Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Mi nilishindwa kuvumilia kwa kweliUlifanya ukatili wa kiwango kikubwa mno kupata kutokea duniani😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nilishindwa kuvumilia kwa kweliUlifanya ukatili wa kiwango kikubwa mno kupata kutokea duniani😄
Haya bana..wewe ndo unanifaaSahivi mi ni mwanamke
Of course yes ingawa Sio mara nyingi sana.ni mara chache mno..Ushawahi hata chit chat Naye mahali
Ulishawahi kumwambia Rrondo?au na wewe ndo umekaza shingoAcha tu My dear
Maskini wewe😁😁😁Imebidi niulize! Maana ni wengi tumefanya huo mchezo!
Hatari sana aiseh..Mi nilishindwa kuvumilia kwa kweli
Anko frog bhana...hakuna yeyote wakuibashiri hii ngoma aise.wote niliowataja hawakuwahi kufikia hata robo kwa huyu masta.na ndo mana sifikirii kumtaja humu ndani sasa hivi wala baadaeMulemule![emoji16]View attachment 1757613
Binamu imebidi nitafute mahali niliposema naangalia sura ila sijapaona. Nioneshe ni wapi mdogo wangu.Kumbe unaangalia sura aisee...BET LOST maini!
Mmh sawa na kule kwenye kijiwe Chetu kashawahi kuchat au hajawahi kabisa hata kuonesha pua yakeOf course yes ingawa Sio mara nyingi sana.ni mara chache mno..
Huu ugonjwa ni mbaya sana unahitaji nyungu ya kujifukiza
Hahaha ngumu Mno mamaUlishawahi kumwambia Rrondo?au na wewe ndo umekaza shingo
[emoji16][emoji16] [emoji41][emoji41]Maskini wewe[emoji16][emoji16][emoji16]
Maturity! Tusamehe tukikuwa tutaacha!Hatari sana aiseh..
Binafsi sijawahi kumkimbia Mtuna sifikirii kufanya hivyo.
Huwa naamini kama swala lililowafanya mkakutana halijafanikiwa basi kuna maisha mengine.huwa najaribu kuvaa kiatu cha mtu kwanza..so siwezi aiseh..ila sasa akileta usumbufu ndo hapooo atakaponifahamu..vinginevyo..Sion sababu ya kumkimbia mtu wala kumuona vibaya
Yaaanii!...you made my day[emoji1431]...Wewe Rowin wewe![emoji3590][emoji7][emoji257][emoji3059][emoji257][emoji8][emoji257]
😄😄karma bhana..Mmh sawa na kule kwenye kijiwe Chetu kashawahi kuchat au hajawahi kabisa hata kuonesha pua yake
Nakusalimu nduguSahivi mi ni mwanamke
Yes mama mwanamke itakiwa ukaze kiainaHahaha ngumu Mno mama
😄😄😄Hebu hukoooo karma 😃😃Maturity! Tusamehe tukikuwa tutaacha!
Sawa sawa bwana kunguruMi nikiona makalio makubwa hapohapo na fall madly in love like road side Romeo
Sura sijali