Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uislam sio jina ni matendo.Eti Ustaadh Ole Porukwa! Hahahahaaa!
Wala sijabisha!Uislam sio jina ni matendo.
saudia hakuna kanisa mkuu,
labda usemee syria,iraq,
saud hairuhusiwi
marehemu Mollel katibu wa bawata mkoa wa Arusha miaka mingi huko nyumaBinafsi sijawahi kuona mmasai muislam aidha kwa kufunga, kuingia msikitini au tu kuvaa msuli au baibui! Ina maana hawapendi uislam au kuna ambao wamefunga kabisa wanakula daku nk?
Karibuni wakuu
Wapoo tena wengi tuwapo wengi tena kuna mmoja nilimkuta sehemu pana itwa namnga mpakani ana msikiti kabisa kajenga yeye na ana vaa mashuka na katoboa masikio anaitwa shekhe masikio
Masai kuzaa albino ni nadra kww vile hawajamiani ndugu wa karibu kama makabila ya kanda ya ziwa[/QUOTE]E="ArD67, post: 21386833, member: 398629"]Albino mmasai? Sio kwamba huwa hawazaliwi, ila hawapo. Labda kwa ndugu zetu wakenya, kama wana masai albino, wanacheka mauaji ya albino ya Shinyanga.
Link It's 'Allahu Akbar' as Islam spreads across maasailandKwa gharama zozote niko tayari kwenda kumuona uyo masai muislam mwenye msikiti kabisa.. Isiwe tu nje na Africa mashariki apo ntakua sina uwezo
Amina mollel