mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
umefananiaupoti a.k.a ufongo
tena wale mapoti warembo wakiingia road wanaleta traffic
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umefananiaupoti a.k.a ufongo
Mapoti na urembo where na where? 🙄🤔umefanania
tena wale mapoti warembo wakiingia road wanaleta traffic
Kuna kipindi kinaitwa Master Chef: The professionalNilikuwa najiendea endea tu.Baada ya kumaliza chuo na kuanza kazi..Nimekuja kugundua nilitakiwa niwe Muhasibu na kitu nimetokea kukipendaaa mnooo.
Labda Jeshi la Unoko.Mwanajeshi
Acha njaa.umefanania
tena wale mapoti warembo wakiingia road wanaleta traffic
utakubali basiMapoti na urembo where na where? 🙄🤔
Kwa kipindi hiko palipojengwa shule ya msingi ndo panaamua huduma zote ziwekwe wapi....sekondar, zahanati, stendi, office ya mtendaji na kituo Cha police hua hazikai mbali na shule ya msingi sasa katika watumishi wote nlikuwa naona walimu ndo wanafaidi😂😂kumbeeeeUngejua hujui🤣🤣
🤣🤣🤣. Ondoa hiyo pichautakubali basi
Utakufa vibaya🤣... huyo bibi, enzi zile, alikuwa tishio mtaani kwetu! .... kiasi 'fantasies' zangu zote zilikuwa ni mapenzi mazito baina yetu!
Mbaya zaidi na yeye akajua, kiasi kila tukikutana naye hadi leo huwa anacheka sana!
UKWELI NI KUWA MZURI NI MZURI TU!
YAANI MPAKA SASA BADO NAHISI BIBI YULE ANA KITU NINAKIMISS!
😅
ACHA MAPENZI YAITWE MAPENZI
jing'ate tu🤣🤣🤣. Ondoa hiyo picha
Mimi ndoto yangu ilikuwa nije kuwa mchawi mkubwa!Wakuu,
Leo ni Siku ya Watoto Duniani! Ulipokuwa mtoto, ulitamani kuwa nani?
Je, umefikia ndoto zako, au bado unazifanyia kazi?
Kumbuka, ndoto za watoto ni halali na zinaweza kutimia! Tuendelee kujenga mazingira yanayowawezesha watoto wetu kufanikisha ndoto zao
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Polisi , nilipigwa sana halafu sikuelewa kosa langu nini.... ila sasa hivi nimeshaelewa😏