Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hee[emoji86]Muache espy wa watu atulizane huko, akija hapa moto wake utauweza kweli?[emoji23]
Kwani siyo yeye?
Usitake kuniambia nimechana mkeka[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hee[emoji86]Muache espy wa watu atulizane huko, akija hapa moto wake utauweza kweli?[emoji23]
Muache bi espy atulizane huko, mziki wake hutaweza kuucheza[emoji23][emoji23][emoji23]Hee[emoji86]
Kwani siyo yeye?
Usitake kuniambia nimechana mkeka[emoji23][emoji23][emoji23]
Usilolijua ni kiza kinene Chakorii [emoji23][emoji23][emoji23] hii miandiko mitamu Ila hata masia alishatushindwa.Kwakweli Hata mimi amenisikitisha mno.
Kumsimanga sitoweza ila nahisi nitamtoboa utosi [emoji1787][emoji1787]
Sasa si unitaje tu Eli jamani tuufunge huu uzi tukaendelee kufyatua matofali kwa ajili ya ujenzi wa taifa.Usilolijua ni kiza kinene Chakorii [emoji23][emoji23][emoji23] hii miandiko mitamu Ila hata masia alishatushindwa.
Ngoja aje[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Muache bi espy atulizane huko, mziki wake hutaweza kuucheza[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Kwakweli Hata mimi amenisikitisha mno.
Kumsimanga sitoweza ila nahisi nitamtoboa utosi [emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila hisia ni za ajabu nyie acheni aise.
Unaweza kuwa na hisia na mtu kumbe yeye hisia zake kazielekeza kwenye bangi,mirungi na ugali harage
[emoji1][emoji1]jamani
Huyo wa Eli ni mmoja wapo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Kuna watu wanacheza na bahati duniani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa si unitaje tu Eli jamani tuufunge huu uzi tukaendelee kufyatua matofali kwa ajili ya ujenzi wa taifa.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Acha tu hii kitu inatesa kweliIla hisia ni za ajabu nyie acheni aise.
Unaweza kuwa na hisia na mtu kumbe yeye hisia zake kazielekeza kwenye bangi,mirungi na ugali harage
[emoji1][emoji1]jamani
Haya punguza sauti ya kicheko mtakatifu..kuna watu wako kwenye kikao[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]Acha tu hii kitu inatesa kweli
Mnoooooo aisehAcha tu hii kitu inatesa kweli
Inawezekana kabisa kuna wanawake wanavuta bange..Huyo wa Eli ni mmoja wapo.
Kaniuzi sana
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kuna mgeni wako nimemuona kaja kukusabahi
Aiseeee[emoji1787][emoji1787]Haya punguza sauti ya kicheko mtakatifu..kuna watu wako kwenye kikao
Hata sielewi mi mwenyewe nimebaki nashangaa tuInawezekana kabisa kuna wanawake wanavuta bange..
Sasa alimchomoleaje jamani[emoji38][emoji134]