feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 7,683
- 15,128
Mwaka 2015 nina rafiki yangu mkubwa tulisoma wote tangu primary hadi kidato cha nne aliniomba nimsindikize akaonane na demu wake maana ilikua hajawahi onana zaidi ya simuni(huyo demu alikosea namba) basi tukaenda mitaa ya tabata segerea kwa bahati na yule demu naye alikuja na best yake ikawa mzuka tulikaa pale fantasy tukapiga stori mpaka saa 2 usiku tukawasindikiza hadi kwao tabata bima baada ya hapo nikabadilishana namba na yule best wa shemeji yangu
Siku moja jamaa akanicheki kuwa demu wake anakuja kwa ajili ya kumgegeda basi jamaa akakutana nae Rang 3 ajabu yule akaja tena na yule best yake ikabidi mchizi anipigie simu niende nikaenda tukawachukua mpaka lodge kila mtu room yake(kumbuka sijawahi mtongoza) tulipofika ndani yule dem akanipa mikwara nisithubutu kumgusa nikamwambia sawa kweli sikuwa na time nae maana alikua mwembamba sana afu ana nyodo flani hivi nikaachane nae basi muda ulipofika jamaa akanishtua tukasepa tukawapeleka kituoni wakasepa
Walipoondoka jamaa akaniuliza kama nimegegeda nikamwambia hapana nikamuuliza na yeye akasema kwa hasira demu anavuja...baada ya muda kidogo yule demu akaleta mazoea sana mwishoni yeye mwenyewe akaleta shobo siku akaja gheto nikamla kiulaini sana lakini sikuwahi mpenda baada ya mda tukaachana
Jamaa naye walizinguana na demu wake maana alisafiri bil taarifa...maisha yakaendelea mwaka 2017 nikakutana na yule shemeji yangu mitaa ya k/koo tukabadilishana namba mawasiliano yakazidi utani mwingi ikabidi nimwambie jamaa,mchizi bila hiyana akatoa go ahead basi nikatupia ndoano ikanasa akaja nikagegeda japo anajua nishawahi gonga best yake lakini hakuwahi kumwambia kuwa nami nimekula .
2017 mchizi wangu huyo huyo alikutana na demu kwenye daladala asee yule manzi mkali balaa basi jamaa alikua anakuja job kwangu akamkovisi yule dada washuke wote basi akakubali wakaja mpaka eneo langu la kazi nikawakaribisha kwa furaha tu sasa mi nilikua nadhani jamaa ni demu wake mda tu na kweli jamaa akanitambulisha kuwa yule ni manzi yake na demu alikaa tu kimya
Baada ya muda jamaa aligonga akasafiri,demu akaanza kumsumbua mchizi ampe namba zangu mchizi aligoma maana binafsi nilikataa asitoe namba kwa demu asiye na malengo nae...yule demu baada kuona jamaa anazingua siku moja akaja ofisini lakini kwa bahati mbaya hakunikuta ikabidi nipigiwr simu nikamwambia mimi nipo nyumbani siko sawa basi akasema nimuelekeze aje anione, kweli nikamuelekeza akaja stori kibao nikagundua yule manzi ananitaka kweli baada ya siku kadhaa alinitongoza yeye mwenyewe nikamwambia mchizi jamaa akatoa go ahead salale kumbe ilikua pona ya mshikaji
Siku ya tukio demu akaja kitaa lakini kwa bahati mbaya akajitokeza mgeni ikabidi niende nae lodge dah kufika eneo la tukio hatujaanza majambozi manzi akanambia una virusi nikashtuka sikuamini akanipa kadi ya CTC dah wazee UKIMWI huu dah demu alivyobomba roho iliniuma sana hata hamu ya kugegeda iliniisha nikaaga na kuondoka
Baada ya siku kama mbili nikamtafuta nikamshukuru kwa ukweli wake nikamuuliza ilikuaje akafanya na mchizi akasema jamaa alifisi gemu lakini uzuri alitumia kinga ila kwangu ameniambia kwa sababu ananipenda kwa dhati na sio tamaa ...tuishie hapo wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku moja jamaa akanicheki kuwa demu wake anakuja kwa ajili ya kumgegeda basi jamaa akakutana nae Rang 3 ajabu yule akaja tena na yule best yake ikabidi mchizi anipigie simu niende nikaenda tukawachukua mpaka lodge kila mtu room yake(kumbuka sijawahi mtongoza) tulipofika ndani yule dem akanipa mikwara nisithubutu kumgusa nikamwambia sawa kweli sikuwa na time nae maana alikua mwembamba sana afu ana nyodo flani hivi nikaachane nae basi muda ulipofika jamaa akanishtua tukasepa tukawapeleka kituoni wakasepa
Walipoondoka jamaa akaniuliza kama nimegegeda nikamwambia hapana nikamuuliza na yeye akasema kwa hasira demu anavuja...baada ya muda kidogo yule demu akaleta mazoea sana mwishoni yeye mwenyewe akaleta shobo siku akaja gheto nikamla kiulaini sana lakini sikuwahi mpenda baada ya mda tukaachana
Jamaa naye walizinguana na demu wake maana alisafiri bil taarifa...maisha yakaendelea mwaka 2017 nikakutana na yule shemeji yangu mitaa ya k/koo tukabadilishana namba mawasiliano yakazidi utani mwingi ikabidi nimwambie jamaa,mchizi bila hiyana akatoa go ahead basi nikatupia ndoano ikanasa akaja nikagegeda japo anajua nishawahi gonga best yake lakini hakuwahi kumwambia kuwa nami nimekula .
2017 mchizi wangu huyo huyo alikutana na demu kwenye daladala asee yule manzi mkali balaa basi jamaa alikua anakuja job kwangu akamkovisi yule dada washuke wote basi akakubali wakaja mpaka eneo langu la kazi nikawakaribisha kwa furaha tu sasa mi nilikua nadhani jamaa ni demu wake mda tu na kweli jamaa akanitambulisha kuwa yule ni manzi yake na demu alikaa tu kimya
Baada ya muda jamaa aligonga akasafiri,demu akaanza kumsumbua mchizi ampe namba zangu mchizi aligoma maana binafsi nilikataa asitoe namba kwa demu asiye na malengo nae...yule demu baada kuona jamaa anazingua siku moja akaja ofisini lakini kwa bahati mbaya hakunikuta ikabidi nipigiwr simu nikamwambia mimi nipo nyumbani siko sawa basi akasema nimuelekeze aje anione, kweli nikamuelekeza akaja stori kibao nikagundua yule manzi ananitaka kweli baada ya siku kadhaa alinitongoza yeye mwenyewe nikamwambia mchizi jamaa akatoa go ahead salale kumbe ilikua pona ya mshikaji
Siku ya tukio demu akaja kitaa lakini kwa bahati mbaya akajitokeza mgeni ikabidi niende nae lodge dah kufika eneo la tukio hatujaanza majambozi manzi akanambia una virusi nikashtuka sikuamini akanipa kadi ya CTC dah wazee UKIMWI huu dah demu alivyobomba roho iliniuma sana hata hamu ya kugegeda iliniisha nikaaga na kuondoka
Baada ya siku kama mbili nikamtafuta nikamshukuru kwa ukweli wake nikamuuliza ilikuaje akafanya na mchizi akasema jamaa alifisi gemu lakini uzuri alitumia kinga ila kwangu ameniambia kwa sababu ananipenda kwa dhati na sio tamaa ...tuishie hapo wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app