Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Kuna mmoja nnpo nae huu kijiji najilia tu mumewe yupo Dar huko

Halina mbamba yaan jeupeee kama papai nalipelekea moto mpaka linakuwa jekundu maaanina
Mmewe kuja huku Kwa mwaka mara moja anakaa week 1 au siku 3 then ananichia kitumbua changu niendelee kujibandulia gogo

Mkienda mjin kutafta maisha nenden na wake zenu mnatuweka katika vishawishi huku
Huko mjini atakuwa na mke au nyumba ndogo , huyo wa kijijini ametelekezwa kiaina
 
Sijawahi kutongoza mwanamke yeyote ninaemjua bwana wake, pia sijawahi kumtongoza mwanamke ninaetambua kabisa ni mke wa mtu.

Wanawake wasimbe wapo wengi sana, lakini kwanini ufanye mapenzi na mtu unaetambua kabisa ni mke wa mtu na kila mara anatoka kwa mwanamme kama wewe kipindi anakuja kwako?

Inafikirisha sana.
Wakati fulani sisi wanaume ndio chanzo cha wake zetu kuchepuka.

Mwanaume unaondoka nyumbani kwenda kulala kwa mchepuko. Unamwacha mkeo na watoto nyumbani. Hujui wamekula au la. Huachi mahitaji wala hela ya mahitaji.

Mkeo kawa kama siyo mke wa mtu. Anajipigania yeye na watoto. Unategemea nini?

Akikwama lazima atafute mbinu mbadala. Na silaha pekee aliyonayo mwanamke ni kidudu chake. Lazima ataangukia mikononi mwa mbaharia ili wamsaidie kutatua shida zake.

Nimeyaona mengi na mengine nimehusika. Mwanamke umemsaidia, anaamua kujikabidhi kama shukrani na hata kuhitaji msaada zaidi.

Lakini ukumbuke kuwa na yeye ni binadamu. Unachokifuata huko kwa mchepuko na yeye anacho na kinahitaji kuhudumiwa. Nani amhudumie ikiwa wewe umemtelekeza? Ndiyo maana wengine husema WANANDOA WENGI HUPATA RAHA YA NDOA NJE YA NDOA. Huenda sababu ni

1. Wanaume kutotenga muda wa kutosha kuhudumia ndoa zao. Wako busy na majukumu.

2. Baadhi yetu tukishapewa utamu na mchepuko, nyumbani tunalipua kazi. Mama hashibi, anaamua atafute pa kumalizia hamu.

3. Kitendo cha mwanaume kulala nje ya nyumba yako tena mtaa wa pili tu, husababisha mke kuchukia na kuona kama amedharauliwa. Kifuatacho atatafuta kulipiza.

Ushauri wangu, wanaume tujenge tabia ya kuzungumza na wake zetu kuhusu mapungufu ya chumbani na kutafuta namna ya kuyapunguza ili kuwafanya wake zetu kufurahia ndoa zao. Itasaidia sana kukwepa vishawishi.

Pia tuhudumia familia zetu kikamilifu na kwa upendo. Mama ajue kama analala njaa ni kwa vile mumewe hana kitu kabisa.

Nina mengi, muda hautoshi.
 
Nimefanya uhuni mwingi sana, ila MKE WA MTU is my limit aisee. The risk is not worth at all. Kuna pisi kibao fresh za 2000s huku kali kinouma, why ni risk maisha yangu na mali ya mtu alietolea mahari kabisa. Yaani jaribuni kujiweka kwenye kiatu cha mwenye mali, yaani akatoe mahari, akae vikao miezi 3 akusanye pesa ya harusi aoe then wewe firauni haujapitia process zozote alafu akutane na sms kuwa umetoka kumf**a mke wake. Ujue hata kama hauna asili ya kuuwa lazima itatokea tu. Mimi unless mwanamke atumie sijui uongo gani ila nikishajua ni mke wa mtu hata kama mumewe yuko sayari ya PLUTO si mgusi. Women are very careless in cheating, wanapenda kubakisha kumbukumbu and once they become emotional ni basi umekwisha.

Nataka kuanzisha kampeni

KATAA MKE WA MTU!!!!!!
 
Hakuna wanawake ninaowachukia kama hao walioolewa halafu wanagawa, ni zaidi ya mbwa

Nimeishawakataa 4 na sina mda nao kabisa wanasema what goes around comes around

Siwezi kuwa msaliti hata siku moja
Vijana ogopeni sana dhambi na kama hamuamini Mungu, basi msiwape ushirikiano wake za watu hawafai
Kama wanasaliti ndoa zao huoni na wewe utakuja kuchapiwa pia?
Je utajisikiaje?
Hii arguement yako haina mashiko kwa wale ambao hatuogopi wake zetu kugegedwa nje. Sasa sii na wao ni binadamu wana matamanio ya kuonja de liboloz tofauti
 
Usipokuwa na pesa ,shida, ukiwa na kazi inayokukeep busy Kama engineer hapo Napo shida.
Yaani ni hatari..!! Sasa sijui wanataka nini..!!
Tatizo huwezi kuwa available kwa mkeo at the same time uwe na muda wa kutafuta pesa. Lazima kimoja ukikose. Kwa bahati mbaya, chochote utakachokikosa, ndo hicho kitakachomfanya anyanduliwe nje..!! Yaani ukikosa muda atagongwa, na ukikosa fedha atapigwa kama kawa..!! WANAUME TUMEUMBWA MATESO
 
Kuna member yumo huku Ni mkee wa mtu naogopa kueleza jins tulivyo anza mausiano
Mnachokiandika mnatuchanganya na hizo AVATAR zenu banaa..!!

Embu check hiki kitu hapa chini..!!

1683269260083.png

Dah..!!
 
Sijui nianze kusimulia yupi wapo zaidbya wanne
Wakwanza tulipatana mtandaon kimasihara sana yani tumefahamiana leo kesho katia miguu nikachakata akanogewa ikapita miezi mingi tunachati tu akaja tena nikachapa zaidi ndo kanogewa mno kidgo anipe jicho kwa utalam wangu. Mumewe napeda muita dady

Mwingine nae nikamnasa huyu ye alikuwa na shida ktk ndoa yake akawa anadai hajawahi ona raha ya kulana mpka alipokutana na mimi nikamfunguwa bomba ananipenda adi kapagawa

Mwingine ni demu wangu anaolew soon nae atakuwa mke wa mtu ila kasema atazid kuprovide huduma non stop wacha asitiriwe, wanawake wanapenda ndoa sana kuvaa shela ni kila ndoto ya mwanamke ila kuishi ndoa ni wachache sana
Umesema ukweli hiyo sentensi yako ya mwisho.
Wanawake wachache sana wanaweza kuwa wake.
 
Unajua Madam muda mwingine vijana wanaona bora watoke na mke wa mtu wanaweza kuwa salama zaidi kuliko kutoka na single ambaye anamsururu wa wanaume zaidi ya watano na wote wanachakata mbususu moja. Mke wa mtu anaaminika anachakatwa na mumewe tu ambaye anajulikana sasa single ni mtihani.
Mkuu hiyo siyo sababu ya kuhalalisha kutoka na mke wa mtu, kama kaweza kumsaliti mumewe basi anaweza akawa na wewe na wengine pia, bora walio single, kwanza mnaweza fikia hatua ya kuoana ukaepusha msururu, mke wa mtu ni hamna malengo yoyote zaidi ya risk tu ukifumwa
 
Back
Top Bottom