Ulishawahi kumpenda usiyemfahamu kwa sura?

Mi nilishindwa kuvumilia kwa kweli
Hatari sana aiseh..

Binafsi sijawahi kumkimbia Mtuna sifikirii kufanya hivyo.

Huwa naamini kama swala lililowafanya mkakutana halijafanikiwa basi kuna maisha mengine.huwa najaribu kuvaa kiatu cha mtu kwanza..so siwezi aiseh..ila sasa akileta usumbufu ndo hapooo atakaponifahamu..vinginevyo..Sion sababu ya kumkimbia mtu wala kumuona vibaya
 
Maturity! Tusamehe tukikuwa tutaacha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…