becknature
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 665
- 825
Wazee wetu kule wanathamini kitochi sana.Baba yangu huwa hapendi zawadi kabisa, kuna kipindi nili mnunulia suti nika mpelekea kama zawadi kuipokea akaifungua nikasikia, YESU NA MARIA MWANANGU UME NINUNULIA SUTI hii hela sibora ungenipatu nikaenda kunywa kitochi chambege hapo kwa mama matilii