HahahahMke wa mtu anatia kinyaa, malaya wa kujiuza hatii kinyaa. Wanaume mna tatizo mahali sio bure
#KATAA MKE WA MTUNimefanya uhuni mwingi sana, ila MKE WA MTU is my limit aisee. The risk is not worth at all. Kuna pisi kibao fresh za 2000s huku kali kinouma, why ni risk maisha yangu na mali ya mtu alietolea mahari kabisa. Yaani jaribuni kujiweka kwenye kiatu cha mwenye mali, yaani akatoe mahari, akae vikao miezi 3 akusanye pesa ya harusi aoe then wewe firauni haujapitia process zozote alafu akutane na sms kuwa umetoka kumf**a mke wake. Ujue hata kama hauna asili ya kuuwa lazima itatokea tu. Mimi unless mwanamke atumie sijui uongo gani ila nikishajua ni mke wa mtu hata kama mumewe yuko sayari ya PLUTO si mgusi. Women are very careless in cheating, wanapenda kubakisha kumbukumbu and once they become emotional ni basi umekwisha.
Nataka kuanzisha kampeni
KATAA MKE WA MTU!!!!!!
Aloo hapo kabinti hapo kwenye avatar yako kapo mcharo, mungu fundi bwanaMsisahau kuweka na mlivyokamatwa.
Unaweza ukawa huwapi ushirikiano na kuwakataa wake za watu na bado ukaishiwa kuchapiwa. Hio imekaaje mkuu?Hakuna wanawake ninaowachukia kama hao walioolewa halafu wanagawa, ni zaidi ya mbwa
Nimeishawakataa 4 na sina mda nao kabisa wanasema what goes around comes around
Siwezi kuwa msaliti hata siku moja
Vijana ogopeni sana dhambi na kama hamuamini Mungu, basi msiwape ushirikiano wake za watu hawafai
Kama wanasaliti ndoa zao huoni na wewe utakuja kuchapiwa pia?
Je utajisikiaje?
Kuna jamaa kasema anaona kinyaa kutembea na mke wa mtu ndo nilitaka kufahamu kama akinunua malaya haoni kinyaa.Hahahah
Wanaojiuza ndo hawa hawa tulo nao mitaani.
Mi kinyaa kitokee wapi, simbusu wala kulamba wala kumnyonya binadamu yoyote yule
Ila inauma sana kugundua mtu unayempenda anampenda mwingine.Kuna jamaa kasema anaona kinyaa kutembea na mke wa mtu ndo nilitaka kufahamu kama akinunua malaya haoni kinyaa.
Suala sio kuchapiwa maana hao wanaopigwa wamekubali wenyewe kuwa hivyo hawakulazimishwa bali ni umalaya wao tuUnaweza ukawa huwapi ushirikiano na kuwakataa wake za watu na bado ukaishiwa kuchapiwa. Hio imekaaje mkuu?
Kuna watu hapa wanasema wake za watu hawana gharama. Wakiachika michepuko hawana muda wa kugharamia na walikua wanataka kupita tu ndio mana wanakula kona.Hivi huwa ni kwanini
Walijua baada ya kuwa wanasikia miguno.Nilienda kijiji kkimoja kilwa kununua ufuta mwaka jana sasa nikawa nimepanga chumba na ukumbi ila mzee mwenye nyumba ana wanawake wawili mmoja anakaa pale nilipopanga na mwingine anakaa kijiji kingine sasa huyo mama kiumri ni kama miaka 55 hivi halafu hajazaa maisha yake yote halafu anaonekana mbichi sana yaani,basi nikienda mjini nambebea zawadi akawa anafurahi na pale hom huduma zote ziĺikuwa chini yangu siku moja tunapiga stori akawa ananishangaa kuwa hajawahi kuona hata siku moja naleta demu ndani na hajasikia kashfa mtaani kama walivyo wanunuaji ufuta wengine nikamwambia nikweli navumilia tu japo nina ugwadu balaa akaniuliza kweli? Nikamjibu ndio.... stori isiwe ndefu yule mzee akitoka kwenda kwa mke mwingine mimi nalala na mkewe huku nyuma kiukweli nilimfaidi sana yule mama ila majirani wambeya balaa sijui walijuaje kama namla
Ni kweli inauma. Na inauma zaidi kama wewe hufanyi.Ila inauma sana kugundua mtu unayempenda anampenda mwingine.
Mtu unayempenda anafurahi kuwa na mwingine.
Mtu unayempenda anafanya mapenzi na mwingine au kafanya na mwingine.
Mi huwa nina mtindo wa kulipiza na furaha huja baada ya huyo mtu kupoteza uwezo wa kufanya alichofanya....
Maana atakuona ww ndo kama mkombozi wake.Ukweli mke wa mtu sumu. Ila wao pia wana nyege na tamaa so unakuta mnapeana vikojoleo.
Tucheze kwa akili na amani. Sema ukipata mke wa mtu anayependa kukanyagiwa choo afu mumewe hajui au hafanyi utakula mema ya nchi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2610730Haya mambo haya
Wala sio miguno ila nadhani yule mama alimsimulia mtu,kiukweli nilikuwa nafeki sana asubuhi nikiamka nilikuwa nafagia uwanja na nilikuwa namuakia kwa heshima ipa ikifika usiku nampanda kifuani basi yeye kazi ya kucheka cheka tuWalijua baada ya kuwa wanasikia miguno.
Mwanamke hampi mwingine kama hakuna sababu ukiona kampa mwingine basi ujue kuna sababu imetokana na mwanaumeIla inauma sana kugundua mtu unayempenda anampenda mwingine.
Mtu unayempenda anafurahi kuwa na mwingine.
Mtu unayempenda anafanya mapenzi na mwingine au kafanya na mwingine.
Mi huwa nina mtindo wa kulipiza na furaha huja baada ya huyo mtu kupoteza uwezo wa kufanya alichofanya....
Acha utoto mimi huwa naibugia kabisa mdomoni Kisha anashusha vitu vyake kabla sijamdumbukiza dula headopen