Ulishawahi kukataliwa kwasababu hukuwa na kitu kisha ukaja kukubaliwa baada ya kupata?

Ulishawahi kukataliwa kwasababu hukuwa na kitu kisha ukaja kukubaliwa baada ya kupata?

Wapo wanawake wanaowaelewa jamaa zao ambao wana maisha ya kawaida tu. Kuna sista mmoja ni Kigogo kwenye kampuni moja kubwa ya kuchimba dhahabu kanda ya ziwa. Ana mume wake choka ya kawaida tu, kamzidi kiuchumi zaidi ya mara 20. Lakin hiyo heshima na love anampa jamaa yake usipime. Hawezi kufanya kitu bila ruhusa ya jamaa. Ingekuwa dada zetu hawa sasa
Demu itakuwa reception haisomeki au age imejongea, yaani w'ke hawa pisi kali akuheshimu na pesa anayo!
 
Kuna wanaume wana bahati
Ya mtende yani, sema pia demu amelelewa kwenye maadili bora na anatoka familia nzuri! Kuna ile binti amelelewa katika hali ya kuheshimu watu tu so haijalishi ni broke au rich yeye ana adabu zake na anamtazama mume kama kiongozi wake!

Hawa ambao wamekulia maisha magumu wakitoboa lazma wakuvimbie yani kama kidume haupo sawa lazma uipate fresh ya shamba vichambo na masimago ya kiwango cha SGR
 
Yote haya sababu kubwa ni umasikini wetu hakuna lingine. Imagine wote mnatoka middle class families, wote mna walau kipato kinaeleweka, kila mtu anaweza kubeba majukumu yake walau kwa kiasi kikubwa, hatuwezi kuja na hizi drama.

Mtu unatoka familia Mungu ndio anajua, wewe mwenyewe Mungu ndio anajua, it's obvious utahitaji mtu atakayekujali kifedha kwanza kabla ya kihisia.

Tupambane na huu umasikini ndugu zangu, ili tufikie mahali mtu uingie katika mahusiano sio kwa vile yule dada ana pesa au kwa vile yule kaka yuko vizuri. Such relationships are like slavery!!!
Aisee wee hujui wanawake...trust me wapo wametoka middle class lakini mapenzi hamna wanaangalia uwezo wa kidume financially.

Usijidanganye kabisa women poor or rich majority wanaangalia mwanaume ana nini na sio kwamba wanapenda.
 
Sababu mbalimbali,
Anakukataa kwa dharau Sana,kwa sababu anakuona tu kwamba huna chochote kwa wakati huo kwa sababu huna tabia za kujiinua,
Lakini baada ya siku kadaa anagundua kwamba uko vizuri,anaaza juhudi za kutaka kukukubali.


Anakukataa kwa sababu huna kitu kwa wakati huo kwa sababu labda ulikua kimasomo zaidi,au unatafuta faranga,kimwonekano hukua vizuri,
Baada ya muda Fulani,kupita unapata maisha baaab kubwa,anaanza kukutafuta ili akukubali,


Anakukataa kwa sababu unaonekana upoupo tu,lakini kwa bahati anasikia habari zako,kutoka kwa watu anaowaamini,anaowakubali na anao watamini sana wakikusifu sana,kuwa wewe ni mtu wa maana kabisa,mtu Bora kabisa.
Kisha akaanza harakati za kutaka kukukubali.
Ulishawahi kukutana na Hali hizo?



Ulipokutana na mtu au watu wa hivyo ulichukua uamuzi gani?
Mwanaume kama huna hela utaishia kupendwa na Mama yako mzazi😁😁
 
Wewe mwanamke ana heshimu pesa uliyo nayo na sio anakuheshimu wewe kama wewe
Shida mmezoea wadangaji wa mjini Daslam! Tembeeni muone jamani, ukiona mwanamke anatanguliza maslahi mbele jua hajakupenda tu wala hujamuingia moyoni!

Mtindo ni uleule kama demu uliekuwa unamzimia ukiwa form 2 halafu ukamtokea akakutosa kwa kishindo na dharau, huku na huku kuna mvuta bangi mmoja akawa anapelekewa tunda anajilia tani yake 😂😂😂 ukajiuliza maswali bila majibu!

Love is an emotional attachment bro atleast for the one who trully feels for you!
 
Shida mmezoea wadangaji wa mjini Daslam! Tembeeni muone jamani
Hamna cha wadangaji wala nini. Pesa ni ulinzi alisema mfalme sulemani.
Women look for the security that money provides pure and simple nothing more nothing less, haijalisha katoka katika familia gani.

Huko first world kwenyewe kwenye kuongoza haki sawa kwa wote likija sula la mahela wanawake wananyuti na kumuangalia mwanaume.
 
Hamna cha wadangaji wala nini. Pesa ni ulinzi alisema mfalme sulemani.
Women look for the security that money provides pure and simple nothing more nothing less, haijalisha katoka katika familia gani.

Huko first world kwenyewe kwenye kuongoza haki sawa kwa wote likija sula la mahela wanawake wananyuti na kumuangalia mwanaume.
Haipingwi ila neno lako sio sheria! Sababu wapo mademu wakali na wanaliwa na wauza mikaa tu ama mafundi kushona! Una justify vipi statement yako?
 
Haipingwi ila neno lako sio sheria! Sababu wapo mademu wakali na wanaliwa na wauza mikaa tu ama mafundi kushona! Una justify vipi statement yako?
Kaka kuliwa na kuwa nawe kama mume au mke ni mbingu na ardhi.
Second nionyeshe mwanamke mzuri mmoja anayeliwa na muuza mkaa mie nitakuonyesha 1000 ambao wanaliwa na matajiri. Exceptions zitakuwepo na human stupidity knows no boundaries.
 
Kaka kuliwa na kuwa nawe kama mume au mke ni mbingu na ardhi.
Second nionyeshe mwanamke mzuri mmoja anayeliwa na muuza mkaa mie nitakuonyesha 1000 ambao wanaliwa na matajiri. Exceptions zitakuwepo na human stupidity knows no boundaries.
Wapo wengi tu ambao wanaliwa mkuu na ishu ni mapenzi tu wameziacha hela sema tu wahuni huwa hawaoi pisi kali hizo
 
H
Shida mmezoea wadangaji wa mjini Daslam! Tembeeni muone jamani, ukiona mwanamke anatanguliza maslahi mbele jua hajakupenda tu wala hujamuingia moyoni!

Mtindo ni uleule kama demu uliekuwa unamzimia ukiwa form 2 halafu ukamtokea akakutosa kwa kishindo na dharau, huku na huku kuna mvuta bangi mmoja akawa anapelekewa tunda anajilia tani yake 😂😂😂 ukajiuliza maswali bila majibu!

Love is an emotional attachment bro atleast for the one who trully feels for you!
Huu mtindo unaitwa comeback yani unarudisha golizote ulizofungwa halafu unamuongezea goli moja mbele😂🤣😂
 
Wapo wengi tu ambao wanaliwa mkuu na ishu ni mapenzi tu wameziacha hela sema tu wahuni huwa hawaoi pisi kali hizo
Wengi compared to wangapi wazuri ambao hawaliwi?
Alafu tumbua kitu kama kweli wanaliwa na wauza mkaa lakini kaolewa na mtu mwenyewe mihela thats already says it all. So i rest my case.
 
Wengi compared to wangapi wazuri ambao hawaliwi?
Alafu tumbua kitu kama kweli wanaliwa na wauza mkaa lakini kaolewa na mtu mwenyewe mihela thats already says it all. So i rest my case.
Haina noma meku! Tuishie hapa
 
Back
Top Bottom