Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mababa wengine laanakum, wanawanyandua watoto wao....Wanatibuana kisa nini[emoji23]
Kwani baba na mama yako hawaishi pamoja?Baba nishawah mnunulia mashati na suruali,na viatu sandals,pia siku nyingine namtumia anunue mwenyewe ,Ila mara nyingi yeye hupenda sigara [emoji2303][emoji2303] utasikia oyaaa Tuma basi pesa kidogo ya sigara mtoto wangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mama nilimnunulia Friji ,Sofa,Tv,Kabati ,kiwanja sijui nitainua lini boma na kumaliza [emoji2303][emoji2303]
Mikoba,Magauni na vitenge huwa nampa kila mara nikipata pesa namnunulia
Siku nikiwa na mihela mingii sijui nitamfanyia nini mama yangu jamani
Kwani baba na mama yako hawaishi pamoja?
Halafu mama analamba zawadi kubwakubwa kuliko baba....Ndio washatengana zaman sana namim nilikulia kwa baba kwa mama nimekuja nikiwa mkubwa kabisa
Da unakosa fadhila za mzaziSijawahi na sitawahi kumpa chochote kila mtu na time yake.
Ila baba ako yupo humble, anakuomba binti yake pesa ya fegi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baba nishawah mnunulia mashati na suruali,na viatu sandals,pia siku nyingine namtumia anunue mwenyewe ,Ila mara nyingi yeye hupenda sigara [emoji2303][emoji2303] utasikia oyaaa Tuma basi pesa kidogo ya sigara mtoto wangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mama nilimnunulia Friji ,Sofa,Tv,Kabati ,kiwanja sijui nitainua lini boma na kumaliza [emoji2303][emoji2303] (bima ya afya anayo alikatiwa na kaka ambae first born)
Mikoba,Magauni na vitenge huwa nampa kila mara nikipata pesa namnunulia
Siku nikiwa na mihela mingii sijui nitamfanyia nini mama yangu jamani huwa namuwaza sana mama angu kuliko baba japo mie nimelelewa upande wa baba
HahahahaIla baba ako yupo humble, anakuomba binti yake pesa ya fegi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Raha sana kuwa na mazoea na wazazi, yaan nikikaa na mommmy utadhan mtu na rafiki yake, story zitapigwa hapo plus udaku yaan tafrani tupu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mshua yupo peace na brohz mkubwa (second born) yaan hadi kwenye tungi wanaenda wote, [emoji23][emoji23][emoji23] ila wazazi bhan lol
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Usijali mkuu.Asante.Da unakosa fadhila za mzazi
Yap...... Hasa madingi Ila Kuna wamama nao Moto wa kuotea mbaliSema mkuu wazazi wengine wanazidi ukatili ........coz wana assume ukatili ni prestige
Daah pole sanaSikulelewa na baba,alifariki nikiwa mdogo,nikalelewa na mama na kaka yangu ambaye ni marehemu sasa,kaka yangu alinilea kama mwanae nilimpenda sana,angekuwa hai leo ningemfanyia mambo makubwa mwenyewe angeshangaa,kuna kipindi nikiona vitu vizuri vya kiume namkumbuka natamani angekuwepo nimfanyie sapraise.endelea kupumzika kwa amani kaka[emoji22][emoji22][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Hanakosaje wakati yy mxzi hakumuhudumia?Da unakosa fadhila za mzazi
Si ana watoto wake unaweza wasaidia ukahisi furaha ileile ambayo ungepata kwa wazazi wao.Sikulelewa na baba,alifariki nikiwa mdogo,nikalelewa na mama na kaka yangu ambaye ni marehemu sasa,kaka yangu alinilea kama mwanae nilimpenda sana,angekuwa hai leo ningemfanyia mambo makubwa mwenyewe angeshangaa,kuna kipindi nikiona vitu vizuri vya kiume namkumbuka natamani angekuwepo nimfanyie sapraise.endelea kupumzika kwa amani kaka[emoji22][emoji22][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
AsanteDaah pole sana
Aisee yani kuna muda huwa nafikilia ni ile Law ya wachumi ya "Diminishing of Marginal Utility" inafanya kazi kwao maana si mchezo!! Kwasababu tabia zao ni zile zile toka tupo wadogo, so ukifikiria sana upati jibu kamili zaidi ya kurudi hapo kwa wachumiWanatibuana kisa nini[emoji23]
Ndivyo ilivyo kwa sasa namlipa upendo wake kwa watoto wake aliowaacha,niliachwa akanilea,nae kaacha wanae nawalea!!kikubwa kila mara nikiona kaburi lake linanikumbusha kuwajali yatima na wasiojiweza with free heart.!! katika uhai wake kwa kidogo alichobarikiwa aliwajali sana watu wasiojiweza.Si ana watoto wake unaweza wasaidia ukahisi furaha ileile ambayo ungepata kwa wazazi wao.
Ubarikiwe sanaMwanzo nilikua natuma hela, ila nilibadilisha kulingana na status aliyokuwa nayo. Yaani iko hivi mshua alikua senior officer NGO flani hivi, baada tu ya kustaafu akaanza kuishi maisha ambayo hakuwahi yaishi yaani ile hadhi ya chini kabisa mara mashati/viatu vilivyochanika, hapo unakuta maza hana time nae.
Sasa kazi yangu ni kufix hilo eneo, yaani tamtafutia Tishet classic na open shoes za ngozi ile pure kabisa mwenyewe akitinga anaweka na mkanda nje kwenye suruali. Na huwa anazipenda sana hizo zawadi. Kiukweli mie mshua huwa namkubali sana japo nae pia alikua anapungufu yake. Ila yeye ndio sababu ya mie kuwa hapa nilipo.