Ulishawahi kulazwa kituo cha polisi na mkeo?

Wala usipige. Ondoka zako nenda bar au kwenye starehe nyingine. Kushachafuka watu wanatembea na magonjwa ni sababu tu ya kumalizia ndo inahitajika. Unakuwa muuaji wakati ulipiga tu kofi.
Hiyo mbinu ilinisaidia mara nyingi sana, wife akianzisha fujo tu nafungua mlango natembea hatua 20 niko grocery, nikirudi ni kulala tu.
 
Huko kumalizana kishikaji,,ndio kumalizana gani??embu fafanua inaweza kuwa ni mbinu Bora ya kutumia endapo na Mimi huyu wangu naye akibahatika siku kunipeleka Kwa wafanyakazi wenzangu
Eti kwa wafanyakazi wenzako alafu hujui "kumalizana kishkaji"πŸ€£πŸ™Œ
 
Sasa hasira za nini dada yangu mweupe mweupe 🀩
Subiri kwanza, we ni nani? Yupi? JF bwana! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ila mkuu umenikera sana jinsi ulivyomtreat huyo mwanamke wako kwenye hilo suala, yawezekana una mazuri yako kwake, lakini hilo specifically umekosea sana, ndio maana Masai dada hapo juu amekuuliza kama bado mpo pamoja. Ilitosha sana huyo dada kutokukuangalia usoni tena.
 
Mhusika ameisema kwa kejeli nami nikamuuliza kwa kejeli kwanini mkeo hakuwa na nauli? Ameisema as if it is funny wakati si kitu kizuri.
His wife did unwise act to his husband,he called Kanjo on him wich caused his husband to sleep in cell.fortunately to him and unfortunately to his wife the marriage ended there.
So, we can't expect him to narrate the story in remorseful way.

Wanawake mtafute hakima walizokuwa nazo mama zetu.
Kesi kama hizi zilikuwa zinaishia uani tu.
 
Malizia stori mkuu

Duuh

Pole na hongera πŸ˜‚πŸ˜‚ aiseee

Malizia mkuuπŸ™Œ

Endelea πŸ™„
Sikurudi nyumbani kwa siku tatu.
Tulipokuwa tunakaa sio mbali na kwao, ni mji mmoja. Nikaamua kuwapeleka watoto kwa bibi yao (mama yake) lakini nikamsimulia kilichotokea na kumuomba asimwambie nataka kumfundisha tu asiwe anapenda kukimbilia polisi kwa tatizo dogo kama hilo. Mama akakubali (alikuwa ananipenda sana kama mkwe anaemjali) akawa anampigia simu mwanae kuhakikisha yuko salama (huruma ya mzazi) lakini hasemi chochote kuhusu watoto.

Baada ya siku 3 nikarudi home peke yangu, akauliza watoto nikamwambia siku ile ulivyoamua kuwaacha na njaa ulitegemea wanaangaliwa na nani? Nimeona huwajali nimewapeleka kituo cha watoto yatimaπŸ˜…. In short aliteseka sana mpaka kujua watoto walipo, maana polisi aliogopa kurudi tena, nyumbani kwao hakutaka kuwaeleza ukweli wa tukio maana ni aibu kwake na kwao nakubarika sana wangembadikikia wote.

NB: ukitaka kumaliza kiherehere cha mwanamke, waweke karibu ndugu zake, hasa mama. Automatically anakosa mtetezi kwao.
 
Kwenye emoj nitakujibu, subiri. 🀭

-Dada yangu naomba unionyeshe baya nililomfanyia huyo mpezi wangu.?
-Naomba ushauri wako, ningefanyaje kwa tukio hilo?
Napenda kujifunza
 
Mimi wife aliniweka lupango kwa kudai nimekaa mda mrefu sana grocery. Nashangaa gari inapaki naambiwa natakiwa kituoni, kufika naambiwa wife kanipeleka kwa kosa la kulewa. Nikalala selo kesho yake nikatoka. Grocery yenyewe ni mita 20 tu toka home.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huu uelewa wangu kdg niingie Chaka. Nilijua unamaanisha ulilala na mkeo polisi kwa maana wote mlishikiliwa kumbe mke ndo alikusababishia kulala polisi. Pole sana!
 
Daaah aisee nakumbuka hapo majuzi kati aunt(mshangazi) alisema nimechukua laptop yake...

Alinitishia kunipeleka polisi.
ilibidi niende polisi aiseeee

Alikuja kuiona mana wanasema alisahau kwa gari la rafiki ake sijui.
Mpaka leo nimemkaushia tuu maana naona ana wenge sana aiseeee
πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
AsieeeπŸ™Œ
 
Huu uelewa wangu kdg niingie Chaka. Nilijua unamaanisha ulilala na mkeo polisi kwa maana wote mlishikiliwa kumbe mke ndo alikusababishia kulala polisi. Pole sana!
Ndo maana hata mimi nikawahi mapema kusoma huu mkasa daah πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Lucha kama lucha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…