Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaelekea umekulia ndani ndani sana huko Bush?Nilitamani kuwa Afisa mtendaji wa kijiji,kipindi hicho wanaitwa makatibu wa vijiji.
Kilichofanya nimpende ni kwamba yeye ndiye aliyekuwa na baiskeli kijiji kizima inayoitwa Hamilton.
Huku akimiliki redio ya Santuri akiwa ndiye mwenye maisha mazuri kijiji kizima.
Hakika alikiwa Role model wangu eti😂😂
Ulitamani tu kula ubwabwa wa bure sheikhNiwe sheikh, ulamaa mkubwa na pia niwe msomi . Kwa bahati Ulamaa na usheikh sijaupata
Kama mimi mkuu....sikuwahi kuwaza kuwa chochote. I was just happy, enjoying my childhood.Sijawahi kutaka kuwa kitu yani nilikua nipo nipo tu.
Ktk uislam hakuna ubwabwa. Kuna sadaka huwa inatolewa ili jamii ifurahi. Si unajua uislam ni furahaUlitamani tu kula ubwabwa wa bure sheikh
Kila la heri na ikakutajirishe 😂Hiyo hiyo🤣
Hongera mkuu ata jf si unatype sio mbaya ndoto imetimia kwa asilimia ndogo.Mwanzo nilikua napenda kua secretary vile nikiona wanachapa na typewriter nlikua naona raha sana. Baadae mara daktari mara banker.
Saiv mama wa nyumbani nalea familia
Tembeza kila mmoja wao apateWanakula bakora haswaa 😂😂
Bado sio ndege halisi mkuuHypothetical
Kama umeshindwa kuwa rubani wa ndege basi unaweza chukulia maisha yako ni kama ndege na wewe ndio rubani 😄
🤣🤣Hilohilo mkuuLabda Jeshi la Unoko.
NJOSS mwaka Gani huo?Dactari....
Bibi alitabiri kabisa aiseeeeee
Ila nilipofika pale NJOSS nikakutana na mzigo heavy wa phys ukanifanya niwe mpiga picha maninaaaaa