Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Tangu nishuudie mauaji ya kikatili ya jirani yangu, chanzo kikiwa ni wake za watu..
Jamaa alinyongwa,akatolewa macho,akakatwa ulimi kisha akatupwa kwenye kisima cha maji..mtu anaeitwa mke wa mtu hata awe na shepu ya aina gani nakaa nae mbali mita 100

Mke wa mtu ni zaidi ya hatari
Duuh🥱
Ila huyo mzinzi alistahili hiyo adhabu. Wanawake single wamejaa tele, ni wengi kuliko walio olewa, unahangaika na mke wa mtu ili iweje. Hata uhuru wa kujinafasi naye hakuna. Ujinga mtupu!
To me, mke wa mtu ni NO, Labda anidanganye kuwa ni single
 
Wa kudili nae ni mkeo anaegawa utamu nje na anajijua ni mke wa mtu. Utadhuru wangapi? Wee malizana na mkeo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Moja ya vitu unajiweka kwenye hatari ya kuondolewa maisha yako ni kutembea na Mke WA MTU. Kifo nje nje!


Nimewahi kushuhudia MTU anauawa Kwa kutembea na Mke WA MTU.


Tembea na Mke WA MTU Ila tambua unatembea na kifo

Kuna watu kuua sio issue tembea uone. Yani ukitembea na Mke wake ni either akuue wewe mwanaume. Au awaue nyie wote au nyote watatu mfe.

Ogopa Sana mahusiano Yana hisia Kali mno
 
Moja ya vitu unajiweka kwenye hatari ya kuondolewa maisha yako ni kutembea na Mke WA MTU. Kifo nje nje!


Nimewahi kushuhudia MTU anauawa Kwa kutembea na Mke WA MTU.


Tembea na Mke WA MTU Ila tambua unatembea na kifo

Kuna watu kuua sio issue tembea uone. Yani ukitembea na Mke wake ni either akuue wewe mwanaume. Au awaue nyie wote au nyote watatu mfe.

Ogopa Sana mahusiano Yana hisia Kali mno
Kutembea na kulala na mke wa mtu unakua unajijengea urafiki na ukaribu na malaika wa kifo bila kujua kua unajichimbia kaburi lako mwenye ni aidha akuue, amuue mke na wewe au akuue, amuue mke na yeye ajiue, ni murder case wajinga wanaita WIVU WA KIMAPENZI
 
Moja ya vitu unajiweka kwenye hatari ya kuondolewa maisha yako ni kutembea na Mke WA MTU. Kifo nje nje!


Nimewahi kushuhudia MTU anauawa Kwa kutembea na Mke WA MTU.


Tembea na Mke WA MTU Ila tambua unatembea na kifo

Kuna watu kuua sio issue tembea uone. Yani ukitembea na Mke wake ni either akuue wewe mwanaume. Au awaue nyie wote au nyote watatu mfe.

Ogopa Sana mahusiano Yana hisia Kali mno
Usiweke kambi kwa mke wa mtu, hakikisha unatumia akili kuliko hisia, mwanamume yacontrol mahusiano yenu ya siri
 
Hivi wadada wote hawa tulio single mnaona mtuache mkatembee na wake wa wenzenu kweli? Unamuona mzuri sababu mwenzio anahudumia tafuta wako naye umtengeneze.
Mkimaliza mje mtuambie na jinsi mlivofumaniwa na mlichofanyiwa🤔
Wake za watu watamu sana wanatupea yote, sio wasumbufu, wasafi, hakuna vizinga, wako mature enough. Huwezi kumchunga mume au mke lazima aliwe au achepuke tu
 
Nilienda kijiji kkimoja kilwa kununua ufuta mwaka jana sasa nikawa nimepanga chumba na ukumbi ila mzee mwenye nyumba ana wanawake wawili mmoja anakaa pale nilipopanga na mwingine anakaa kijiji kingine sasa huyo mama kiumri ni kama miaka 55 hivi halafu hajazaa maisha yake yote halafu anaonekana mbichi sana yaani,basi nikienda mjini nambebea zawadi akawa anafurahi na pale hom huduma zote ziĺikuwa chini yangu siku moja tunapiga stori akawa ananishangaa kuwa hajawahi kuona hata siku moja naleta demu ndani na hajasikia kashfa mtaani kama walivyo wanunuaji ufuta wengine nikamwambia nikweli navumilia tu japo nina ugwadu balaa akaniuliza kweli? Nikamjibu ndio.... stori isiwe ndefu yule mzee akitoka kwenda kwa mke mwingine mimi nalala na mkewe huku nyuma kiukweli nilimfaidi sana yule mama ila majirani wambeya balaa sijui walijuaje kama namla
 
Moja ya vitu unajiweka kwenye hatari ya kuondolewa maisha yako ni kutembea na Mke WA MTU. Kifo nje nje!


Nimewahi kushuhudia MTU anauawa Kwa kutembea na Mke WA MTU.


Tembea na Mke WA MTU Ila tambua unatembea na kifo

Kuna watu kuua sio issue tembea uone. Yani ukitembea na Mke wake ni either akuue wewe mwanaume. Au awaue nyie wote au nyote watatu mfe.

Ogopa Sana mahusiano Yana hisia Kali mno
Wacha wauliwe tu mana wanajikuta wajanja. Wanawake singo wapo kibao mtu anakuambia eti mke wa mtu hana gharama. Ajabu mwanaume huyo huyo akiskia wajuba wanammendea mkewe anavimbaaa sielewagi ni akili za wapi. Wacha waendelee kuuliwa, kuliwa kiboga mpaka akili ziwakae sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wake za watu watamu sana wanatupea yote, sio wasumbufu, wasafi, hakuna vizinga, wako mature enough. Kufumaniwa ni uzembe
Haa wewe mtengeneze huyo wako awe mtamu na hizo tabia pia, katengenezwa na mwanaume mwenzio hadi unamuona mtamu siku ukifumwa akikudunda, hatutoita ukatili shauri yako.
 
Nilienda kijiji kkimoja kilwa kununua ufuta mwaka jana sasa nikawa nimepanga chumba na ukumbi ila mzee mwenye nyumba ana wanawake wawili mmoja anakaa pale nilipopanga na mwingine anakaa kijiji kingine sasa huyo mama kiumri ni kama miaka 55 hivi halafu hajazaa maisha yake yote halafu anaonekana mbichi sana yaani,basi nikienda mjini nambebea zawadi akawa anafurahi na pale hom huduma zote ziĺikuwa chini yangu siku moja tunapiga stori akawa ananishangaa kuwa hajawahi kuona hata siku moja naleta demu ndani na hajasikia kashfa mtaani kama walivyo wanunuaji ufuta wengine nikamwambia nikweli navumilia tu japo nina ugwadu balaa akaniuliza kweli? Nikamjibu ndio.... stori isiwe ndefu yule mzee akitoka kwenda kwa mke mwingine mimi nalala na mkewe huku nyuma kiukweli nilimfaidi sana yule mama ila majirani wambeya balaa sijui walijuaje kama namla
Vipi Baada ya Majirani Kujua, Biashara ya kukusanya Ufuta uliendelea nayo huko??
 
Haa wewe mtengeneze huyo wako awe mtamu na hizo tabia pia, katengenezwa na mwanaume mwenzio hadi unamuona mtamu siku ukifumwa akikudunda, hatutoita ukatili shauri yako.
Tunaokula wake za watu tuna watu wetu tunawatunza ila si mnatujua wanaume hatuwezi kutulia na mbususu moja. Hasa kama za wake za watu zinakupunguzia gharama na shoo uhakika.
 
Back
Top Bottom