Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Wanaume tunaumia kwa sababu ndio tunagharamia kumtunza. Siku hizi kugongewa hakuepukiki cha muhimu nisijue
Wewe unaumia sababu una gharamia mkeo sasa nikuulize kwa nini ukale mke wa mwenzako kwamba yeye haumii au? Huyo mwanamke unavyolala nae unafikiri unatengeneza kitu gan hapo baadae ? Nyie ni waharibifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi Baada ya Majirani Kujua, Biashara ya kukusanya Ufuta uliendelea nayo huko??
Niliendelea tu mpaka msimu ulivyoisha kuna kitu kikinipa nguvu kidogo ni kwamba ile nyumba mzee sio yakwake ni ya yule mke ndio maana sikuogopa sana yule mama alikuwa ananiambia hakuna chakutufanya yule mzee,halafu pia kule umwerani wanatuogopa mno wamakonde na wiki 2 zijazo naenda tena msimu umeanza na nitafikia nyumba ile ile
 
Huyo mwanamke unavyolala nae unafikiri unatengeneza kitu gan hapo baadae ?
Ni kweli mke wa mtu kuna wakati unamnogesha mpaka unaona anahamisha upendo kwako na kuanza kumsema vibaya mume wake hapo kidume usijisifu ujue muda wa kufumaniwa unakaribia wanawake huwa wanaongozwa na hisia sana cha kufanya mpotezee
 
Usiweke kambi kwa mke wa mtu, hakikisha unatumia akili kuliko hisia, mwanamume yacontrol mahusiano yenu ya siri
Mwanamke akiwa anagongwa nje ni easy kumjua tu hata afanyeje , kwanza huwa hawawezi kuficha mahusiano yao ya siri.

Utakuta yupo kwa mumewe usiku anachat na ww sms za mapenzi, au ukute kakusevu jina la kinahaba kwenye simu yake, bado utakuta anamdharau mume wake kila siku.

Sasa usiombe mumewe siku ashike simu yake halafu akute call history imejaa namba yako au akute sms zako hazijafutwa kwenye simu ya mkewe...!!

Ukitembea na mke wa mtu ni vema ukatembea na kikopo cha vasellin kabisa
 
Mkimaliza mje mtuambie na jinsi mlivofumaniwa na mlichofanyiwa
Kuna jamàa aliingiziwa vitu sehemu za haja kubwa sababu katembea na mke wa mtu huko Kawe akakatwa na masikio, wajamaa wakaja humu kufungua kesi wanaanza kumtetea eti kwamba kaonewa hajatendewa haki, hivi unaenda kulala na mke wa mtu nyumbani kwa nyumba aliyoijenga Mwanaume mwenzio anakufuma unategemea nini km sio kifo au kufanywa vitendo vya ajabu ?
 
Ni kweli mke wa mtu kuna wakati unamnogesha mpaka unaona anahamisha upendo kwako na kuanza kumsema vibaya mume wake hapo kidume usijisifu ujue muda wa kufumaniwa unakaribia wanawake huwa wanaongozwa na hisia sana cha kufanya mpotezee
Usisahau hapo kwenye kukaribia kufumaniwa ndio kwenye kukaribia kufa,
 
Mimi siku nikigundua mke wangu anacheat namuacha wife then jamaa namfungia kazi akibaki hai basi atakuwa kilema maisha yake yote
Mke anauma aisee me kicheche ila nishajiwekea sheria sijawah na sitowah kula mke wa mtu
Wake zenu wenyewe hawasemag kama wameolewa unamtomba ndio unakuja kujua ni mke wa mtu, unampigaje mtu wakati chupi kavua mke wako? Wewe na mkeo ndio mna matatizo sio huyo unaetaka kumtia kilema
 
Mwanamke akiwa anagongwa nje ni easy kumjua tu hata afanyeje , kwanza huwa hawawezi kuficha mahusiano yao ya siri.

Utakuta yupo kwa mumewe usiku anachat na ww sms za mapenzi, au ukute kakusevu jina la kinahaba kwenye simu yake, bado utakuta anamdharau mume wake kila siku.

Sasa usiombe mumewe siku ashike simu yake halafu akute call history imejaa namba yako au akute sms zako hazijafutwa kwenye simu ya mkewe...!!

Ukitembea na mke wa mtu ni vema ukatembea na kikopo cha vasellin kabisa

Bora umuelekeze wewe labda ataelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliendelea tu mpaka msimu ulivyoisha kuna kitu kikinipa nguvu kidogo ni kwamba ile nyumba mzee sio yakwake ni ya yule mke ndio maana sikuogopa sana yule mama alikuwa ananiambia hakuna chakutufanya yule mzee,halafu pia kule umwerani wanatuogopa mno wamakonde na wiki 2 zijazo naenda tena msimu umeanza na nitafikia nyumba ile ile
Una Ujasiri sana. Hongera.
 
Back
Top Bottom