Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
😂😂😂😂😂niache kwanzaKumbeee...ngoja kesho na keshokutwa uje ukutana na yule mtu anafanana kama Joti wakati anaigiza vile vituko vyake.sasa pata picha,ile suruali ya Joti,kofia yake iliyokaa upande,alivyoikunja chini,kapandisha mayeno,ule mshati 🤓lazima uvunje ugoko