huna akilijikite kweye mada, au wewe ulikuwa unafaidi wakati wa jiwe, hakuna mtu wenye akili poa ambae hakuona jiwe kufa mungu kaondoa muakilishi wa shetani tanzania,
Serious brother.misiba ilitokea kipindi nikiwa bado mdogo sijui hata hili na lile.ukiachilia mbali vifo vya marafiki na majilani ila Cha jpm kilinikomesha sio siriMpaka umri wa kuoa hujawahi kufiwa hata na ndugu ukaonja machungu ya msiba. Kwa nara ya kwanza ukayaonja kwenye kifo cha JPM jokate mwenyewe alikuwa anasmile tu
Kilikukomesha??? Like seriously [emoji848]Serious brother.misiba ilitokea kipindi nikiwa bado mdogo sijui hata hili na lile.ukiachilia mbali vifo vya marafiki na majilani ila Cha jpm kilinikomesha sio siri
Pooole[emoji848]Nilikuwa usingizini,ule usingizi wa mwanzomwanzo(REM)....ghafla nikaamshwa na SAUTI YA MAKAMU WA RAIS MH.SSH kupitia redio bora na pendwa nchini ,TBC...
Kwa kuwa alikuwa LIVE na USIKU nikajua something is terrible....
Niliposikia akitangaza kifo daah MACHOZI YALINIBUBUJIKA bila ya kutoa sauti.....
Niliamka na kuchukua PAKETI YANGU YA SIGARA...bahati zilikuwa ziko 18 baada ya mbili kuzitumia....sikulala tena mpaka ASUBUHI saa 12 NILIPOTOKA kwenda kijiwe cha kahawa.....
Kwa kweli JPM aliniumiza mno.....
REST EASY EL COMANDANTE JPM
#Siempre Hasta la Victoria JPM
#Yetzer ha-tov JPM!
[emoji16][emoji2960][emoji2960]Bomba gani unaloongelea, ni hili ambalo hata Mama kaenda Uganda kusign juzijuzi tu?
Nilijua wananililia mimi, nikasema niwafanyie suprise kuwa nimefufuka katika wafu lakini nikaona hawana kabisa habari na mimi. Kuna jamaa yangu na yeye mnywaji kama mimi ndio akawa analia huku anataja Magufuli! ndio nikajua wanamlilia Magu na sio mimi.[emoji16][emoji16][emoji16] ukajua wanakulilia wewe[emoji1787]
Haaahaaahaa...umenichekesha asubuhi hii[emoji16][emoji16]Nilijua wananililia mimi, nikasema niwafanyie suprise kuwa nimefufuka katika wafu lakini nikaona hawana kabisa habari na mimi. Kuna jamaa yangu na yeye mnywaji kama mimi ndio akawa analia huku anataja Magufuli! ndio nikajua wanamlilia Magu na sio mimi.
Wewe utaliwa na mbwaAcha kutisha watu mjinga Wewe. Unalazimisha watu wahuzunike kwa Shetani wa Gamboshi Magufuli!
Msukuma wa hedi mkubwa. Haya kaliwa na funza sasa mfuate huko aliko. Pfuuuuuu