Ulishawahi kumpenda usiyemfahamu kwa sura?

Hivi huo muda wa kuanza kujibanza huwa mnautolea wapi mwisho mje mng’atwe na tandu buree..

Siku nyingine mmekubalia kuonana sehemu nenda kawaida acheni hizi Habari za kuwindana mtakuja vunjika miguu buree..
Kinachofanya watu wanajificha ni pale ambapo wewe kichwani una picha ya beyonce, unashangaa linatokea guluguja la maana... unaachaje kula kona? Mbaya zaidi ukute huko pm mmeshafika mbali hapo mmekutana kumalizia tuu..πŸ˜‚
 
Kinachofanya watu wanajificha ni pale ambapo wewe kichwani una picha ya beyonce, unashangaa linatokea guluguja la maana... unaachaje kula kona? Mbaya zaidi ukute huko pm mmeshafika mbali hapo mmekutana kumalizia tuu..πŸ˜‚
Ndo muachege sasa kuwa na mategemeo makubwa kwa watu...unaona mabalaa hayo sasa!!mtakuja kuvunja ngongoti mkufe buree
 

Daaah!!! huu Uzi umenigusa Moja kwa moja aiseeeeee
Ila Bado najihakikishia ni kweli Ni yeye Ndo anaichanganya Akili yangu japo Ximujui Au ni Mimi Najichanganya Tu....[emoji2315][emoji2315][emoji2315]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…