Hao wazazi wangu ukatili wao wapeleke huko wasinizoee.!! Wao wakati wananyapiana niliwaingilia?? Kwanza nishawaambia mimi sina dini, nimuache mtu anayenikuna vizuri niwaendekeze wao waliomaliza mwendo THUBUTUUU πΉπΉπ€£π€£π€£My Wii wew unaweza kuwa royal Kuna wazazi wakatili balaa π unaweza tamni Hama ukoo
Wengine tulishajua wazazi wetu ni watu wa dini sana,. Ndio maana mie kitu cha kwanza huwa nauliza kabisa kama sio mroma mapema kila mtu apite njia yake,.
Baraka za wazazi muhimu sana aiseeππ
Wewe una uthubutu sisi wengine ni WA kupangiwa Tena mm na uzee huu et wananipangia jmn tena sio mara moja natamni nihame ukoo huo wa kwenu umejaa?πHao wazazi wangu ukatili wao wapeleke huko wasinizoee.!! Wao wakati wananyapiana niliwaingilia?? Kwanza nishawaambia mimi sina dini, nimuache mtu anayenikuna vizuri niwaendekeze wao waliomaliza mwendo THUBUTUUU πΉπΉπ€£π€£π€£
Mimi ni Mroma pia ni mwenyekiti wa viwawa.Wengine tulishajua wazazi wetu ni watu wa dini sana,. Ndio maana mie kitu cha kwanza huwa nauliza kabisa kama sio mroma mapema kila mtu apite njia yake,.
Baraka za wazazi muhimu sana aisee[emoji119][emoji119]
Mimi ningepata wazazi jau ningebeba mimba halafu tuone watasemaje πΉWewe una uthubutu sisi wengine ni WA kupangiwa Tena mm na uzee huu et wananipangia jmn tena sio mara moja natamni nihame ukoo huo wa kwenu umejaa?π
πππUna mbinu wiiMimi ningepata wazazi jau ningebeba mimba halafu tuone watasemaje πΉ
Hao unawachekea dini zililetwa na wazungu na waarabu hata sizizingatii..!!
Njoo wifi ingia kwa cazee akupige kitumbo tulete posa πΉπΉπ€£
Piga chiniMimi nipo kwenye Hiko kipindi.
Nipo na msichana kwanza yuko third year chuo nimemkuta bikra.
Ana akili kubwa sana Yani ana uwezo mkubwa wa fast problem skills ana time management
Mzuri sana kila mtu haamini kama Nina mmiliki.
Wazazi wake sio haba wanajitegemea nikimuoa siwezi kuoa familia nzima
Hana marafiki wengi
Muelewa
Supporter sana financially
Yani ana kila sifa ya kuwa mke ila tatizo ni dini.
Yeye mkristo KKKT
Mimi muislamu.
Naona kabisa nampoteza ila sijui nifanyje
Huyu nipe Mimi mkuuMimi nipo kwenye Hiko kipindi.
Nipo na msichana kwanza yuko third year chuo nimemkuta bikra.
Ana akili kubwa sana Yani ana uwezo mkubwa wa fast problem skills ana time management
Mzuri sana kila mtu haamini kama Nina mmiliki.
Wazazi wake sio haba wanajitegemea nikimuoa siwezi kuoa familia nzima
Hana marafiki wengi
Muelewa
Supporter sana financially
Yani ana kila sifa ya kuwa mke ila tatizo ni dini.
Yeye mkristo KKKT
Mimi muislamu.
Naona kabisa nampoteza ila sijui nifanyje
Hapana kaka Huyu ni wanguHuyu nipe Mimi mkuu
Badili weweMimi nipo kwenye Hiko kipindi.
Nipo na msichana kwanza yuko third year chuo nimemkuta bikra.
Ana akili kubwa sana Yani ana uwezo mkubwa wa fast problem skills ana time management
Mzuri sana kila mtu haamini kama Nina mmiliki.
Wazazi wake sio haba wanajitegemea nikimuoa siwezi kuoa familia nzima
Hana marafiki wengi
Muelewa
Supporter sana financially
Yani ana kila sifa ya kuwa mke ila tatizo ni dini.
Yeye mkristo KKKT
Mimi muislamu.
Naona kabisa nampoteza ila sijui nifanyje
Watu wa dini wanazidiwa upendo hadi na Wapagani.Mimi nipo kwenye Hiko kipindi.
Nipo na msichana kwanza yuko third year chuo nimemkuta bikra.
Ana akili kubwa sana Yani ana uwezo mkubwa wa fast problem skills ana time management
Mzuri sana kila mtu haamini kama Nina mmiliki.
Wazazi wake sio haba wanajitegemea nikimuoa siwezi kuoa familia nzima
Hana marafiki wengi
Muelewa
Supporter sana financially
Yani ana kila sifa ya kuwa mke ila tatizo ni dini.
Yeye mkristo KKKT
Mimi muislamu.
Naona kabisa nampoteza ila sijui nifanyje
Kanisa letu linapigwa vita sana.Roma ilikuwa zamani, sasa hivi hamna kitu, mpaka mashoga ni mapadre hakuna lolote la kujivunia kwenye hilo genge
Imagine umemkuta ana vigezo vyote vya kuwa mke au mume ila kwakuwa sio wa dini yako unaachana nae unaenda kuoa au kuolewa na mzinzi pro max.Kwahiyo tafsiri ya mtu sahihi ni dini?
Km wa dini moja ndio mtu sahihi why ndoa zinavunjika?
Katika kitu Mwafrika ameshindwa kutofautisha ni Dini na Mungu.Kwa mwanamke kumpoteza mwanaume kisa dini ni ujinga wa kiwango cha lami.
Yani dini uliyozaliwa ukaikuta na mpaka leo inaonekana hili dude lililetwa kutoka huko bado watu wanashinikizwa kuacha mapenzi kisa dini?
Hasa kwa Afrika yani dini inchukuliwa kama ndio Mungu mwenyewe. Tutaendelea kuwa maskini wa fikra na mali kisa dini.
Hiki unachosema Kuna bestii yangu anapitia kwasas mnafanan au n wewe mkuu upo mkoa gan na Binti ulikutanaye mkoa gan real as fact.niambie naweza kupa feedback mkuuKuna muda unaanzisha mahusiano na mtu unaamini huyu ni wa ndoto kabisa ila linapokuja swala la dini unaishiwa nguvu kabisa.
Nilikutana na mtu mmoja alisema yeye hawezi kuolewa na mtu wa dini tofauti kwa sababu familia yake haitomruhusu na isitoshe baba yake amefariki hivyo hawezi kusaliti kiapo walichowekeana.
Nadhani ingefika mahali sasa hili jambo kwa wanafamilia litazamwe upya mana linaweza kupelekea mtu kumkosa mtu ambaye alimuona sahihikwa upande wake kisa dini.
Mkuu kama unayosema ni kweli hiyo Mali usiiache piga mimba haste haste akizaaa mtoto wa Pili ndo muamue we uitwe Daniel au yeye aitwe NasraMimi nipo kwenye Hiko kipindi.
Nipo na msichana kwanza yuko third year chuo nimemkuta bikra.
Ana akili kubwa sana Yani ana uwezo mkubwa wa fast problem skills ana time management
Mzuri sana kila mtu haamini kama Nina mmiliki.
Wazazi wake sio haba wanajitegemea nikimuoa siwezi kuoa familia nzima
Hana marafiki wengi
Muelewa
Supporter sana financially
Yani ana kila sifa ya kuwa mke ila tatizo ni dini.
Yeye mkristo KKKT
Mimi muislamu.
Naona kabisa nampoteza ila sijui nifanyje
Weka mimba hiyoooo mburukenge watakuozesha wenyeweKuna muda unaanzisha mahusiano na mtu unaamini huyu ni wa ndoto kabisa ila linapokuja swala la dini unaishiwa nguvu kabisa.
Nilikutana na mtu mmoja alisema yeye hawezi kuolewa na mtu wa dini tofauti kwa sababu familia yake haitomruhusu na isitoshe baba yake amefariki hivyo hawezi kusaliti kiapo walichowekeana.
Nadhani ingefika mahali sasa hili jambo kwa wanafamilia litazamwe upya mana linaweza kupelekea mtu kumkosa mtu ambaye alimuona sahihikwa upande wake kisa dini.