Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasheshe haswaYeah, ila huyo Peters alikuwa balaa. Alichowafanyia wamasai hawakumsahau. Kila wakimuona ngozi nyeupe enzi hizo ilikuwa kwanza wanamuuliza ikiwa anamjua Peters!!!!
dem wa kitambo,halima,pale dom ni masai na muislam wa miziziMimi ni Masai na nimezaliwa ktk uislam,tena wengi huwa hawaamini kama miye ni Masai hudhani ni half cast... Heheheeee
Lakini mimi ni Masai na niko very proud.
Tuacheni Masai jamani,mmezidi kutuandama.
Anaitwa Ibrahimu Maskio namfahami sanawapo wengi tena kuna mmoja nilimkuta sehemu pana itwa namnga mpakani ana msikiti kabisa kajenga yeye na ana vaa mashuka na katoboa masikio anaitwa shekhe masikio
Kuna waisilamu china kulilko saudi arabia.mkuu unamaanisha hakuna mchina muislam
KuhesabuKutosha kufanyeje? Kupika futari?
Acha uongo mkuuHakuna
Mkuu mimi nilikuwa namjibu kumhadaa yule jamaa, nawajua wachaga waislami wengi tu eg meja jen muhidin mfaume kimario, imran hussein kombe (RIP),kassim lymo , ukoo wa nkya wengi tu waislamu, etc,tena wachaga Ni watu wa dini hasaAcha uongo mkuu
Mimi mwenyew mchaga na ni muislamu
Na nishaona wengi tu
poa mkuu mi natamani kuja kufuturu bestAcha uongo mkuu
Mimi mwenyew mchaga na ni muislamu
Na nishaona wengi tu
Bofya yale maandishi yaliyo chini ya hiyo picha.
Punguani wahed.