Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Dah! Best aliuwawa kikatili kinoma wakatoboa na macho, ushahidi ulikuwa wazi kwamba jamaa mwenye mke ni muhusika lkn kesi iliisha hovyo. Kinachoniuma mkewe alikufa kwa presha sasa watoto wake ndo wanalipa ujinga wake, wote ni malaya kijana wake wanachi wenye hasira walimuwahisha. Mke wa mtu aliepelekea kifo chake ndoa yao ipo fresh. Tuache ujinga vijana hawa wanawake wanatupotezea future .
 
Kijana nae walimuua
??
 
Unaweza usichape wako akachapwa vilevile haya mambo hayana formula we ukiweza kula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…