Wewe ndo pre mature.Mkuu,
Itoshe kusema wewe Bado u kijana mdogo (pre-mature) samahani kidogo Kwa kukwambia ivyo.....
Siku Moja ukikua (matured) NDIO utaelewa Kwa nini LPW_MAJITU Wali Imba MKE wa MTU ni Sumu.....
WafuMimi nlitembeaga na mke wa mwanajeshi.....mtoto mtam yule
Sasa siku moja mmewe na rafiki zake wakatufuma wakaniambia nichague KUFA AU KUBAKWA....NIKACHAGUA KUFA....WAKANIUA!!!
...wake za watu watamu....Ila siku ukikutwa mtamu unakuwa were..
Mzee npo pepon kando ya nabii Elia hapaWafu
Wapo akhera au peponi
Kwakua wewe upo humu JF
Ni wazi utakua ulibakwa.....
Very sorry for your loss...
Ngoja nijitulize mkuu hao ni manabii wakubwaa....sanaaaMzee npo pepon kando ya nabii Elia hapa
Siyo peke yako una bastola. Wewe ni mshamba tu na ni wa kawaida mno...Wakijichanganya wao ndiyo watajua hawajui.
Mwanamme yeyote akinifuata faragha kunifumania nakula mke wake, lazima nimlime shaba za kichwa.
Na vipi kama aliyekufumania hataki kukudhuru ila tu akakuonya kwa maneno na kuondoka?Wewe ndo pre mature.
Yaani unikute gest na mkeo utake kunidhuru mimi nishindwe kujitetea?
Nyinyi mlio single wahuni saana. Wake za watu wametuliaaaaaa saaaanaHivi wadada wote hawa tulio single mnaona mtuache mkatembee na wake wa wenzenu kweli? Unamuona mzuri sababu mwenzio anahudumia tafuta wako naye umtengeneze.
Mkimaliza mje mtuambie na jinsi mlivofumaniwa na mlichofanyiwa[emoji848]
Mke WA MTU sio sumuuuuuuuuuuuNi risk sana huwa nashangaa hizo guts za kutoka na mke wa mtu unapataje, naona kila ukiwa naye utakua unahisi kama mume wake anakuona hivi, in short hautokua huru unaishi kwa machale. Mke na mume wa mtu ni sumu ibaki hivo.
Nitamwambia apambane na mke wake.Na vipi kama aliyekufumania hataki kukudhuru ila tu akakuonya kwa maneno na kuondoka?
Upo sahihi. Una haki ya kujihami. Mwanzo sikukulewe ila now nimekuelewa kuwa, alitaka kukudhuru utajitetea.Nitamwambia apambane na mke wake.
Sina uwezo wa kuacha mgonga mwanamke anayenikubali.
I love this..Nimefanya uhuni mwingi sana, ila MKE WA MTU is my limit aisee. The risk is not worth at all. Kuna pisi kibao fresh za 2000s huku kali kinouma, why ni risk maisha yangu na mali ya mtu alietolea mahari kabisa. Yaani jaribuni kujiweka kwenye kiatu cha mwenye mali, yaani akatoe mahari, akae vikao miezi 3 akusanye pesa ya harusi aoe then wewe firauni haujapitia process zozote alafu akutane na sms kuwa umetoka kumf**a mke wake. Ujue hata kama hauna asili ya kuuwa lazima itatokea tu. Mimi unless mwanamke atumie sijui uongo gani ila nikishajua ni mke wa mtu hata kama mumewe yuko sayari ya PLUTO si mgusi. Women are very careless in cheating, wanapenda kubakisha kumbukumbu and once they become emotional ni basi umekwisha.
Nataka kuanzisha kampeni
KATAA MKE WA MTU!!!!!!
Aiseee🙌🙌..Sio mbaya... Nataka nijaribu kujicontrol nibadili lifestyle kidogo... Hii hapa chini imenifanya nijisikie vibaya sana.. Anapiga simu kinoma mke wa mtu mpaka nimemblock... Sisi watu wenye hi libido ni tatizo mkuu... Inahitaji control ya hali ya juu sana
Haya mambo yapo sana.Aiseee[emoji119][emoji119]..
Ila wanawake
kipindi nipo mdogo tunakaa nyumba za kupanga kwa mara ya kwanza nashuhudia jamaa akimfumania mkewe na bahati mbaya mwanaume aliyekuwa naye alifanikiwa kukimbia mke alibaki aisee yule mume mtu alimtoa mkewe chumbani mpaka kwenye korido akamkamata shingo na kumchinja pale pale sitasahau lile tukio mpaka nakufa.. yaani toka wakati huo sikuwahi kumtongoza mwanamke wa wawatu hata unishikie bastola sitajihusisha naye.. ni tukio baya nililowahi kulishuhudia kwa macho yangu ... kijana/vijana acheni hiyo michezo kabisaaa.Mimi ilikuwa hivi,
Ilikuwa kama ajali tu. Mimi nilikuwa nasali nae kanisani mume wake engineer kuwepo nyumbani ngumu mtu wa kusafiri safiri kwa hiyo ili mke asiwe mpweke nilikuwa kama namsaidia maana mimi sio mchoyo akija anaendeleza 🤣🤣 akitoka namfanya mke wake asitoke kwa wengine ila Mimi tu.
Baadaye nilipata mchongo mkoa ikabidi nihame mawasiliano yakaanza kupungua siku hadi siku si unajua tena fimbo ya mbali haiui nyoka 🤣🤣.
Hongera....Haya mambo yapo sana.
Niliwahi kuruka viunzi vitatu wake za watu wakitaka tuingie kwenye uhusiano ili kulipa kisasi kwa waume zao.
Nilishinda hizo.
Sasa kuna mwingine ni full usumbufu kutaka nimle na roho yangu imegoma
Punga hiloMnachokiandika mnatuchanganya na hizo AVATAR zenu banaa..!!
Embu check hiki kitu hapa chini..!!
View attachment 2610575
Dah..!!