Ulishawahi kukataliwa pamoja na status yako? Ulijisikiaje?

We ulipiga Suti Kali kama ya Wakili Kibatala lazima uogopwe.
 
πŸ˜…πŸ˜…hii vyuoni ipo sana
 
Mzee wakikubali , then mkaenda lodge au guest mka sex ukimaliza hau feel guilty.
UKishakojoa tu kuna kamoment kama ka Dakika Moja hadi tano huwa kanapita unajuta pesa zote ulizotumia ndio unakumbuka Mama alikuomba Pesa ya mbegu msimu huu wa Kilimo. Ndio unajivuta vuta kutuma elfu 50

Ngono haina faida. Hasara ni nyingi zaidi
 
Ila wazee kuna Raha fulani hivi kula "premium coochie" yaan unafeel umwamba sana.. ni heri ukae mwaka mzima bila mbususu kuliko kula vitu vya ajabu ajabu.. kuna watu ni Zoazoa hawataki kuelewa chochote...

Faida moja wapo ya kula Premium Coochie ni kumaintain consistency yaan pisi ambazo low quality huwez tetemeka nazo, mbili kama ni eneo la kazini una possibility kubwa ya kula hawa waliobakia kirahisi sana, maana unakuw na confidence. Kuna Pisi unamiliki kali inakupa confidence ile mbaya hata pisi mbovu mbovu zikikukataa unacheka tu kwa dharau..πŸ˜‚
 
Wewe una chombo Cha usafiri,sio gari cc Bill Lugano
 
Nchi ipo kwenye hali mbaya ya kisiasa, vijana wa hovyo mpo hapa mnaanzisha thread za kidadapoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…