Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ndio maana sichoki kukupiga sound!!Hivi wadada wote hawa tulio single mnaona mtuache mkatembee na wake wa wenzenu kweli? Unamuona mzuri sababu mwenzio anahudumia tafuta wako naye umtengeneze.
Mkimaliza mje mtuambie na jinsi mlivofumaniwa na mlichofanyiwa🤔
Mnaringa mno. Mnataka mpunga mwingi mno. Mnachenga kama za Chama wa simba. Mna mashauzi zaidi ya yale ya Hadija Kopa.Hivi wadada wote hawa tulio single mnaona mtuache mkatembee na wake wa wenzenu kweli? Unamuona mzuri sababu mwenzio anahudumia tafuta wako naye umtengeneze.
Mkimaliza mje mtuambie na jinsi mlivofumaniwa na mlichofanyiwa[emoji848]
Nikupe bei gani nipate hiyo zana ya kumfanya asiweze kufanya alichofanya.Ila inauma sana kugundua mtu unayempenda anampenda mwingine.
Mtu unayempenda anafurahi kuwa na mwingine.
Mtu unayempenda anafanya mapenzi na mwingine au kafanya na mwingine.
Mi huwa nina mtindo wa kulipiza na furaha huja baada ya huyo mtu kupoteza uwezo wa kufanya alichofanya....
Cyanide na sildenafil 1000mgNikupe bei gani nipate hiyo zana ya kumfanya asiweze kufanya alichofanya.
Nahisi rangi za upinde..!!Hii njemba ni mwanaume kabisa tena location k/Koo kua makini mkuu sio mwanamke huyo, Ila anajilengesha kwa wanaume na anaomba Pesa ya vocha vibaya sana
Watu wana roho mbaya 👐[emoji23][emoji23] Wewe endelea, eti siri. Kuna mwenzako wamenyuka nyundo za kiuno kunakompa jeuri wamekata umeme. Bado wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan unadhan alikuwa main squeeze hapana yan kimjini tu akiangalia status zangu anacoment tunachat kama anamuda namtoa out then naenda kumfumua anarud kwake, mkuu sikuiz ukiwafuatilia sana wanawake kama unafuatilia kazi huwapati, sikuiz usikamie sana hata wenyewe hawatak ukamie sana mkuu au nasema uongo?Mmh kwa mdada mbona ni rahisi sana kujulikana kama ni mke wa mtu or not, usihisi hata kama kuna limitations anakupa mfano muda wa kuwasiliana na wewe, utakapomuhitaji, yaani usihisi kabisa ? Kwa hiyo case yako labda kwa sababu alikua mbali, ila hawa ambao wanaishi na waume zao hapa hapa mmh
asanteHii arguement yako haina mashiko kwa wale ambao hatuogopi wake zetu kugegedwa nje. Sasa sii na wao ni binadamu wana matamanio ya kuonja de liboloz tofauti
Kabisa [emoji120]hapa Tanzania ni ndoa chache sana wenza n waaminifu wengine wote full kugongeana wakeHii arguement yako haina mashiko kwa wale ambao hatuogopi wake zetu kugegedwa nje. Sasa sii na wao ni binadamu wana matamanio ya kuonja de liboloz tofauti
Hahaa hivi unajua mimi mwenyewe ni mwanamke pia, ulivyo comment ni kama unahisi me mwenzio 😀 so kimasikhara hivo na out za hapa na pale mke wa mtu analiwa. DuhKwan unadhan alikuwa main squeeze hapana yan kimjini tu akiangalia status zangu anacoment tunachat kama anamuda namtoa out then naenda kumfumua anarud kwake, mkuu sikuiz ukiwafuatilia sana wanawake kama unafuatilia kazi huwapati, sikuiz usikamie sana hata wenyewe hawatak ukamie sana mkuu au nasema uongo?