financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Hahaa hapa hapa tu inatosha [emoji307]Wow ninchamee basi my Queen, embu tuma kamaua pm nidhibitishe msamaha wako baby.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa hapa hapa tu inatosha [emoji307]Wow ninchamee basi my Queen, embu tuma kamaua pm nidhibitishe msamaha wako baby.
Wow thanks a lot mama AngelHahaa hapa hapa tu inatosha [emoji307]
Zambi kubwa kufa na utam wako, ....utaenda pewa fineAcha nife na utamu wangu.
Mkuu ulisahau kua hata wapumbavu huzeekaNilikutana na baba mtu mzima humu 48 yrs.
Anajinasibu hana mke ni kweli hana mke.
Aliniprove kuna watu wazima ovyo.
Baada ya kujikita kusoma sana nyuzi za watu na mimi leo naandika uzi wangu.
Miaka mitano huko nyuma nilikuwa na tabia ya kutumia ukurasa wangu wa facebook kushare mambo yanayohusiana na Nzuri hiyo
Hahahaaa duuh nimekumbuka mbali.Hongera yako!
Miaka kadhaa nyuma nilikuwa nikiwasiliana na dada mmoja Fc. Yeye alikuwa Dar na mimi mkoani. Tulikuwa tukiwasiliana sana Messenger lakini hatukuwahi kuonana kwa zaidi ya mwaka. Aliniambia yeye ni mfanyakazi wa katika saluni moja hapo Kinondoni B. Katika ukurasa wake wa Fb alikuwa akirusha picha zake nzuri sana zenye mvuto wa hali ya juu.
Ilitokea nilipata msiba, mtoto wa dada yangu alifariki hapo Dar, hivyo nikalazimika kusafiri kwenda msibani. Nilipenda kutumis fursa hii ya msiba kuweza kukutana naye. Basi baada ya msiba nilimtaarifu kuwa ningependa kuonana naye. Nilimuomba tukutane katika mgahawa mmoja jirani na ofisi yake muda wa saa nne na nusu tupate supu kufahamiana zaidi.
Nilipofika sehemu ya tukio niliingia ndani ya mgahawa, kulikuwa na mdada mmoja ndani ya mgahawa, alikuwa na sura mbaya kumzidi marehemu Remmy Ongala! Nilijiambia hawezi kuwa huyu nilipitiliza kikaenda maliwatoni, nikatoa sauti ktk simu yangu, kisha nikatoka maliwatoni nakupiga namba ya huyo mdada na kuiweka mfukoni simu yangu.
Wakati natoka nikaona mdada kapokea simu na kuanza kuangaza huku na kule kisha akatoka nje kuangaza! Nikajiridhisha kuwa ni yeye nikaondoka eneo la tukio. Baada ya dakika kumi nilimpigia simu kumuomba msamaha kuwa nimepata tatizo na sitaweza fika eneo la tukio........nilikataa mawasiliano mazima!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hongera yako!
Miaka kadhaa nyuma nilikuwa nikiwasiliana na dada mmoja Fc. Yeye alikuwa Dar na mimi mkoani. Tulikuwa tukiwasiliana sana Messenger lakini hatukuwahi kuonana kwa zaidi ya mwaka. Aliniambia yeye ni mfanyakazi wa katika saluni moja hapo Kinondoni B. Katika ukurasa wake wa Fb alikuwa akirusha picha zake nzuri sana zenye mvuto wa hali ya juu.
Ilitokea nilipata msiba, mtoto wa dada yangu alifariki hapo Dar, hivyo nikalazimika kusafiri kwenda msibani. Nilipenda kutumis fursa hii ya msiba kuweza kukutana naye. Basi baada ya msiba nilimtaarifu kuwa ningependa kuonana naye. Nilimuomba tukutane katika mgahawa mmoja jirani na ofisi yake muda wa saa nne na nusu tupate supu kufahamiana zaidi.
Nilipofika sehemu ya tukio niliingia ndani ya mgahawa, kulikuwa na mdada mmoja ndani ya mgahawa, alikuwa na sura mbaya kumzidi marehemu Remmy Ongala! Nilijiambia hawezi kuwa huyu nilipitiliza kikaenda maliwatoni, nikatoa sauti ktk simu yangu, kisha nikatoka maliwatoni nakupiga namba ya huyo mdada na kuiweka mfukoni simu yangu.
Wakati natoka nikaona mdada kapokea simu na kuanza kuangaza huku na kule kisha akatoka nje kuangaza! Nikajiridhisha kuwa ni yeye nikaondoka eneo la tukio. Baada ya dakika kumi nilimpigia simu kumuomba msamaha kuwa nimepata tatizo na sitaweza fika eneo la tukio........nilikataa mawasiliano mazima!
Mkuu ulisahau kua hata wapumbavu huzeeka
Baada ya kujikita kusoma sana nyuzi za watu na mimi leo naandika uzi wangu.
Miaka mitano huko nyuma nilikuwa na tabia ya kutumia ukurasa wangu wa facebook kushare mambo yanayohusiana na utaalamu wa fani yangu, na watu wengi wakawa wanachangia maoni
Bado nakusubiri mpendwa [emoji16]Nitakundikia pm
Umekumbuka wapi?H
Hahahaaa duuh nimekumbuka mbali.
Wanawake wenye sura za kiume mnajulikana tu kwa comment zenu hahahaHivi wanawake mnaong'ang'ania wanaume mnakuwa na shida gani? Mi wasap tu huwa simuamini mwanaume yoyote ndo ije humu kwa watu wasiojulikana thubutu labda kama tunafanya biashara hapo tunaonana kupiga dili na sio kulana tunda
Mkuu hakuna mtu mbaya, sema macho yako yaliona ivyo, hapa duniani kila mtu anawakeHongera yako!
Miaka kadhaa nyuma nilikuwa nikiwasiliana na dada mmoja Fc. Yeye alikuwa Dar na mimi mkoani. Tulikuwa tukiwasiliana sana Messenger lakini hatukuwahi kuonana kwa zaidi ya mwaka. Aliniambia yeye ni mfanyakazi wa katika saluni moja hapo Kinondoni B. Katika ukurasa wake wa Fb alikuwa akirusha picha zake nzuri sana zenye mvuto wa hali ya juu.