Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Wivu wa Mapenzi
20240202_134410.jpg
 
Dah! Best aliuwawa kikatili kinoma wakatoboa na macho, ushahidi ulikuwa wazi kwamba jamaa mwenye mke ni muhusika lkn kesi iliisha hovyo. Kinachoniuma mkewe alikufa kwa presha sasa watoto wake ndo wanalipa ujinga wake, wote ni malaya kijana wake wanachi wenye hasira walimuwahisha. Mke wa mtu aliepelekea kifo chake ndoa yao ipo fresh. Tuache ujinga vijana hawa wanawake wanatupotezea future .
 
Dah! Best aliuwawa kikatili kinoma wakatoboa na macho, ushahidi ulikuwa wazi kwamba jamaa mwenye mke ni muhusika lkn kesi iliisha hovyo. Kinachoniuma mkewe alikufa kwa presha sasa watoto wake ndo wanalipa ujinga wake, wote ni malaya kijana wake wanachi wenye hasira walimuwahisha. Mke wa mtu aliepelekea kifo chake ndoa yao ipo fresh. Tuache ujinga vijana hawa wanawake wanatupotezea future .
Kijana nae walimuua
??
 
Hakuna wanawake ninaowachukia kama hao walioolewa halafu wanagawa, ni zaidi ya mbwa

Nimeishawakataa 4 na sina mda nao kabisa wanasema what goes around comes around

Siwezi kuwa msaliti hata siku moja
Vijana ogopeni sana dhambi na kama hamuamini Mungu, basi msiwape ushirikiano wake za watu hawafai
Kama wanasaliti ndoa zao huoni na wewe utakuja kuchapiwa pia?
Je utajisikiaje?
Unaweza usichape wako akachapwa vilevile haya mambo hayana formula we ukiweza kula
 
Back
Top Bottom