Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Shida mimi sio mzurulaji, sidhani kama naweza kukutana na shida kama hizoWe ukiona mwenyeji wako haeleweki/hapatikani nicheki namba ni zle zle takuja kukuchukua ukale mema ya dunia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida mimi sio mzurulaji, sidhani kama naweza kukutana na shida kama hizoWe ukiona mwenyeji wako haeleweki/hapatikani nicheki namba ni zle zle takuja kukuchukua ukale mema ya dunia
Ngoja uanze harakati za utafutaji Kwa wiki unashangaaa umepita mikoa mitatu 🤔sema Sasa Kwa saiv kua na mwenyeji sio Jambo baya lkn sioni haja ya mwenyeji kama ukiandaa bajeti vzr mambo yako yataenda vzr tu🤔 15k-30k unapata guest nzuri ya kulala, 4k-10k unakula chakula muzuri kbsShida mimi sio mzurulaji, sidhani kama naweza kukutana na shida kama hizo
Hayo maisha mimi siyaweziNgoja uanze harakati za utafutaji Kwa wiki unashangaaa umepita mikoa mitatu 🤔sema Sasa Kwa saiv kua na mwenyeji sio Jambo baya lkn sioni haja ya mwenyeji kama ukiandaa bajeti vzr mambo yako yataenda vzr tu🤔 15k-30k unapata guest nzuri ya kulala, 4k-10k unakula chakula muzuri kbs
Kama hupajui sehemu unarequest Uber, bolt & farasi etc
Alibaki na nguo alizovaa tu. Hadi nguo zake manzi alipakia.Aa asee mwangwi maana yake hakuna hata kijiko
[emoji3][emoji3][emoji3]yan mwangwi maana akiongea anajiskia mwenyewe daah[emoji1]Mwenzio aliokota hivohivo, Akapeleka Geto.
Week ya kwanza, ya pili, ya tatu mara mwezi
Mwezi wa kwanza, wa pili, wa tatu akamuamini yule mlupo akawa anamwacha geto anakuta demu kapika,kafua, kadeki.
Mwezi wa nne jamaa yuko zake mishe demu akakodi kirikuu akasomba mazaga yote geto akatokomea kusiko julikana.
Jamaa kufika geto alikutana na mwangwi.
Ndio zao hapo inatokea hiyo hana ata pa kuanzia anabaki anaumia[emoji1787]Mwenzio aliokota hivohivo, Akapeleka Geto.
Week ya kwanza, ya pili, ya tatu mara mwezi
Mwezi wa kwanza, wa pili, wa tatu akamuamini yule mlupo akawa anamwacha geto anakuta demu kapika,kafua, kadeki.
Mwezi wa nne jamaa yuko zake mishe demu akakodi kirikuu akasomba mazaga yote geto akatokomea kusiko julikana.
Jamaa kufika geto alikutana na mwangwi.
[emoji16][emoji16][emoji16]Mwenzio aliokota hivohivo, Akapeleka Geto.
Week ya kwanza, ya pili, ya tatu mara mwezi
Mwezi wa kwanza, wa pili, wa tatu akamuamini yule mlupo akawa anamwacha geto anakuta demu kapika,kafua, kadeki.
Mwezi wa nne jamaa yuko zake mishe demu akakodi kirikuu akasomba mazaga yote geto akatokomea kusiko julikana.
Jamaa kufika geto alikutana na mwangwi.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kwamba mwangwi...akasema hiiiii mwangwi ukajibu tena hiii
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Aa asee mwangwi maana yake hakuna hata kijiko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Oyaa broo mkuu,, mi watu wa songea wote nawajua muulize jina lake na kijijichake isije kuwa binamu yangu mana sisi wote huku ndugu, ili nianze kukudai posa
Daah Kmmke[emoji16][emoji16][emoji16]Me hii kwangu imenitokea hakuna K nsiyoijua nimezalisha nimetoa mimba nimeweka vitanzi yan K zote nazijua kuna K zina sura mbaya nyie mungu anajua kuna mwingne alikua ana STDs yan ipo stage ya mwisho K yake kama imekatika hiv yan shavu la kushoto halipo limelika na bacteria
hii kada inakula sana totozMe hii kwangu imenitokea hakuna K nsiyoijua nimezalisha nimetoa mimba nimeweka vitanzi yan K zote nazijua kuna K zina sura mbaya nyie mungu anajua kuna mwingne alikua ana STDs yan ipo stage ya mwisho K yake kama imekatika hiv yan shavu la kushoto halipo limelika na bacteria
Wale wanawake au takataka zile?kwa wahaya Mwananyamala Hospitali huduma ya utelezi imefungiwa[emoji23][emoji23]
Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app
Kuna mstari mmoja kwenye wimbo wa jose mtambo unaitwa Shut Up anaandikaNilivyo acha kumla kimasihara mrembo mmoja hapa Dar.
Mwezi uliopita nimetoka zangu nyanda za juu kusini. Tukaingia Moro kwa kuchelewa kidogo, saa 10 ndio tupo Msamvu stend. Nisafiripo huwa napenda sana kukaa siti za mbele pale nyuma ya dereva au pembeni yake. Kufika Msamvu, ikaingia pisi moja matata sana. Nikamshobolea na kumwambia akae karibu nami siti ya dirishani nyuma ya siti ile wanayokaaga staff.
Safari ikaanza, njiani nikawa kimya wala simuongeleshi napiga story na dereva na konda. Kufika Mikese akaanza niongelesha kuhusu foleni na story zikaanza hapo. Tukazoeana na nikaona kabisa huyu namla ila nikawa nampotezea.
Kufika Magufuli, ananiambia unaelekea wapi? nikamwambia kesho nina kikao na USAID wametuita nitashukia mwisho wa gari Shekilango na nitaenda kulala pale Rombo Green View kwani nilishaweka chumba. Naye akasema anashukia huko huko. Kufika shekilango saa 4 hivi. Nikampa simu akaandika namba yake, lakini wakati tunashuka kwenye gari naona ananifuata mi kimya na akawa anazuga kuona kama nitaondoka naye pamoja kwenye bodaboda. Ikabidi nimwambie, leo nitakuwa busy kumalizia presentation usiku huu so nitakucheki kesho baada ya kumaliza day 1 ambayo ninatakiwa kupresent. Akaondoka kwa shingo upande.
Baada ya kumaliza siku 4 za kikao niliporudi kwangu nikawa namcheki tu kujuliana hali, cha kwanza ni kuniambia yeye ni mkristo nami mkristo na dini hairuhusu kuoa mke zaidi ya mmoja maana aliangalia DP yangu Whatsapp nikiweka picha ya mke wangu na watoto. Ile pisi ni nzuri kwa kweli na ningekojolea sehemu nzuri sana. Sasa hivi mara airlock, mara Ani unblock mara anisuse mara anitafute yaani kupimana tu ila binafsi sina mzuka naye kwani umri wa mambo hayo ulishapita. Ingekuwa enzi za ujana wangu ningemlala siku ile ile.