Ulipokuwa mtoto ulitamani ukiwa Mkubwa uwe nani?

Ulipokuwa mtoto ulitamani ukiwa Mkubwa uwe nani?

Nilitamani kuwa Afisa mtendaji wa kijiji,kipindi hicho wanaitwa makatibu wa vijiji.

Kilichofanya nimpende ni kwamba yeye ndiye aliyekuwa na baiskeli kijiji kizima inayoitwa Hamilton.

Huku akimiliki redio ya Santuri akiwa ndiye mwenye maisha mazuri kijiji kizima.

Hakika alikiwa Role model wangu eti😂😂
Yaelekea umekulia ndani ndani sana huko Bush?
 
Back
Top Bottom