Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Hapa nilipo kuna wadau wawili wameingiliwa mstari wa Ikweta kwa kufumwa wanakula wake za watu....

Hii kitu inatisha. Njemba zinakubongonyoa mpk anus inaprotrude Rectum...hapana asee!

Lot of gals kitaa...wake za watu wapite kushoto
 
Hivi wadada wote hawa tulio single mnaona mtuache mkatembee na wake wa wenzenu kweli? Unamuona mzuri sababu mwenzio anahudumia tafuta wako naye umtengeneze.
Mkimaliza mje mtuambie na jinsi mlivofumaniwa na mlichofanyiwa[emoji848]
Mnaringa mno. Mnataka mpunga mwingi mno. Mnachenga kama za Chama wa simba. Mna mashauzi zaidi ya yale ya Hadija Kopa.

Lakini mke wa mtu ni mwaminifu. Akishindwa kweli ameshindwa. Lakini wana akili sana. Hata kama mumewe yupo utapewa tu chance ya kupiga japo cha haraka.

Mkikutana kama hajawahi kukuona. Siyo ninyi mnataka ukoo na marafiki wote wajue, wakati mimi nina mke wangu, halafu nampenda ujue. Kwako nimefuata tu kupoza wakati mama ananyonyesha.
 
Nimemkumbuka “Sharon”
(kumbe alikuwa mke wa mtu mazee)

Ni wakati nipo kikazi lusaka, Zambia maeneo ya matero lilanda nilikutana na huyu dada umri kati ya 34-36 mweupe mwembamba ni mrembo kwelikweli.

Tulianza kuchat na kuwa marafiki baada ya kujua mimi ni mtanzania na yeye huwa anakujaga Tanzania kufuata mizigo ya nguo, tukawa marafiki wakawaida.

Siku moja akanitoa out bills juu yake, kunywa gambe sana na wakati huo kashaniambia hajaolewa, piga gambe sana mpak usiku mnene nikamwambia nataka kuchukua taksi nkalale akaniambia tuchukue room tulale.

Nilipiga ile manzi mara kibao kibao,

KUMBE AMEOLEWA NA MUME WAKE NI MKUU WA OPERESHENI MAALUM CENTRAL POLICE LUSAKA ZAMBIA.

Niseme tu niliponea kifo cha kupigwa risasi mana jamaa ana silaha na vijana wake wa kazi.

LEO HII NSINGEKUWA HAPA

(Niligundua baada ya siku moja tumelala baada ya shoo tukawa tunapiga picha selfie kweny simu yake(siyo za utupu lakini) sasa akawa amenyanyuka kwenda toilet mimi nikaendelea kupekua na kukuta picha za mumewe akiwa na mawaziri mbalimbali pamoja na maafisa wakuu wa polisi, nikamuuliza akakiri

nilinyanyuka hapohapo na kuvaa na kusepa, nikamblock na kwenda kanisani kushukuru kwa kuepukana na kifo


MKE WA MTU SUMU, UKIGUNDUA JIONDOE
 
Ila inauma sana kugundua mtu unayempenda anampenda mwingine.
Mtu unayempenda anafurahi kuwa na mwingine.
Mtu unayempenda anafanya mapenzi na mwingine au kafanya na mwingine.


Mi huwa nina mtindo wa kulipiza na furaha huja baada ya huyo mtu kupoteza uwezo wa kufanya alichofanya....
Nikupe bei gani nipate hiyo zana ya kumfanya asiweze kufanya alichofanya.
 
Kwa uzoefu wangu kiukweli mkiwa wote na mnafamilia acheni kufuatiliana.
Mimi sijui kama nitaweza kuacha maana kitu ukishakizoea ni kama ulevi,unakuwa addicted yaani sijui tuu.
Ila nahisi mwanamke huwa akimuangalia tuu mwanaume anaweza kuhisi huyu atanikamua ipasavyo. Sasa kwa maisha ya ndoa yalivyo na changamoto nyingi unakuta wanandoa hawapeani utamu kamili.Pia epuka biashara ya kuoa wake wawili unatamaa piga separate ukikomaa Ndo kinawengine sasa huanza kuwala huku nje....
List fupi......
1.Mama mchungaji(Kanisa la kiroho)
2.Mama mchungaji(kilutheri)
3.Mke wa ustadhi wa madrasa pia ni mwenyekiti kijiji)
4.Mke wa mfanyabiashara samaki sokoni
6. Mmama mfanyabiashara wa nguo
7. Mama muuza genge soonish
8. Mke wa mkurugenzi wa jiji
9. Mke wa daktari mkuu
10. Mke wa askari(jamaa alienda darfur)
11. Na wengine(hawa walikuwa hawakai hata mwezi.
Namshukuru Mungu ukimwi sijaupata bado.
Idadi ni kubwa wale wa chap na hii inasababishwa na mazingira yangu ya kazi
Sijawahi kudakwa ila nimewahi kupigwa mkwara mzito kwenye simu.
Angalizo;
*Wanawake wanaosafiri kibiashara kwenda sijui ndo mnaita kufunga mzigo wanatafunwa sana huko.
*Waimba kwaya
*Maofisini safari za semina mbalimbali
*Wanawake wanaopenda kujipamba sana
*Wanawake wanaopenda sana mitandao ya kijamii na kujipost sana.
*Wanawake wapenda vitu vizuri
Nitaeleze kisa cha kila mmoja.
Sio kwamba naona sifa hapana bali kujuzana hali ilivyo na mjue wazi kwamba kuna muda najutia maana dah nimetumika sana na hawa kina mama na wengi mimba hutoa hivyo hakuna faida
 
Mwanamke aliyeolewa na anagawa nje ni zaidi ya takataka asee,mwanaume ukigundua mkeo anatoa nje hakikisha anaondoka na harudi...Meanwhile tuepuke wake za watu kama ukoma,hizo sifa na sababu wanazotupa ni kujaribu tu kujustify uchafu wake na atamwambia yeyote anayetaka amle huko nje...Put respect into your fellow man's name.
 
Mmh kwa mdada mbona ni rahisi sana kujulikana kama ni mke wa mtu or not, usihisi hata kama kuna limitations anakupa mfano muda wa kuwasiliana na wewe, utakapomuhitaji, yaani usihisi kabisa ? Kwa hiyo case yako labda kwa sababu alikua mbali, ila hawa ambao wanaishi na waume zao hapa hapa mmh
Kwan unadhan alikuwa main squeeze hapana yan kimjini tu akiangalia status zangu anacoment tunachat kama anamuda namtoa out then naenda kumfumua anarud kwake, mkuu sikuiz ukiwafuatilia sana wanawake kama unafuatilia kazi huwapati, sikuiz usikamie sana hata wenyewe hawatak ukamie sana mkuu au nasema uongo?
 
Kuna binti mmoja alikuwa demu wangu. Alikuwa na haraka za kutaka nimuoe mi nikawa bize na school, nikamruhusu aolewe.

Baada ya miaka nakutana naye ameshaolewa na mtoto na wana maisha mazuri. Cha ajabu anataka nimle mzigo.

Analazimisha kweli, ananilalamikia mpaka analia. Hapo ndio naamini kwamba hawa wanawake ni viumbe wa ajabu sana, Mungu atupe nguvu ya kushinda mitego yao.

Siwezi kula mke wa mtu aisee, its unfair kwa mwanaume mwenzangu hata nafsi inakataa kabisa.
 
Kwan unadhan alikuwa main squeeze hapana yan kimjini tu akiangalia status zangu anacoment tunachat kama anamuda namtoa out then naenda kumfumua anarud kwake, mkuu sikuiz ukiwafuatilia sana wanawake kama unafuatilia kazi huwapati, sikuiz usikamie sana hata wenyewe hawatak ukamie sana mkuu au nasema uongo?
Hahaa hivi unajua mimi mwenyewe ni mwanamke pia, ulivyo comment ni kama unahisi me mwenzio 😀 so kimasikhara hivo na out za hapa na pale mke wa mtu analiwa. Duh
 
Back
Top Bottom