Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Uko sahihi wake za watu inataka akili sio kuwala tu kizembe. Wanaofumaniwa hapo ndo wanapokoseaUsisahau hapo kwenye kukaribia kufumaniwa ndio kwenye kukaribia kufa,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi wake za watu inataka akili sio kuwala tu kizembe. Wanaofumaniwa hapo ndo wanapokoseaUsisahau hapo kwenye kukaribia kufumaniwa ndio kwenye kukaribia kufa,
Kufa baba ukidakwa hua ndio umekufa hainaga msalie mtume hapo ni Cha Moto unakula za kichwa au unachezea Beto,Hao watakuwa wanajifunza kula wake za watu hizi mambo zinataka uzoefu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]daaahMnapata ujasiri wa kumvua chupi mke wa mtu ila hamna ujasiri wa kumvua madaraka mwenyekiti wa CCM?
Huu ujinga utawatesa na kuwafanya watumwa ktk nchi yenu milele.
😂😂😂😂😂😂Leo wale ma Engineer watawanunia wake zao..Kazi ipo
Na ndio uelewe kuna kufumwa unaweza ukajiona mjanja sana Ila ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu ipo siku tutakuzika ukiwa umeuawa kikatiri sababu ni kulala na mke wa mtu kua makini sana,Uko sahihi wake za watu inataka akili sio kuwala tu kizembe. Wanaofumaniwa hapo ndo wanapokosea
Yule ana bahati tu alipona na kifo ni haki yao hawa mana hawasikii.We unasema nyundo mtu kapigwa mapanga hadi amekufa usicheze kabisa na mke wa mtu utakufa vibaya, kucheza na mke wa mtu ni kucheza na kifo
Ni risk sana huwa nashangaa hizo guts za kutoka na mke wa mtu unapataje, naona kila ukiwa naye utakua unahisi kama mume wake anakuona hivi, in short hautokua huru unaishi kwa machale. Mke na mume wa mtu ni sumu ibaki hivo.Kuna jamàa aliingiziwa vitu sehemu za haja kubwa sababu katembea na mke wa mtu huko Kawe akakatwa na masikio, wajamaa wakaja humu kufungua kesi wanaanza kumtetea eti kwamba kaonewa hajatendewa haki, hivi unaenda kulala na mke wa mtu nyumbani kwa nyumba aliyoijenga Mwanaume mwenzio anakufuma unategemea nini km sio kifo au kufanywa vitendo vya ajabu ?
Ndio hivyo na kibaya anafanya hivyo alafu anaanza kujigamba, na kutamba kua yeye ni komesha ya wake za watu hajui Luna watu hawana maskhala na wake zao akikukuta ni kukuua tu hakuna maelezoYule ana bahati tu alipona lkn kifo ni haki yao hawa mana hawasikii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbaya sana mke wa mtu mume wa mtu muache aendelee na mtu wake usiingilie kabisa, yakikukuta tunakusahauNi risk sana huwa nashangaa hizo guts za kutoka na mke wa mtu unapataje, naona kila ukiwa naye utakua unahisi kama mume wake anakuona hivi, in short hautokua huru unaishi kwa machale. Mke na mume wa mtu ni sumu ibaki hivo.
Unaanzaje kuchat na mke wa mtu usiku ndo maana nikasema mwanamume anapaswa kutumia akili badala ya hisiaUtakuta yupo kwa mumewe usiku anachat na ww sms za mapenzi
[emoji23] Hapa tunapigia [emoji238] gitaaUko sahihi wake za watu inataka akili sio kuwala tu kizembe. Wanaofumaniwa hapo ndo wanapokosea
Asante kwa kunihusia mkuu maneno kama haya yananifanya niongeze umakiniKufa baba ukidakwa hua ndio umekufa hainaga msalie mtume hapo ni Cha Moto unakula za kichwa au unachezea Beto,
Itoshe kusema huyo alikuwa mpumbavuhivi unaenda kulala na mke wa mtu nyumbani kwa nyumba aliyoijenga Mwanaume mwenzio
Kwani Kelsea nyie huwa mnatumia mbinu gani kuchepuka kutoka kwa jamaa zenu wasijue?
Mwanamke akianza kuliwa nje lazima atagundulika. Wewe utajidai humtafuti usiku ajabu yeye ndio akawa anakutafuta. Utadakwa tu labda mumewe aamue kupotezea.Unaanzaje kuchat na mke wa mtu usiku ndo maana nikasema mwanamume anapaswa kutumia akili badala ya hisia
Wajuba wengine huenda mbali zaidi hawawasiliani na wake za watu kwa meseji hata siku moja ni mwendo wa kupiga tena ule muda unajua mumewe hayupo au mwanamke yuko kazini
Mimi sina kwa sababu nikianza kutoka nje ujue mapenzi na wewe yameisha. Na nitakuaga vizuri tu.Kwani Kelsea nyie huwa mnatumia mbinu gani kuchepuka kutoka kwa jamaa zenu wasijue?
Siku hizi jambo la kawaida mabinti wanatoka na waume za watu na vidume wengi wanatoka na wake za watu sio maeneo ya kazi, biashara, mitaani hata nyumba za ibada. Acheni uoga imeshakuwa sehemu ya maishaNi risk sana huwa nashangaa hizo guts za kutoka na mke wa mtu unapataje, naona kila ukiwa naye utakua unahisi kama mume wake anakuona hivi, in short hautokua huru unaishi kwa machale. Mke na mume wa mtu ni sumu ibaki hivo.
Kuna time huwa hamsemi kama ni wake za watu mimi kuna mtu nimejua juz kuwa ni mke wa mtu nimefumua sana jamaake alikuwa south kusoma karudi ndio anasema ye mke wa mtuNi risk sana huwa nashangaa hizo guts za kutoka na mke wa mtu unapataje, naona kila ukiwa naye utakua unahisi kama mume wake anakuona hivi, in short hautokua huru unaishi kwa machale. Mke na mume wa mtu ni sumu ibaki hivo.
Kwa hiyo ukiamua kuwa na mmoja ni mmoja tu? 🤔Mimi sina kwa sababu nikianza kutoka nje ujue mapenzi na wewe yameisha. Na nitakuaga vizuri tu.
Sent using Jamii Forums mobile app