Ulishawahi kupitia changamoto kama hii?

Kama medical students wa siku hizi hamjui hata kuandika pediatric , semester na mnajiita madactar

Then watoto wetu watakufa Sana

You are not a medical student, and if you are - you should be discontinued
 
Huu uzi wako ungeupeleka kule kwenye jukwaa la habari na hoja mchanganyiko
 
So young doctor who told you it's very difficult to fail clinical exam?
 
Pole sana kiongozi nimejifunza kityu, maana mimi doctor uyo uwa anichukia sana ila sababu nilimpotezea kipindi fulani aniita na sikutokea. Ila uzuri theory awezi nishika maana ushaidi upo ila clinical this time inabidi niombe supervisor mwingin.
 
Stop nonsense excuse, kuna wanafunzi wanasomea udaktari wanajielezea vizuri na kuandika vizuri tu..wanapangilia hoja zao vizuri tu, wewe na hizo xaxa, lkn, mm nadhani kuna shida mahala
OK sawa nitarekebisha
 
Kama medical students wa siku hizi hamjui hata kuandika pediatric , semester na mnajiita madactar

Then watoto wetu watakufa Sana

You are not a medical student, and I'd you are - you should be discontinued
Aya Timing but remember Time heals all wounds
 
Haiwezekani wewe ukawa na akili, kwa uandishi huu wewe ni mjinga ndugu.
Umepita advance au ulimaliza tu olevel ukaenda CO?
Mi genius wa mirembe tena niliyefel mitihani wa uchizi, kote uko nimepita joh so may be kutokana errors ya kutokupangia maneno but hope umenipata
 
Stop nonsense excuse, kuna wanafunzi wanasomea udaktari wanajielezea vizuri na kuandika vizuri tu..wanapangilia hoja zao vizuri tu, wewe na hizo xaxa, lkn, mm nadhani kuna shida mahala
Not nonsense but Kuna kityu ambacho people uwa wajagundua about Medical people most uwa si waandishi wazuri but not all so am sorry for miss taken
 
Wewe kajifunze kuandika vizuri kwanza, nadhani hii ni sababu ya kufeli unaandika ugoro mwingi, paedric ndo kitu gani??

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kuna mtu amegundua dogo mara ajiite Medical mara clinical

Wajuvi mje hapa, yuko sahihi au tunapigwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…