Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Naam kabisaSawa sawa bwana kunguru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam kabisaSawa sawa bwana kunguru
Sijambo kakaNakusalimu ndugu
Kwa sasahivi unazani jeuri hiyo nnayo basi😂😂, ila by then sikuweza jamani uongo dhambi😂Hatari sana aiseh..
Binafsi sijawahi kumkimbia Mtuna sifikirii kufanya hivyo.
Huwa naamini kama swala lililowafanya mkakutana halijafanikiwa basi kuna maisha mengine.huwa najaribu kuvaa kiatu cha mtu kwanza..so siwezi aiseh..ila sasa akileta usumbufu ndo hapooo atakaponifahamu..vinginevyo..Sion sababu ya kumkimbia mtu wala kumuona vibaya
Hauna jeuri hiyo Kwanini??kwani ulikuja kukatiza nae tena😄😄cute bhanaKwa sasahivi unazani jeuri hiyo nnayo basi😂😂, ila by then sikuweza jamani uongo dhambi😂
Kazi yako ilitishia usalama wa penzi lake kwako😅😅Umenikumbusha mbali sana enzi hizo nilimpendaga member mmoja wa JF maarufu enzi hizo kwa jina la rubii
ukweli sikuwahi kumfahamu kwa sura ila taratibu nilijikuta nampenda mpaka kutamani kumwoa nilimsumbua sana inbox mpaka ikafika wakati nikaanzisha uzi kwa ajili yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sema alinichomolea nje sababu kubwa ni baada ya kujua mimi nauzaga majeneza hii kitu ilimfanya anikatae lakini sio mbaya baadae nilifanikiwa kumfahamu kupitia picha kwa msaada wa member mmoja wa kike ambaye alikuwa anafahamiana naye japo aliniomba ibaki kuwa siri ila ndo nilifanikiwa kuona picha halisi za mdada na kufahamu maisha yake halisi nje ya JF kifupi alikuwa ni mdada flani mstaarabu na anajielewa.
Impliedly huwezi zungumzia kitu ambacho hukimaanishi af mie lini nimeanza kuwa dogo kwako? Hebu tia adabu kidogo mama😎 kuna watu wengi sana naheshimiana nao humu!Binamu imebidi nitafute mahali niliposema naangalia sura ila sijapaona. Nioneshe ni wapi mdogo wangu.
aHAHAHAHA ETI KAKITU... kuna wakati unaona tu dubwasha linakuja na linaonyesha kabisa linakusaka...Nilishamfanyia mtu enzi hizo😂😂😂 siku ya kuonana niliwahi nikakaa sehemu nilivyoona ni kakitu ka ajabu hakaeleweki 😂😂😂 nkaondoka zangu kimyakimya
AsanteeeeeSijambo kaka
Inabidi niwe mpole tu sina namna. Inabidi nimfanyie "vetting" atakaebahatika kupata hifadhi moyoni mwako maana akikuumiza ni sawa na kuniumiza mimi [emoji1][emoji1]Yaani hata kuwa mke wa 3 ningekubali tu ila ndiyo hivo umejifunga mpaka kifo kije kiwatenganishe basi tena[emoji12]
It feels good to hear from you rafiki, uzidi kubarikiwa[emoji122]
Ubaya unakuja unaenda kumeet sehemu ambayo huijui lazima ung’ae macho ila kama unaijua utajibanza tu mahaliaHAHAHAHA ETI KAKITU... kuna wakati unaona tu dubwasha linakuja na linaonyesha kabisa linakusaka...
SEMA MKIKUTANA WOTE MMEJIBANZA, kila mmoja anasubiria mwenzie atokee...... ndo kizungumkuti kinapoanza
Weee saivi nikijikuta si ntazeekea home😂😂 amna yule nilimpotezea bhanaHauna jeuri hiyo Kwanini??kwani ulikuja kukatiza nae tena😄😄cute bhana
Eti sina jeuri hiyo😄
Imepotezwa na nini?Kwa sasahivi unazani jeuri hiyo nnayo basi😂😂, ila by then sikuweza jamani uongo dhambi😂
Nipo hapa dada angu kumbe unateseka kama mimi ninavyoteseka juu yako...[emoji11][emoji11]
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Ahahahaha kuwa yeye kuweza? Si mchezoHata kama...ndo univalie jezi nyekundu suruali ya kitambaa na raba 😂😂😂😂aii we kuweza
Au ni mimi ?
Teh teh teh......
ID nyingi za kiume ni wanaume kweli, lakini zenye kuonesha mtumiaji ni wa kike miaka yote JF hizo ndio zimekuwa na utata...
Hivi huo muda wa kuanza kujibanza huwa mnautolea wapi mwisho mje mng’atwe na tandu buree..Ubaya unakuja unaenda kumeet sehemu ambayo huijui lazima ung’ae macho ila kama unaijua utajibanza tu mahali
Kumbeee...ngoja kesho na keshokutwa uje ukutana na yule mtu anafanana kama Joti wakati anaigiza vile vituko vyake.sasa pata picha,ile suruali ya Joti,kofia yake iliyokaa upande,alivyoikunja chini,kapandisha mayeno,ule mshati 🤓lazima uvunje ugokoWeee saivi nikijikuta si ntazeekea home😂😂 amna yule nilimpotezea bhana
Nakazia sina jeuri hiyo😂
Sikuizi hamna hizo mambo tunaonana watsap kwanzaHivi huo muda wa kuanza kujibanza huwa mnautolea wapi mwisho mje mng’atwe na tandu buree..
Siku nyingine mmekubalia kuonana sehemu nenda kawaida acheni hizi Habari za kuwindana mtakuja vunjika miguu buree..