Papaa007
JF-Expert Member
- Sep 4, 2016
- 1,103
- 1,737
Naunga mkono hoja!Pia unaweza mchukia usiemfahamu....avatar huchangia
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja!Pia unaweza mchukia usiemfahamu....avatar huchangia
Sema tu kwamba ana sura ngum tofaut na comments zake za kudamshiNilimpenda yule kaka jamani nikiwa hata sijui anafananaje, nikiona ki-msg chake tu moyo wangu kwaatu naachia tabasamu mwanana, I'm thankful hata baada ya kufahamu sura yake halisi nashukuru sikujutia, We still good..!
yote mema..!!
Hee[emoji86][emoji86]Mtakatifu nimeona ile page.[emoji2957][emoji2957]mbona sio yeye sasa loh!!tangu siku ile nilikwambia sio yeye.
Hizo sifa alizozitoa hapo nahisi ndo za huyoo mchumba wake.
Nilikwambia mtakatifu hii kitu huwezi igundua aiseh..
Bora code bado haijaweza kufunguliwa
Dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]zimefanyaje kwani
Karma chukua dada yako huku ..atatuvunja mbavu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ni shida aiseh
Na mimi ndiyo niko nasubiri uitaje hiyo page! Maana umeniacha kwenye mataa ya mafiat!Karma njoo umuonyeshe dada yako,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Tobaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na mimi ndiyo niko nasubiri uitaje hiyo page! Maana umeniacha kwenye mataa ya mafiat!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Akuuuu...anza wewe...mimi sipendi vificho vya piemu
😃😃😃mtakatifu kubali umekosa tu hakuna kitu itaaribika ujue😄Hee[emoji86][emoji86]
Ramli zangu zinasngukia hapohapo.
Dada acha kunichota ili nibadili majibu ya ramli[emoji23]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Huyo anakufa na tai shingoni..labda kama atamtaja crush wake rr itapendeza sana🤪🤪Jehovah
Ohoooo unasuburi na kwenye page nikupeleke...dada..utachonga vyasi😃😃Na mimi ndiyo niko nasubiri uitaje hiyo page! Maana umeniacha kwenye mataa ya mafiat!
Bora tufe nazo tu kwakweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi mama ngoja tuendelee kufwa na tai zetu shingoni
AiseehKuna wawili niliwapenda sana humu JF, naam mmoja alinipa tabu mno, nisingeweza kulala bila kusoma post zake!
Aiseeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2]mtakatifu kubali umekosa tu hakuna kitu itaaribika ujue[emoji1]
Mkeka umechanika mtakatifu [emoji2957][emoji2957]
RRONDO naye kauzu[emoji1787][emoji1787]Huyo anakufa na tai shingoni..labda kama atamtaja crush wake rr itapendeza sana[emoji2957][emoji2957]Jehovah
Daah nimecheka kwa saut😆😆😆😆😆😆mimi nilipendana na mwana jf mmoja....siku tulivyokutana physically tuliongea baada ya kuachana akaniblock....i know sikumvutia coz nina sura mbaya sana (Najijua) na wala simlaumu hata mimi ningekua yy lazima ningeblock......
Sio kupenda kwangu lakini[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
No hajaingia JF kitamboRRONDO naye kauzu[emoji1787][emoji1787]
Siku ile watu kibao wamemtaja ila hakutokea[emoji16]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Oh kumbe!No hajaingia JF kitambo