Ulishawahi kukutana na mwanamke/mwanaume mtandaoni akaku-prove wrong kinyume na matarajio kabla ya kuonana live?

Makutano ya mke/mume huwa yana mambo unashindwa kuelewa.. Yule unayempania sana inakuwa chenga
 
Makutano ya mke/mume huwa yana mambo unashindwa kuelewa.. Yule unayempania sana inakuwa chenga
mkuu ungezea nyama sentensi yako ieleweke.

nilishindwa kuelewa nini?
 
Watu waliozoea stori za masikitiko wakiona mtu analeta stori kuwa anafuraha na anaenjoy, huleta maneno ya ajabu ajabu 😏
wapo wanakutana na utofauti mkuu, wanaishia kukimbiana
 
Hongera mkuu ila mambo ya zarau zarau sio mazur muda mwingne
 
Nilikutana na mdada humu jf ni mzuri pisi flani Kali hivi ni rafiki angu tu mkubwa [emoji3].maana wengine wanakuwa na mentality huku mkikutana hakuna urafiki ni kulana tu



Nanii najua utapita hapa mi chapombe nakusalimia sijakutenga rafiki
 
Nilikutana na mdada humu jf ni mzuri pisi flani Kali hivi ni rafiki angu tu mkubwa [emoji3].maana wengine wanakuwa na mentality huku mkikutana hakuna urafiki ni kulana tu



Nanii najua utapata hapa mi chapombe nakusalimia sijakutenga rafiki
Mzee Hilo cheko hujala kweli😃😃

Urafiki wa demu mkali Mimi siwezi mkuu haha.

Kama unataka uwe rafiki yangu halafu basi uwe mbovu halafu ni demu mgumu flani lakini type za kina mobeto haiwezekani hata kwa kabali haha
 
Kuna dada mmoja nilikutana naye humu jf , tukawa tunachart za hapa na pale .. akanipa number kile nikimchek dp whatsap giza .... Hhalafu anasisitiza tuonane ... Siku moja nikaona sio mbaya akafunga safari from mbeya to dsm ... Nilipomuona ... Nadhani alihic kitu .. kbs alikuwa mbaya kama mwaname .. halafu kila kitu anajidai anafahamu kisa alisoma pale UDSM ..

Ule usiku nilijikaza kwenye mechi alikuwa yuko poa anajituma haswa ila usoni hapana ... Alivyoondoka kurudi mbeya nikampotezea kbs ... Anajitahidi sana kunitext wapi

Nimeona kafungua uzi wake anatafuta mwanaume wa kumuoa ... Nikapita kama si muoni maana muda wote anansisitiza ndoa kisa umri umri umemtupa mkono ... Niliona kama nimepata bonge la hasara
 
Hahaha pamoja na mimi kuwa baharia mwandamizi najua ni vigumu kuamini sijafanya hivyo hata wazo ilo sina [emoji3] .







Ni suala la mda itatokea tu siku hatakuwa upo interested nao kivile utawaona wakawaida na utakuwa na urafiki nao hao wakali kama kina mobeto bila hisia kuingilia kati
Mzee Hilo cheko hujala kweli[emoji2][emoji2]

Urafiki wa demu mkali Mimi siwezi mkuu haha.

Kama unataka uwe rafiki yangu halafu basi uwe mbovu halafu ni demu mgumu flani lakini type za kina mobeto haiwezekani hata kwa kabali haha
 
Duh..!
cariha pita hapa
 
Kwangu haiwezekani mkuu
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Kwenye hii hadithi tunajifunza nini ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…