Ulipokuwa mtoto ulitamani ukiwa Mkubwa uwe nani?

Ulipokuwa mtoto ulitamani ukiwa Mkubwa uwe nani?

Nilikuwa najiendea endea tu.Baada ya kumaliza chuo na kuanza kazi..Nimekuja kugundua nilitakiwa niwe Muhasibu na kitu nimetokea kukipendaaa mnooo.
Kuna kipindi kinaitwa Master Chef: The professional
Kuna mdada anaitwa Sofie alikuwa Lawyer kwa miaka 12
Akakinai na kurudi chuo kusomea mapishi mwaka 2019 akapata Diploma yake na kwa sasa anasema nimependa mapishi kuliko kazi ya zamani
Sasa ni Chef
 
... huyo bibi, enzi zile, alikuwa tishio mtaani kwetu! .... kiasi 'fantasies' zangu zote zilikuwa ni mapenzi mazito baina yetu!

Mbaya zaidi na yeye akajua, kiasi kila tukikutana naye hadi leo huwa anacheka sana!

UKWELI NI KUWA MZURI NI MZURI TU!

YAANI MPAKA SASA BADO NAHISI BIBI YULE ANA KITU NINAKIMISS!
😅

ACHA MAPENZI YAITWE MAPENZI
Utakufa vibaya🤣
 
Wakuu,

Leo ni Siku ya Watoto Duniani! Ulipokuwa mtoto, ulitamani kuwa nani?

Je, umefikia ndoto zako, au bado unazifanyia kazi?

Kumbuka, ndoto za watoto ni halali na zinaweza kutimia! Tuendelee kujenga mazingira yanayowawezesha watoto wetu kufanikisha ndoto zao
Mimi ndoto yangu ilikuwa nije kuwa mchawi mkubwa!
Bahati mbaya marehemu babu ambaye pamoja na kuwa maarufu kwa kufuga majini lakini mpaka anakufa hakunirithisha kabisa mikoba akaachiwa mtu mwingine katika ukoo then mimi nimeambulia kuwa muuza majeneza
 
Back
Top Bottom