Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Nikazama kwenye email ni ka type fasta jina lake likaja na namba yake, nikapiga ikawa inaitaa wewee nikajua Mzee Baba nimechemsha, mara gafla akapokea nikamwabia mimi ni fulani, akasema okay ngoja niisave namba yako. Siku hiyo nilikuwa na wenge la ajabu sana, najiuliza nimpeleke wapi hiyo out jioni, je atakubali au atazingua, Shetani alivyo wa ajabu hiyo siku ilienda kasi baalah mara saa moja jioni ishafika.


Nikarudi Home fasta nikapata wazo ni mpeleke kule Beach za Chuo cha Saut maana kule ndio kulikuwa karibu na Gheto, saa Moja na nusu usiku nikapiiga simu haikupokelewa, nikajisemea hapa nishachinjiwa baharini, nikawa Gheto nikahamua tu nijiboost tu Wisky kidogo, baada ya dakika kumi na nane hivi nikasikia mlio wa SMS, lile wenge si la kitoto maana uwezi jua kama ni mi SMS ya promosheni ya Voda au ya yule Pisi nadhani mabaharia situation kama hiyo huwa mshapitia.




Kucheki SMS nikaona jina yule Pisi "Sorry nilikuwa kwenye kikao cha Majumuisho, nipo Hotel... we uko wapi?. Hii sms Mzee Baba ukipata kama hii kwa PISI unayoitunuku inatibu magonjwa yooote yaani Ebola, Dengue, Kisukari , Kansa..
Mzee Baba nikarply nikamwambia nakuja dakika sifuri, maana kumbe akufikia mbali sanaa na napokaa, nilivyofika tu nikambeba kwenye Ndinga, akasema unanipeleka wapii? Nikamwambia ni surprise Dear! Ujue kwa sisi ambao tumezaliwa Dar tunahamini Dar ndio kila ila Mzee Baba tunajidanganya kuna sehemu uku Kanda ya Ziwa ukimtoa mtoto mkali out na ndio labda first time kufika haweza amini kama yuko Mwanza, maana hilo chaka limetulia kuna kaupepo fulani cha Ziwani tofauti kabisa na cha Baharini.


Itaendele soon..
 
Mkuu kwa mfano mm niko 20+ nikiwa nadoo na she 30+ kuna ubaya wowote..madhara?
Bro mimi naona it all depends with your conscience, kama nafsi haikusuti, huharibu ndoa ya watu wala huingilii mahusiano ya watu lakini kikubwa zaidi hujaweka uhai na usalama wako rehani, kula tu. After all age is nothing but a number. [emoji23][emoji111]
 
Kufupisha Story baada ya kutoka kule Ziwani nikaomba apafahamu home Pisi ikakuubali kuja Gheto! Katika Story kumbe alikuwa ana maugomvi na jamaa yake, kwa hiyo mi ndio nikaona ni opportunity kwangu, kwa hiyo Mi nikawa najiboost na Whisky ile Pisi ikawa inapiga Wine, maana Principle yangu kubwa Gheto lazima kuwe na Whisky au Wine.

Katika story nikachombeza sana kumsifia, jinsi gani alivyo pendeza na jamaa yake anafanya kosa kubwa saana kutupa almasi topeni kwa kumuumizaa. Pia pongezi nyingi Sanaa za kutunza ngozi yake, maana vidada vya mjini lazima wangeipiga Mkorogo wakati ngozi yake ni nzuri na nyororo kuliko wanawake woote Duniani.

Kimzaha kimzaha Pisi ilitoa mzigo na nadhani ni muda mrefu alikuwa hajagegedana na mtu, japo nilikuwa nishapiga Whisky lakini pombe haukupanda kichwani, na confidence ilipotea kabisa na mapigo ya moyo kwenda kasi mnoo. Katika siku nilipiga mechi mboovu ni siku hiyooo Mzee Babaa maana sikuamini kama ile Pisi ingenipa Papuchi kwa style…

Mimi mwenyewe nilijistukia ikabidi nimchane nikamwambia aniwie radhi kwa kwa Gemuu mboovu maana kutokana na nilivyokuwa namuhusudu , jinsi alivyoumbwa akaumbika, sikuweza kuamini siku moja angenipa penzi lake So nikapoteza confidence, ikabidi ni mchekeshe kidogo.. ‘’Navyojijua mimi siwezi piga game kiwango kiboovu kama game la ‘GWAJI BOY’. ‘’ Pisi ikacheka sanaaa. Nikajipa matumaini

Asubui mida ya saa kumi na moja na hivi na kile kibaridi cha Mwanza Mzee Baba ndio nikaanza piga game kiwango cha Kimataifa, nilipigaa nilipigaa nilipigaaa, Wale wenzetu kusema kweli maji wanayo sijui ndio mnaita Squirting sijawai onaa aisee Mtoto mtamu balaah alafu achoki sasa kila style yumo , Godoro na kochi yalijaa maji aisee…

NAMKUMBUKA SANA HII PISI NOW DAYS IKO SWEDEN INAPIGA MASTER’S IKITUA DSM LAZIMA IJE ROCK CITY. I MISS U A LOT C….
 
Kufupisha Story baada ya kutoka kule Ziwani nikaomba apafahamu home Pisi ikakuubali kuja Gheto! Katika Story kumbe alikuwa ana maugomvi na jamaa yake, kwa hiyo mi ndio nikaona ni opportunity kwangu, kwa hiyo Mi nikawa najiboost na Whisky ile Pisi ikawa inapiga Wine, maana Principle yangu kubwa Gheto lazima kuwe na Whisky au Wine.

Katika story nikachombeza sana kumsifia, jinsi gani alivyo pendeza na jamaa yake anafanya kosa kubwa saana kutupa almasi topeni kwa kumuumizaa. Pia pongezi nyingi Sanaa za kutunza ngozi yake, maana vidada vya mjini lazima wangeipiga Mkorogo wakati ngozi yake ni nzuri na nyororo kuliko wanawake woote Duniani.

Kimzaha kimzaha Pisi ilitoa mzigo na nadhani ni muda mrefu alikuwa hajagegedana na mtu, japo nilikuwa nishapiga Whisky lakini pombe haukupanda kichwani, na confidence ilipotea kabisa na mapigo ya moyo kwenda kasi mnoo. Katika siku nilipiga mechi mboovu ni siku hiyooo Mzee Babaa maana sikuamini kama ile Pisi ingenipa Papuchi kwa style…

Itaendele soon..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani mechi ikawa mbovu tena????? Bila marudio
 
Bro mimi naona it all depends with your conscience, kama nafsi haikusuti, huharibu ndoa ya watu wala huingilii mahusiano ya watu lakini kikubwa zaidi hujaweka uhai na usalama wako rehani, kula tu. After all age is nothing but a number. [emoji23][emoji111]
Mkuu nimekuelewa ila huzo verses za chini zimenitisha kidogo...
 
Wanakujulia wapi??
Siku zote dem akikuelewa jinsi unavopiga miti usiwe unamtoombea kwake na pia daily badilisha hote
Mkuu ungekuwa ni wewe ungeendelea kupiga na kutumia pesa wanazotoa wanaume wengine??
Mimi niliona inaweza kuwa hatari aiseeh..
Kwanza alihongwa ile IST na manager wa CRDB alikua na washkaji wengine wenye pesa kama watatu wanaompa pesa...

Wangenijua mimi ndio nazitafuna hizo pesa si wangeniua??
 
Kufupisha Story baada ya kutoka kule Ziwani nikaomba apafahamu home Pisi ikakuubali kuja Gheto! Katika Story kumbe alikuwa ana maugomvi na jamaa yake, kwa hiyo mi ndio nikaona ni opportunity kwangu, kwa hiyo Mi nikawa najiboost na Whisky ile Pisi ikawa inapiga Wine, maana Principle yangu kubwa Gheto lazima kuwe na Whisky au Wine.

Katika story nikachombeza sana kumsifia, jinsi gani alivyo pendeza na jamaa yake anafanya kosa kubwa saana kutupa almasi topeni kwa kumuumizaa. Pia pongezi nyingi Sanaa za kutunza ngozi yake, maana vidada vya mjini lazima wangeipiga Mkorogo wakati ngozi yake ni nzuri na nyororo kuliko wanawake woote Duniani.

Kimzaha kimzaha Pisi ilitoa mzigo na nadhani ni muda mrefu alikuwa hajagegedana na mtu, japo nilikuwa nishapiga Whisky lakini pombe haukupanda kichwani, na confidence ilipotea kabisa na mapigo ya moyo kwenda kasi mnoo. Katika siku nilipiga mechi mboovu ni siku hiyooo Mzee Babaa maana sikuamini kama ile Pisi ingenipa Papuchi kwa style…

Mimi mwenyewe nilijistukia ikabidi nimchane nikamwambia aniwie radhi kwa kwa Gemuu mboovu maana kutokana na nilivyokuwa namuhusudu , jinsi alivyoumbwa akaumbika, sikuweza kuamini siku moja angenipa penzi lake So nikapoteza confidence, ikabidi ni mchekeshe kidogo.. ‘’Navyojijua mimi siwezi piga game kiwango kiboovu kama game la ‘GWAJI BOY’. ‘’ Pisi ikacheka sanaaa. Nikajipa matumaini

Asubui mida ya saa kumi na moja na hivi na kile kibaridi cha Mwanza Mzee Baba ndio nikaanza piga game kiwango cha Kimataifa, nilipigaa nilipigaa nilipigaaa, Wale wenzetu kusema kweli maji wanayo sijui ndio mnaita Squirting sijawai onaa aisee Mtoto mtamu balaah alafu achoki sasa kila style yumo , Godoro na kochi yalijaa maji aisee…

NAMKUMBUKA SANA HII PISI NOW DAYS IKO SWEDEN INAPIGA MASTER’S IKITUA DSM LAZIMA IJE ROCK CITY. I MISS U A LOT C….
Mkuu naomba kuuliza kdgo,,,, umesema chuo umemaliza mwaka 2000 hivi, then hiyo PISI umekutana nayo miaka 5 na nusu baada ya wewe kumaliza, whch means ni kwenye year 2005 hivi kama skosei,,,,,,,,, sasa kwa mwaka huo habari za "GWAJI BOY" zinatoka wapi!!!!????[emoji848][emoji848]
 
Mkuu naomba kuuliza kdgo,,,, umesema chuo umemaliza mwaka 2000 hivi, then hiyo PISI umekutana nayo miaka 5 na nusu baada ya wewe kumaliza, whch means ni kwenye year 2005 hivi kama skosei,,,,,,,,, sasa kwa mwaka huo habari za "GWAJI BOY" zinatoka wapi!!!!????[emoji848][emoji848]
Nimeweka muda wa 2000's hivi kama code ili muhusika asijue kama yeye maana anapitaga sana Jamii Forum. Nimefanya hivyo kwa sababu kuna story nimeipiga jana niliweka mwaka kumbe kuna vijana waka tengua Code na wakajua hadi Block Pisi alipokuwa anaishi na dogo mwingne akajua hadi GARI Pisi alilokuwa anatumia miaka hiyo nikaona sio vema kutaja mwaka sahihi.
 
Nimeweka muda wa 2000's hivi kama code ili muhusika asijue kama yeye maana anapitaga sana Jamii Forum. Nimefanya hivyo kwa sababu kuna story nimeipiga jana niliweka mwaka kumbe kuna vijana waka tengua Code na wakajua hadi Block Pisi alipokuwa anaishi na dogo mwingne akajua hadi GARI Pisi alilokuwa anatumia miaka hiyo nikaona sio vema kutaja mwaka sahihi.
Oyaaa we boya mm siyo dogo ujue.....Hiyo kipindi mm napiga kazi ujue chuo ilikuwa second option halafu unanivunjia heshima kuniita dogo.
 
Mkuu naomba kuuliza kdgo,,,, umesema chuo umemaliza mwaka 2000 hivi, then hiyo PISI umekutana nayo miaka 5 na nusu baada ya wewe kumaliza, whch means ni kwenye year 2005 hivi kama skosei,,,,,,,,, sasa kwa mwaka huo habari za "GWAJI BOY" zinatoka wapi!!!!????[emoji848][emoji848]
Mkuu uzi umejaa uwongo huu yaani ni story za vijiwe vya kahawa usishangae.
 
Back
Top Bottom