andromena
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 587
- 668
ili nas tukmbianeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama vp na sisi tukutane mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ili nas tukmbianeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama vp na sisi tukutane mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23] me simfai kwa mtumiz ..... nmpenda kama bloo tu so chura yang hana kaz nayo[emoji23]Una chura?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji134][emoji134][emoji134]Ngoja kwanza leo nitangulize picha kabla ya kuonana![emoji16]View attachment 1757612
Huyo ndiye kaka yako,inabidi umvumilie![emoji23][emoji23][emoji23][emoji134][emoji134][emoji134]
Hahaha ila nimemis sana hii moment yaan unakuwa na picha yako kichwani na kinachokuja kingine kbsaili nas tukmbianeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo uvumlivu muhimu Sanaaa[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo ndiye kaka yako,inabidi umvumilie!
Ntavokimbia cpat pcha asee[emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha ila nimemis sana hii moment yaan unakuwa na picha yako kichwani na kinachokuja kingine kbsa
Hebu jikaze kufika huko piemu😂😂Hahahaha mi ulevi wng sura tu,sijuh kiuno,takro au guu ivyo kwng nyongeza. Mungu antie nguvu nipate ujasiri wa kuja uko PM tuyajenge [emoji4]
Let meet buana you never know unaweza ukaanza kukimbilia badala ya kukimbia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ntavokimbia cpat pcha asee[emoji23][emoji23][emoji23]
Nikupe muda gani kuimaliza hiyo eksesaizi dada😜Mmh hebu ngoja nikajipe Hii eksesaizi [emoji16][emoji16] [emoji125][emoji125]
Inakataa [emoji58]Hebu jikaze kufika huko piemu[emoji23][emoji23]
Anakuja mkuu, na una bahati yako pekee maana hajatag-iwa.Nipo napitia steps by steps kuona kama kuna kiumbe yoyote yuke kamquote huyu kivuruge wangu cariha cariha niandamane ila mpaka Hapa nilipifikia sijamuona yeyote yule mm binafsi namuita huyuu mdada namkubali
Sent using Jamii Forums mobile app
You always try to vice little girl! We ni muroro mudogo! Hio body isikupe kibri wala be calm and sip some milk and cornflakes!Ndiyo niliposema wanaume wengi wa Arusha ni wazuri wa sura nilimaanisha! Lakini hakuna mahali niliposema eti Mimi nikipenda mwanaume naangalia sura!
Tofautisha kati ya kumpa mtu sifa yake na kumtaka kimapenzi hapo ndiyo ulijichanganya! Halafu kumbe siku zote ulijuaga wewe ni mkubwa kwangu dogo!
Nipe "Bila Kikomo" DadaNikupe muda gani kuimaliza hiyo eksesaizi dada[emoji12]
🤪🤪🤪watu wanaangalia comments na kuona pengine labda ni vianafunzi vya chuo 😜kumbeee...ni mtu umejichagulia maisha ya kutotabirika..Ndiyo niliposema wanaume wengi wa Arusha ni wazuri wa sura nilimaanisha! Lakini hakuna mahali niliposema eti Mimi nikipenda mwanaume naangalia sura!
Tofautisha kati ya kumpa mtu sifa yake na kumtaka kimapenzi hapo ndiyo ulijichanganya! Halafu kumbe siku zote ulijuaga wewe ni mkubwa kwangu dogo!
Hiyo bila kikomo hapana aisehNipe "Bila Kikomo" Dada
Hahaha ujue mimi dada yako kijana! Vile unaona nakuchekea humu kila siku ndiyo unanichukulia kama mtoto mwenzio eh!You always try to vice little girl! We ni muroro mudogo! Hio body isikupe kibri wala be calm and sip some milk and cornflakes!