Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Wake za watu wana lahana sio bure.
Wanajitongozesha , wepesi , wanajifanya hawarizishwi na Waume zao. Bumbav zenu🥲🥲🥲

Yaani imefika kuwa , ni usumbufu kumtongoza single girl na imekua rahis kutoka na mke wa mtu..???[emoji848][emoji848]

Wanandoa mjitafakari mna feli wapi ??[emoji24][emoji24]
fact👍
 
WANAUME TUMEUMBWA KUA VIONGOZI UKITONGOZWA NA MKE WA MTU JUA UYO MWANAMKE NI ANAONGOZWA NA HISIA HAJUI ALITENDALO(Amini) INAWEZA KUA HASIRA(KULIPIZA), AMA MAPENZI TU!

Mwanamke anaweza kukukalibisha kwa mume wake akakuwekea na chakula kabisa alafu mkifumaniwa mwanamke unaweza shangaa ananza kulia anakumbia “sasa tunafanyaje mumewangu ananiua leo, we umeniletea matatzo” sio ajabu ukiona ananza kukulaumu tena wewe wakati ye ndo kakuita kwaiyo kua makini mke wa mtu anapokutaka usijione mwamba sana.

………….
Kumfumania mtu kunahitaji maandalizi kisaikologia, fuatilia mafumanizi yote yanayohusisha viongozi wa dini na viongozi wa mtaa hua hayana shida sababu ya muhusika alikua keshajiandaa kisaikologia kufumania na ameshaujua ukweli ila ikiwa hakua na mpango wakufania na imetokea tu umeambiwa ghafla au umegundua tu mwenyewe tena kwenye hali ya kutokujua kama kweli au si kweli uyu mtu akifika kwenye tukio maranyingi lazima afanye jambo la ajabu,

kwanza mtu anakua hajajiandaa kuupokea ukweli, pili kila mtu ana namna yake ya kureact kwenye issue kama izo, wapo wanao ishia kuzimia(presha), wapo wanatao ishia kutukana matusi ovyo kulaumu na kulia, wapo watao ishia kupiga tuu ila kuna wengine ndo hao huishia kuua au kujiua au vyote.

Hao ni wale walioamini wenzawao kua ndo kilakitu kwenye maisha yao wakawekeza MUDA MWINGI, PESA NYINGI , IMANI KUBWA kwa wenza wao kwa kuamini malipo yatakua ni upendo pekee so linapokuja swala la mahusiano yao kuvunjika jua kwamba haumii et kisa umemgongea mke wake pekee au mume no!! Anaumia sababu pia umehalibu maisha yake KWA UJUMLA na uwekezaji wake wote umepotea sababu yako au yenu.

Chamsingi chunga sana unapolala na mke wa mtu maana ukimwona amependeza au anajileta kwako bila kutaka taraka kwa mumewe kwanza ujue kuna vitu vinawaonganisha na hajawa tiyari kumwacha mumewe yan huo ni mtego unaweza jiona kidume kumbe unalala na kifo chako au kilema chako.

Goodbye.
fact 👍👍
 
Mimi ilikuwa hivi,

Ilikuwa kama ajali tu. Mimi nilikuwa nasali nae kanisani mume wake engineer kuwepo nyumbani ngumu mtu wa kusafiri safiri kwa hiyo ili mke asiwe mpweke nilikuwa kama namsaidia maana mimi sio mchoyo akija anaendeleza 🤣🤣 akitoka namfanya mke wake asitoke kwa wengine ila Mimi tu.

Baadaye nilipata mchongo mkoa ikabidi nihame mawasiliano yakaanza kupungua siku hadi siku si unajua tena fimbo ya mbali haiui nyoka 🤣🤣.
Kumbe ndiyo mambo ya kanisani hayo?

Ni vyema umesasambuwa.
 
Nikikumbuka Fumanizi Morogoro Ifakara nabaki nacheka sana ilikuwa kama movie kumbe ndio uhalisia. Kilichoniokoa ni kuwa mwenye nyumba na mzee wangu walikuwa marafiki.

Kila nikikumbuka lile tukio kimsingi nilizingua bigtime ni tukio la aibu mwishoni wa mwaka 2022 mtaa mzima ulijaa mlangoni.

Baada ya Fumanizi yule bibie aliachika akarudi kwao tuliendelea kuwasiliana tukisimuliana yaliyotokea siku ya fumanizi jinsi alivyochezea kichapo na mimi nikimsimulia jinsi nilivyoweza kutoroka usiku wa manane kwenye ule mji.
 
Nimemkumbuka “Sharon”
(kumbe alikuwa mke wa mtu mazee)

Ni wakati nipo kikazi lusaka, Zambia maeneo ya matero lilanda nilikutana na huyu dada umri kati ya 34-36 mweupe mwembamba ni mrembo kwelikweli.

Tulianza kuchat na kuwa marafiki baada ya kujua mimi ni mtanzania na yeye huwa anakujaga Tanzania kufuata mizigo ya nguo, tukawa marafiki wakawaida.

Siku moja akanitoa out bills juu yake, kunywa gambe sana na wakati huo kashaniambia hajaolewa, piga gambe sana mpak usiku mnene nikamwambia nataka kuchukua taksi nkalale akaniambia tuchukue room tulale.

Nilipiga ile manzi mara kibao kibao,

KUMBE AMEOLEWA NA MUME WAKE NI MKUU WA OPERESHENI MAALUM CENTRAL POLICE LUSAKA ZAMBIA.

Niseme tu niliponea kifo cha kupigwa risasi mana jamaa ana silaha na vijana wake wa kazi.

LEO HII NSINGEKUWA HAPA

(Niligundua baada ya siku moja tumelala baada ya shoo tukawa tunapiga picha selfie kweny simu yake(siyo za utupu lakini) sasa akawa amenyanyuka kwenda toilet mimi nikaendelea kupekua na kukuta picha za mumewe akiwa na mawaziri mbalimbali pamoja na maafisa wakuu wa polisi, nikamuuliza akakiri

nilinyanyuka hapohapo na kuvaa na kusepa, nikamblock na kwenda kanisani kushukuru kwa kuepukana na kifo


MKE WA MTU SUMU, UKIGUNDUA JIONDOE
Matero karibu na lodge ya NSHIMBI YANGA hapo mitaa yangu miaka ya nyuma kidogo ,jiraani kabisa na MATERO BOYS (wazambia wanaita MABOYS)

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
We jamaa ka mie yani kama demu nikishajua bwana ake nakaa nae mbali kbs hata ka sio mumewe mke wa mtu ndio kabisa siwekagi namba zao....


Kutembea na mje wa mtu kwa kweli sio ujanja...
Uko sahihi mkuu,mimi hata awe ameachana na huyo mtu wake na namjua kabisa,basi siwezi kabisa hata kumsogelea.
 
Nikikumbuka Fumanizi Morogoro Ifakara nabaki nacheka sana ilikuwa kama movie kumbe ndio uhalisia. Kilichoniokoa ni kuwa mwenye nyumba na mzee wangu walikuwa marafiki.

Kila nikikumbuka lile tukio kimsingi nilizingua bigtime ni tukio la aibu mwishoni wa mwaka 2022 mtaa mzima ulijaa mlangoni.

Baada ya Fumanizi yule bibie aliachika akarudi kwao tuliendelea kuwasiliana tukisimuliana yaliyotokea siku ya fumanizi jinsi alivyochezea kichapo na mimi nikimsimulia jinsi nilivyoweza kutoroka usiku wa manane kwenye ule mji.
Now nipo Rondo mbingu naendelea kukutafuta nikunyooshe
 
Kuzungumzia ulimlaje mke wa mtu sio ufahari. Ni kuidharirisha taasisi ya ndoa ambayo ndio msingi wa jamii tuliyopo.

Swali la hivi ni kuonyesha namna gani uzinifu unavyohalalishwa wakati ni chukizo kwa Allah... kwa imani zetu mke wa mtu mwingine si wa kumkaribia ukitaka kuishi maisha ya kumkaribia Muumba wako.

Wanawake na wanaume wote wanatafsiri mbili tofauti za kutoka nje ya ndoa. Mwanaume anatafuta kutimiza tamaa mwanamke anatafuta faraja. Kwa nini tusiwe sehemu ya kuisaidia jamii kutoka hapo na tuwe watu wa kushabikia uzinzi?
Mfano wewe unaesoma piga picha kichwani mwako wazazi wako wapo katika ndoa then unamshuhudia mama yako (au kinyume chake) anatoka kingono na mwanaume mwingine asie baba yako utajisikiaje? Haya ndio mambo yanayofanya kwa sasa tunakizazi kisicho thamani ndoa... kimeibuka kuipinga wakati tatizo tunalitengeneza wenyewe.
We jamaa akili nyingi, Allah akupe maisha marefu
 
Kuna mmoja nnpo nae huu kijiji najilia tu mumewe yupo Dar huko

Halina mbamba yaan jeupeee kama papai nalipelekea moto mpaka linakuwa jekundu maaanina
Mmewe kuja huku Kwa mwaka mara moja anakaa week 1 au siku 3 then ananichia kitumbua changu niendelee kujibandulia gogo

Mkienda mjin kutafta maisha nenden na wake zenu mnatuweka katika vishawishi huku
Mrejesho
 
Sijui nianze kusimulia yupi wapo zaidbya wanne
Wakwanza tulipatana mtandaon kimasihara sana yani tumefahamiana leo kesho katia miguu nikachakata akanogewa ikapita miezi mingi tunachati tu akaja tena nikachapa zaidi ndo kanogewa mno kidgo anipe jicho kwa utalam wangu. Mumewe napeda muita dady

Mwingine nae nikamnasa huyu ye alikuwa na shida ktk ndoa yake akawa anadai hajawahi ona raha ya kulana mpka alipokutana na mimi nikamfunguwa bomba ananipenda adi kapagawa

Mwingine ni demu wangu anaolew soon nae atakuwa mke wa mtu ila kasema atazid kuprovide huduma non stop wacha asitiriwe, wanawake wanapenda ndoa sana kuvaa shela ni kila ndoto ya mwanamke ila kuishi ndoa ni wachache sana
huyo mke utakayemuoa naye atakua anaelezea hivi anavyoliwa nje,kwakuwa wewe utakuwa hutoi huduma vizuri
 
Mimi kiukweli nina kinyaa kikali sana siwezi gonga mke wa mtu naona ni uchafu tu
Ungejua mke wa mtu ni salama kuliko demu huru wa mtaani.
Kwa sababu unakuwa unajua nachomeka mimi na mume wake.

Ila hawa wa mtaani unakuta anatoa hadi kwa watu watatu kwa siku, wote mnaloweka sehemu moja.

MKE WA MTU NI SUMU
 
Mbona mke wa mtu anachukuliwa kama mtoto mdogo likija suala la mapenzi? Kwani yeye hana matamanio na yeye hawezi kuwa sababu ya kutaka kugongwa?

Na wao ni wapambanaji.

Wapo aggressive sana tu.

Kumbuka tu wake ndo hao hao mliokuwa nao mashuleni na vyuoni, tabia hazibadiliki sana, zinajificha kwa muda tu.
 
Back
Top Bottom