Ulishawahi kulazwa kituo cha polisi na mkeo?

Inatia aibu kwangu au kwake?
Wapi nimesema hana pa kwenda? (laiti ungejua kipato chake na famikia yake ilivyo usingeongea haya, au ulizani ana njaa na kwao hapaeleweki ndio maana ukasema hivyo??)

- Hakuwa na nauli kwa sababu, baaba ya kutofautiana aliondoka na hela kidogo, akaitumia kwa nauli ya kwenda na chakula mchana. Hakukumbuka kuchukua card za benki, mimi niliitwa akiwa polisi jioni yake. Hapo unategemea angetoa wapi hela?
 
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ Nimecheka mpaka machozi yametoka .....vayolensi
 
Ndio, binadamu wa kike au wakiume tunapaswa kuwa na akiba muda wowote, kwenu hukuambiwa kuhusu kukanyaga nyanya za watu kipindi unakua?

Au umejilea mtaani.
Acha hasira dada.
Kukosa hela mfukoni ni kawaida, inategemea mazingira yaliyopelekea hivyo.
Kwa hiyo wewe ukiwa huna hela huwezi kutoka kwa kuogopa kukanyaga nyanya za watu?
 
Angepanda boda akifika penye hela achukue alipe. Mbona simple sana.
 
Ulipambana sana
 
Mimi wife aliniweka lupango kwa kudai nimekaa mda mrefu sana grocery. Nashangaa gari inapaki naambiwa natakiwa kituoni, kufika naambiwa wife kanipeleka kwa kosa la kulewa. Nikalala selo kesho yake nikatoka. Grocery yenyewe ni mita 20 tu toka home.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ikawaje!
 
Bado mpo pamoja?
 
Kama ulimuacha apo ndio ulicheza kama pele
 
Angepanda boda akifika penye hela achukue alipe. Mbona simple sana.
Simple kupitia story sio reality.
-kumbuka ametoka kuzodolewa na wadada wenzake polisi, amepanic, unategemea atakuwa na utulivu wa akili kufanya uamuzi huo.
- kumbuka polisi nili demand nipelekwe mahakamani, (hatukumaliza kwa amani) yeye angekuwa na uhakika gani kuwa nitamruhusu kuingia ndani achukue hela alipe boda boda?
 
"kishikaji" au ulihonga?
 
Afande alinifuata korokoroni alfajiri akanipa njia ya kujinasua kwenda mahakamani nayo ni kumpa 50k, nilimuelewa na ndivyo tulivyomalizana kishikaji kwa kumpa afande hiyo hela,
Afande alichukua pesa kukuweka ndani toka kwa mkeo, na akachukua 50k toka kwako kukutoa nje. Usifikiri alikusaidia sana hapana, ni vile ungeenda mahakaman asingepata kitu
sijui afande alivyomwambia mke wangu, Ila my wife aliniambia tu kuwa kafuta kesi hivyo twende nyumbani.
Subir kwanza, ina maana ni yf wako mdio alikufuata tena kwamba twende nyumban nimefuta kesi? Kwamba huruma ilimrudia ? Ahahaha.
 
Vere good mkuu kuliko kuua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…