Ulishawahi kukutana na mwanamke/mwanaume mtandaoni akaku-prove wrong kinyume na matarajio kabla ya kuonana live?

Ulishawahi kukutana na mwanamke/mwanaume mtandaoni akaku-prove wrong kinyume na matarajio kabla ya kuonana live?

H
Hongera yako!

Miaka kadhaa nyuma nilikuwa nikiwasiliana na dada mmoja Fc. Yeye alikuwa Dar na mimi mkoani. Tulikuwa tukiwasiliana sana Messenger lakini hatukuwahi kuonana kwa zaidi ya mwaka. Aliniambia yeye ni mfanyakazi wa katika saluni moja hapo Kinondoni B. Katika ukurasa wake wa Fb alikuwa akirusha picha zake nzuri sana zenye mvuto wa hali ya juu.

Ilitokea nilipata msiba, mtoto wa dada yangu alifariki hapo Dar, hivyo nikalazimika kusafiri kwenda msibani. Nilipenda kutumis fursa hii ya msiba kuweza kukutana naye. Basi baada ya msiba nilimtaarifu kuwa ningependa kuonana naye. Nilimuomba tukutane katika mgahawa mmoja jirani na ofisi yake muda wa saa nne na nusu tupate supu kufahamiana zaidi.

Nilipofika sehemu ya tukio niliingia ndani ya mgahawa, kulikuwa na mdada mmoja ndani ya mgahawa, alikuwa na sura mbaya kumzidi marehemu Remmy Ongala! Nilijiambia hawezi kuwa huyu nilipitiliza kikaenda maliwatoni, nikatoa sauti ktk simu yangu, kisha nikatoka maliwatoni nakupiga namba ya huyo mdada na kuiweka mfukoni simu yangu.

Wakati natoka nikaona mdada kapokea simu na kuanza kuangaza huku na kule kisha akatoka nje kuangaza! Nikajiridhisha kuwa ni yeye nikaondoka eneo la tukio. Baada ya dakika kumi nilimpigia simu kumuomba msamaha kuwa nimepata tatizo na sitaweza fika eneo la tukio........nilikataa mawasiliano mazima!
Hahahaaa duuh nimekumbuka mbali.
 
Hongera yako!

Miaka kadhaa nyuma nilikuwa nikiwasiliana na dada mmoja Fc. Yeye alikuwa Dar na mimi mkoani. Tulikuwa tukiwasiliana sana Messenger lakini hatukuwahi kuonana kwa zaidi ya mwaka. Aliniambia yeye ni mfanyakazi wa katika saluni moja hapo Kinondoni B. Katika ukurasa wake wa Fb alikuwa akirusha picha zake nzuri sana zenye mvuto wa hali ya juu.

Ilitokea nilipata msiba, mtoto wa dada yangu alifariki hapo Dar, hivyo nikalazimika kusafiri kwenda msibani. Nilipenda kutumis fursa hii ya msiba kuweza kukutana naye. Basi baada ya msiba nilimtaarifu kuwa ningependa kuonana naye. Nilimuomba tukutane katika mgahawa mmoja jirani na ofisi yake muda wa saa nne na nusu tupate supu kufahamiana zaidi.

Nilipofika sehemu ya tukio niliingia ndani ya mgahawa, kulikuwa na mdada mmoja ndani ya mgahawa, alikuwa na sura mbaya kumzidi marehemu Remmy Ongala! Nilijiambia hawezi kuwa huyu nilipitiliza kikaenda maliwatoni, nikatoa sauti ktk simu yangu, kisha nikatoka maliwatoni nakupiga namba ya huyo mdada na kuiweka mfukoni simu yangu.

Wakati natoka nikaona mdada kapokea simu na kuanza kuangaza huku na kule kisha akatoka nje kuangaza! Nikajiridhisha kuwa ni yeye nikaondoka eneo la tukio. Baada ya dakika kumi nilimpigia simu kumuomba msamaha kuwa nimepata tatizo na sitaweza fika eneo la tukio........nilikataa mawasiliano mazima!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi wanawake mnaong'ang'ania wanaume mnakuwa na shida gani? Mi wasap tu huwa simuamini mwanaume yoyote ndo ije humu kwa watu wasiojulikana thubutu labda kama tunafanya biashara hapo tunaonana kupiga dili na sio kulana tunda
 
Kwahiyo mzee, ukapata mke kimasihara [emoji23]
Baada ya kujikita kusoma sana nyuzi za watu na mimi leo naandika uzi wangu.

Miaka mitano huko nyuma nilikuwa na tabia ya kutumia ukurasa wangu wa facebook kushare mambo yanayohusiana na utaalamu wa fani yangu, na watu wengi wakawa wanachangia maoni
 
Ghafla paa... Naona meseji inaingia messenger

Kucheki profile naona mtoto mkaaale

Nikasema huyu binti atakuwa kaona profile kaizimia chata

Siku ya kwanza story za kawaida, siku pili ananipa story za kutajirika kupitia forever living

Sikugeuka nyuma, mpaka kesho [emoji24]
 
Hivi wanawake mnaong'ang'ania wanaume mnakuwa na shida gani? Mi wasap tu huwa simuamini mwanaume yoyote ndo ije humu kwa watu wasiojulikana thubutu labda kama tunafanya biashara hapo tunaonana kupiga dili na sio kulana tunda
Wanawake wenye sura za kiume mnajulikana tu kwa comment zenu hahaha
 
Kwa hiyo kwa kifup ni kwamba mkeo alijitongozesha kwako,? anyway hongeren Sana hamkupotezeana muda
 
Hongera yako!

Miaka kadhaa nyuma nilikuwa nikiwasiliana na dada mmoja Fc. Yeye alikuwa Dar na mimi mkoani. Tulikuwa tukiwasiliana sana Messenger lakini hatukuwahi kuonana kwa zaidi ya mwaka. Aliniambia yeye ni mfanyakazi wa katika saluni moja hapo Kinondoni B. Katika ukurasa wake wa Fb alikuwa akirusha picha zake nzuri sana zenye mvuto wa hali ya juu.
Mkuu hakuna mtu mbaya, sema macho yako yaliona ivyo, hapa duniani kila mtu anawake
 
Back
Top Bottom