Ulipokuwa mtoto ulitamani ukiwa Mkubwa uwe nani?

Ulipokuwa mtoto ulitamani ukiwa Mkubwa uwe nani?

Duh sikumbuki vzr nilitaka kuwa nani. ila nazan ilikuw ni kuiga mkumbo tu. atachosem rafik yak na ww unakut unatamka kuwa natak kuw Fulni.
lakin kitu ambacho nilitaman kuwa kipind nipo chalii ni kuwa dereva tena Dereva wa IT.
Na sikuwah hatasiku sikuizo kuwaambia Wazaz wangu kuhusu hii kitu. nilikuwa nataj tu vitu vingine 😅😁
 
Mimi mpaka leo sitamani kuwa yeyote bora napumua sidaiwi siumwi watoto wanasoma wanakula wanafurahi fungu lolote mimi napokea.

Hii dunia ni mbaya sana,ukiishi na matarajio makubwa kichwani utakwapua vya watu bure ukafie jela bora uache maisha yaende yanavyotaka.
 
Back
Top Bottom