Ulishawahi kutoka kimapenzi na rafiki wa mpenzi wako?

Ulishawahi kutoka kimapenzi na rafiki wa mpenzi wako?

Mwaka 2015 nina rafiki yangu mkubwa tulisoma wote tangu primary hadi kidato cha nne aliniomba nimsindikize akaonane na demu wake maana ilikua hajawahi onana zaidi ya simuni(huyo demu alikosea namba) basi tukaenda mitaa ya tabata segerea kwa bahati na yule demu naye alikuja na best yake ikawa mzuka tulikaa pale fantasy tukapiga stori mpaka saa 2 usiku tukawasindikiza hadi kwao tabata bima baada ya hapo nikabadilishana namba na yule best wa shemeji yangu

Siku moja jamaa akanicheki kuwa demu wake anakuja kwa ajili ya kumgegeda basi jamaa akakutana nae Rang 3 ajabu yule akaja tena na yule best yake ikabidi mchizi anipigie simu niende nikaenda tukawachukua mpaka lodge kila mtu room yake(kumbuka sijawahi mtongoza) tulipofika ndani yule dem akanipa mikwara nisithubutu kumgusa nikamwambia sawa kweli sikuwa na time nae maana alikua mwembamba sana afu ana nyodo flani hivi nikaachane nae basi muda ulipofika jamaa akanishtua tukasepa tukawapeleka kituoni wakasepa

Walipoondoka jamaa akaniuliza kama nimegegeda nikamwambia hapana nikamuuliza na yeye akasema kwa hasira demu anavuja...baada ya muda kidogo yule demu akaleta mazoea sana mwishoni yeye mwenyewe akaleta shobo siku akaja gheto nikamla kiulaini sana lakini sikuwahi mpenda baada ya mda tukaachana

Jamaa naye walizinguana na demu wake maana alisafiri bil taarifa...maisha yakaendelea mwaka 2017 nikakutana na yule shemeji yangu mitaa ya k/koo tukabadilishana namba mawasiliano yakazidi utani mwingi ikabidi nimwambie jamaa,mchizi bila hiyana akatoa go ahead basi nikatupia ndoano ikanasa akaja nikagegeda japo anajua nishawahi gonga best yake lakini hakuwahi kumwambia kuwa nami nimekula .

2017 mchizi wangu huyo huyo alikutana na demu kwenye daladala asee yule manzi mkali balaa basi jamaa alikua anakuja job kwangu akamkovisi yule dada washuke wote basi akakubali wakaja mpaka eneo langu la kazi nikawakaribisha kwa furaha tu sasa mi nilikua nadhani jamaa ni demu wake mda tu na kweli jamaa akanitambulisha kuwa yule ni manzi yake na demu alikaa tu kimya

Baada ya muda jamaa aligonga akasafiri,demu akaanza kumsumbua mchizi ampe namba zangu mchizi aligoma maana binafsi nilikataa asitoe namba kwa demu asiye na malengo nae...yule demu baada kuona jamaa anazingua siku moja akaja ofisini lakini kwa bahati mbaya hakunikuta ikabidi nipigiwr simu nikamwambia mimi nipo nyumbani siko sawa basi akasema nimuelekeze aje anione, kweli nikamuelekeza akaja stori kibao nikagundua yule manzi ananitaka kweli baada ya siku kadhaa alinitongoza yeye mwenyewe nikamwambia mchizi jamaa akatoa go ahead salale kumbe ilikua pona ya mshikaji

Siku ya tukio demu akaja kitaa lakini kwa bahati mbaya akajitokeza mgeni ikabidi niende nae lodge dah kufika eneo la tukio hatujaanza majambozi manzi akanambia una virusi nikashtuka sikuamini akanipa kadi ya CTC dah wazee UKIMWI huu dah demu alivyobomba roho iliniuma sana hata hamu ya kugegeda iliniisha nikaaga na kuondoka

Baada ya siku kama mbili nikamtafuta nikamshukuru kwa ukweli wake nikamuuliza ilikuaje akafanya na mchizi akasema jamaa alifisi gemu lakini uzuri alitumia kinga ila kwangu ameniambia kwa sababu ananipenda kwa dhati na sio tamaa ...tuishie hapo wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka 2015 nina rafiki yangu mkubwa tulisoma wote tangu primary hadi kidato cha nne aliniomba nimsindikize akaonane na demu wake maana ilikua hajawahi onana zaidi ya simuni(huyo demu alikosea namba) basi tukaenda mitaa ya tabata segerea kwa bahati na yule demu naye alikuja na best yake ikawa mzuka tulikaa pale fantasy tukapiga stori mpaka saa 2 usiku tukawasindikiza hadi kwao tabata bima baada ya hapo nikabadilishana namba na yule best wa shemeji yangu

Siku moja jamaa akanicheki kuwa demu wake anakuja kwa ajili ya kumgegeda basi jamaa akakutana nae Rang 3 ajabu yule akaja tena na yule best yake ikabidi mchizi anipigie simu niende nikaenda tukawachukua mpaka lodge kila mtu room yake(kumbuka sijawahi mtongoza) tulipofika ndani yule dem akanipa mikwara nisithubutu kumgusa nikamwambia sawa kweli sikuwa na time nae maana alikua mwembamba sana afu ana nyodo flani hivi nikaachane nae basi muda ulipofika jamaa akanishtua tukasepa tukawapeleka kituoni wakasepa

Walipoondoka jamaa akaniuliza kama nimegegeda nikamwambia hapana nikamuuliza na yeye akasema kwa hasira demu anavuja...baada ya muda kidogo yule demu akaleta mazoea sana mwishoni yeye mwenyewe akaleta shobo siku akaja gheto nikamla kiulaini sana lakini sikuwahi mpenda baada ya mda tukaachana

Jamaa naye walizinguana na demu wake maana alisafiri bil taarifa...maisha yakaendelea mwaka 2017 nikakutana na yule shemeji yangu mitaa ya k/koo tukabadilishana namba mawasiliano yakazidi utani mwingi ikabidi nimwambie jamaa,mchizi bila hiyana akatoa go ahead basi nikatupia ndoano ikanasa akaja nikagegeda japo anajua nishawahi gonga best yake lakini hakuwahi kumwambia kuwa nami nimekula .

2017 mchizi wangu huyo huyo alikutana na demu kwenye daladala asee yule manzi mkali balaa basi jamaa alikua anakuja job kwangu akamkovisi yule dada washuke wote basi akakubali wakaja mpaka eneo langu la kazi nikawakaribisha kwa furaha tu sasa mi nilikua nadhani jamaa ni demu wake mda tu na kweli jamaa akanitambulisha kuwa yule ni manzi yake na demu alikaa tu kimya

Baada ya muda jamaa aligonga akasafiri,demu akaanza kumsumbua mchizi ampe namba zangu mchizi aligoma maana binafsi nilikataa asitoe namba kwa demu asiye na malengo nae...yule demu baada kuona jamaa anazingua siku moja akaja ofisini lakini kwa bahati mbaya hakunikuta ikabidi nipigiwr simu nikamwambia mimi nipo nyumbani siko sawa basi akasema nimuelekeze aje anione, kweli nikamuelekeza akaja stori kibao nikagundua yule manzi ananitaka kweli baada ya siku kadhaa alinitongoza yeye mwenyewe nikamwambia mchizi jamaa akatoa go ahead salale kumbe ilikua pona ya mshikaji

Siku ya tukio demu akaja kitaa lakini kwa bahati mbaya akajitokeza mgeni ikabidi niende nae lodge dah kufika eneo la tukio hatujaanza majambozi manzi akanambia una virusi nikashtuka sikuamini akanipa kadi ya CTC dah wazee UKIMWI huu dah demu alivyobomba roho iliniuma sana hata hamu ya kugegeda iliniisha nikaaga na kuondoka

Baada ya siku kama mbili nikamtafuta nikamshukuru kwa ukweli wake nikamuuliza ilikuaje akafanya na mchizi akasema jamaa alifisi gemu lakini uzuri alitumia kinga ila kwangu ameniambia kwa sababu ananipenda kwa dhati na sio tamaa ...tuishie hapo wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha mkuu hio noma sana, Sema nini ungetoka lodge chap ukafata helmet ukarudia kutindua kiporo chako
 
Hahahaha mkuu hio noma sana, Sema nini utoke lodge chap ukavata helmet ukarudi kutindua kiporo chako
Mzee Nguvu ziliisha kwa ile siku ila baada ya muda kupita nilimuona yule manzi jinsi alivyokuwa hana raha na jinsi alivyokuwa na mapenzi ya kweli ikabidi nifate njia za kujikinga nilimla asee ni fundi balaa ila siku enjoy maana nilifanya kwa presha na kwa mara ya kwanza ilibidi nitumie dawa za kusisimua ili nimmudu maana nilikua stimu sina nilifanya kama shukrani kwa wema wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilikuwa na demu angu fulani anasoma chuo cha nursing nilichokuwa nafanya ni kumuambia Jumapili mana wanakaa huko huko hospital kuwa aje na marafiki zake wakutosha hata watano au zaidi nimewaandalia msosi wakija nini fresh watashinda story kibao mimi nawapisha nkirudi jioni nakuja na whisky au Sminorff Double black wanakunywa afu kila mtu nampa namba yangu kwa siri siku io ata manzi angu simli wakimaliza mida ya saa mbili usiku nawapeleka mpaka chuoni kwao mana jumapili hawawekewi limit ya muda, After there atarudi mmoja mmoja mpaka kundi linaisha lote, Nimewahi kula twin mapacha wawili walijuana wakazinguana sana bi mkubwa mpaka akanijia juu nae kwa vile ni hawa wa mama wa mjini nikamtafuna nae tena mpaka mtandao pendwa.
 
Mimi nilikuwa na demu angu fulani anasoma chuo cha nursing nilichokuwa nafanya ni kumuambia Jumapili mana wanakaa huko huko hospital kuwa aje na marafiki zake wakutosha hata watano au zaidi nimewaandalia msosi wakija nini fresh watashinda story kibao mimi nawapisha nkirudi jioni nakuja na whisky au Sminorff Double black wanakunywa afu kila mtu nampa namba yangu kwa siri siku io ata manzi angu simli wakimaliza mida ya saa mbili usiku nawapeleka mpaka chuoni kwao mana jumapili hawawekewi limit ya muda, After there atarudi mmoja mmoja mpaka kundi linaisha lote, Nimewahi kula twin mapacha wawili walijuana wakazinguana sana bi mkubwa mpaka akanijia juu nae kwa vile ni hawa wa mama wa mjini nikamtafuna nae tena mpaka mtandao pendwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wote malaya tu hao (na wewe pia).

Siku moja nimepumzika HOME,,,nikasikia Simu yngu inaita,,,ilikiwa kama SAA TATU USIKU,,kuchungulia,,naona FARIDA calling,, Demu Wangu Fulani wa SINGIDA,,mtoto alikuwa mtamu hatari, ,basi kwenye story story ,,akanambiya LEO TUPO HARUSINI,,maeneo ya KIMARA,,tukitoka hapa Nataka nije KULALA HUKO,,maana tukitoka hapa NYUMBANI HATUWEZI KUINGIA,,, nikamuuliza unasema HATUWEZI kwani mpo wangapi? akasema ,,,nipo na friend Wangu Fulani,,,tumemaliza wote Chuo,, PALE PALE MASIKIO yangu,,, YAKASIMAMA kama MBWA KAONA MWIZI,,,nikasema NAMTAKA HUYO FRIEND WAKE NIMWONE,,kama ni MZURI,,Leo HATOKI,,basi nikamwambiya ukiwa tayari nishtue,,ikabidi NIKAANZA KUPANGA MATOKEO,,NA MBINU ,,ILI NIMLE YULE FRIEND WAKE. JAPOKUWA SIMJUWI WALA HANIJUWI,,,Mimi naishi mwenyewe nyumba nzima,,ina vyumba 3 ,,nilichofanya haraka haraka NIKAFUNGA VILE VYUMBA 2,,,kikabaki kile MASTER NINACHOKAA MWENYEWE,,,Mara Simu ikaita kwenye SAA SITA HIVI,,nikawafungulia GETI,,macho na shauku ilikiwa ni kumuona huyo friend wake,,,aisee,,Toto lilikuwa zuri HATARI,, MTOTO kaenda JUU wastani,,ana RANGI ya KINYATURU halafu KAKATIKA KIUNONI,, HATARI ,,KIFUANI ZIWA EMBE DODO,,,,nikasema Leo MBUZI KAFIA KWA MUUZA MAPUPU,,,HATOKI,,nikawakaribisha ndani sitting room,,,nikaona yule SHEMEJI MACHO hayatulii,,Mara anaangalia JUU YA DARI,,MARA ANAANGALIA HIKI,,,nikaona mwache ANITHAMINISHE KWNZ kabla SIJATIA NDOANO,,,hyo ndy trick moja bora sn,,,ukipata mtoto mpya,,au demu wako kaja na mwenzie ,,wape muda KWA za alone,,WAKU DISCUSS,,nikawaacha kama DK TANO,,nikarudi,,nikamueleza yule DEMU WANGU,,kwamba AMENISHTUKIZA KUJA,,MAANA KUNA WAGENI WAMELALA vyumba VILE,,na haitakuwa BUSARA MGENI ALALE SITTING ROOM,,bora Mimi nilale sitting room wao walale CHUMBANI,,hii nilifanya kusudi ili LENGO LANGU LISIJULIKANE MAPEMA,,,,demu wngu akagoma,,SASA MIMI NIMEKUFATA WEWE,,UTALALAJE PEKE YAKO? demu Wangu aliongea hivyo,,NIKASEMA KIMOYOMOYO,, it works...basi nikasema tutalala wote chumbani,,maana huyo ni SHOGA yako,,si tatizo sn, kwn sio lazima KUGEGEDA,, demu Wangu bado akawa HAKUBALI,,pale pale nikamuinuwa yule SHOGA YAKE,,nikamwambiya Shemeji njoo uoge kwanza,,huyo mwenyeji,,,nikampeleka CHUMBANI,, akaingia kuoga,,wakati nampeleka kule CHUMBANI nikaanza kuchombeza kwa mbali sana,,,kwmba wewe ni SHOGA YAKE ,WALA HAKUNA UHARAMU WA MIMI KULALA CHUMBA KIMOJA NA WEWE,,maana naweza hata KUKUOA WEWE,,, WAPENZI ni KITU CHA AJABU SN,,yeye anaringa kulala pamoja na WEWE,, means hakuamini au? Basi dawa YAKE ni mimi KUKUCHUKUWA WEWE,,Mara DEMU Wangu akaingia CHUMBANI,, Mimi nikajitupa kitandani,,nikiwasubiri wamalize kuoga tulale,,bado nikasema hapa nitamla vipi? Nikapata AKILI MPYA,,DEMU Wangu akataka MIMI NILALE PEMBENI KABISA UKUTANI,,halafu yeye katikati,,mwnzo ndy alale yule SHOGA YAKE,,,Mimi Nikki a taxa,,nikasema MWANAMKE SIKU ZOTE ANALALA PEMBENI...,lazima Mimi niwe kati kati..ili DEMU WANGU awe karibu na Mimi,,akakubali,,,bado nikasema nitamlaje huyu? Tukazima TAA,,km dk 20 nikitumia UJUZI WANGU WA UBAZAZI,,nikagunduwa DEMU WANGU BADO HAJALALA,,,na siwezi kufanya chochote hapa,,nikasema sasa ngoja NIMCHOSHE kwanza,,ALALE FOFOFO,,,,pale pale NIKAANZA KUPIGA KINANDA ,,Mara nimeshika hiki,,Mara kule,,NIKAMSIKIA ANAANZA KUHEMA KWA NGUVU,,,huku napo yule SHOGA YAKE KUMBE PIA ALIKUWA HAJALALA VIZURI,,nikaona hapa hapa NAWAMALIZA,,nilimshushia SHUGHULI NZITO pale pale kitandani,,huku miguu yngu ikimgusagusa yule SHOGA YAKE,,ikafikia kipindi yule SHOGA YAKE nikamchungulia kwa chati alikuwa anahangaika sn,,maana yule DEMU Wangu alikuwa analalanika kana kwamba TUPO PEKE YETU MLE CHUMBANI,,baada ya SHUGHULI YA KAMA DK 20,,,pakawa KIMYA,,,, huku na Mimi Niki ACT KAMA nimechoka zaidi,,mkono mmoja nimemkumbatia DEMU WANGU,,huku mkono mwingine upo tumboni mwa Yule SHOGA YAKE,,pale pale Yule SHOGA WA DEMU Wangu alizidi KUHANGAIKA,,nilichokifanya nikuendelea KUMCHEZEA,,KATIKA STYLE YA KIMYA KIMYA,, baada ya kama DK 30 ,,demu Wangu akaanza KUKOROMA,,pale pale nikageukia UPANDE MWINGINE,,,NIKAANZA KUMLA YULE MWINGINE,,,KIMYA KIMYA,, alipata taabu sn,,maana na yeye ndy wale wale wa KUPIGA KELELE,,nilikuwa na kazi ya KUMDIDIMIZA JEGEJE,,huku mkono mmoja umemziba mdomo,,ni kama DK 7 hivi,,,nakumbuka NILIPIGA KAMA TAKO 42 HIVI,,, NIPO KILELENI,,nikarudi kumkumbatia BIBIE,,nikashtuka TENA SAA 12 ,ASUBUHI,,namwangalia mtoto bado mtamu,na bado SIJARIDHIKA,,NIKAMWAMSHA DEMU WANGU,,,nikamwambiya akanifulie nguo nje BEFORE HAJAONDOKA,,bila kushtukia mchezo,,akaondoka na kumwacha SHOGA YAKE bado kalala,,,,nikatumia kama 10 dk,,,,hapo nikamalizia BAO LA USHINDI,,,nikatoka nje kusaidiana na DEMU WNGU ,,,baada ya kuwasindikiza KITUONI,,jioni nikapokea UJUMBE toka kwa yule demu kwmba yupo njiani anakuja TENA,,, basi ukawa kama ndy mchezo ,,Leo akija DEMU WANGU,, ksho anakuja SHOGA YAKE,,UKIPATA NAFASI,,,tumia,,,cheza na akili ZAO,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku moja nimepumzika HOME,,,nikasikia Simu yngu inaita,,,ilikiwa kama SAA TATU USIKU,,kuchungulia,,naona FARIDA calling,, Demu Wangu Fulani wa SINGIDA,,mtoto alikuwa mtamu hatari, ,basi kwenye story story ,,akanambiya LEO TUPO HARUSINI,,maeneo ya KIMARA,,tukitoka hapa Nataka nije KULALA HUKO,,maana tukitoka hapa NYUMBANI HATUWEZI KUINGIA,,, nikamuuliza unasema HATUWEZI kwani mpo wangapi? akasema ,,,nipo na friend Wangu Fulani,,,tumemaliza wote Chuo,, PALE PALE MASIKIO yangu,,, YAKASIMAMA kama MBWA KAONA MWIZI,,,nikasema NAMTAKA HUYO FRIEND WAKE NIMWONE,,kama ni MZURI,,Leo HATOKI,,basi nikamwambiya ukiwa tayari nishtue,,ikabidi NIKAANZA KUPANGA MATOKEO,,NA MBINU ,,ILI NIMLE YULE FRIEND WAKE. JAPOKUWA SIMJUWI WALA HANIJUWI,,,Mimi naishi mwenyewe nyumba nzima,,ina vyumba 3 ,,nilichofanya haraka haraka NIKAFUNGA VILE VYUMBA 2,,,kikabaki kile MASTER NINACHOKAA MWENYEWE,,,Mara Simu ikaita kwenye SAA SITA HIVI,,nikawafungulia GETI,,macho na shauku ilikiwa ni kumuona huyo friend wake,,,aisee,,Toto lilikuwa zuri HATARI,, MTOTO kaenda JUU wastani,,ana RANGI ya KINYATURU halafu KAKATIKA KIUNONI,, HATARI ,,KIFUANI ZIWA EMBE DODO,,,,nikasema Leo MBUZI KAFIA KWA MUUZA MAPUPU,,,HATOKI,,nikawakaribisha ndani sitting room,,,nikaona yule SHEMEJI MACHO hayatulii,,Mara anaangalia JUU YA DARI,,MARA ANAANGALIA HIKI,,,nikaona mwache ANITHAMINISHE KWNZ kabla SIJATIA NDOANO,,,hyo ndy trick moja bora sn,,,ukipata mtoto mpya,,au demu wako kaja na mwenzie ,,wape muda KWA za alone,,WAKU DISCUSS,,nikawaacha kama DK TANO,,nikarudi,,nikamueleza yule DEMU WANGU,,kwamba AMENISHTUKIZA KUJA,,MAANA KUNA WAGENI WAMELALA vyumba VILE,,na haitakuwa BUSARA MGENI ALALE SITTING ROOM,,bora Mimi nilale sitting room wao walale CHUMBANI,,hii nilifanya kusudi ili LENGO LANGU LISIJULIKANE MAPEMA,,,,demu wngu akagoma,,SASA MIMI NIMEKUFATA WEWE,,UTALALAJE PEKE YAKO? demu Wangu aliongea hivyo,,NIKASEMA KIMOYOMOYO,, it works...basi nikasema tutalala wote chumbani,,maana huyo ni SHOGA yako,,si tatizo sn, kwn sio lazima KUGEGEDA,, demu Wangu bado akawa HAKUBALI,,pale pale nikamuinuwa yule SHOGA YAKE,,nikamwambiya Shemeji njoo uoge kwanza,,huyo mwenyeji,,,nikampeleka CHUMBANI,, akaingia kuoga,,wakati nampeleka kule CHUMBANI nikaanza kuchombeza kwa mbali sana,,,kwmba wewe ni SHOGA YAKE ,WALA HAKUNA UHARAMU WA MIMI KULALA CHUMBA KIMOJA NA WEWE,,maana naweza hata KUKUOA WEWE,,, WAPENZI ni KITU CHA AJABU SN,,yeye anaringa kulala pamoja na WEWE,, means hakuamini au? Basi dawa YAKE ni mimi KUKUCHUKUWA WEWE,,Mara DEMU Wangu akaingia CHUMBANI,, Mimi nikajitupa kitandani,,nikiwasubiri wamalize kuoga tulale,,bado nikasema hapa nitamla vipi? Nikapata AKILI MPYA,,DEMU Wangu akataka MIMI NILALE PEMBENI KABISA UKUTANI,,halafu yeye katikati,,mwnzo ndy alale yule SHOGA YAKE,,,Mimi Nikki a taxa,,nikasema MWANAMKE SIKU ZOTE ANALALA PEMBENI...,lazima Mimi niwe kati kati..ili DEMU WANGU awe karibu na Mimi,,akakubali,,,bado nikasema nitamlaje huyu? Tukazima TAA,,km dk 20 nikitumia UJUZI WANGU WA UBAZAZI,,nikagunduwa DEMU WANGU BADO HAJALALA,,,na siwezi kufanya chochote hapa,,nikasema sasa ngoja NIMCHOSHE kwanza,,ALALE FOFOFO,,,,pale pale NIKAANZA KUPIGA KINANDA ,,Mara nimeshika hiki,,Mara kule,,NIKAMSIKIA ANAANZA KUHEMA KWA NGUVU,,,huku napo yule SHOGA YAKE KUMBE PIA ALIKUWA HAJALALA VIZURI,,nikaona hapa hapa NAWAMALIZA,,nilimshushia SHUGHULI NZITO pale pale kitandani,,huku miguu yngu ikimgusagusa yule SHOGA YAKE,,ikafikia kipindi yule SHOGA YAKE nikamchungulia kwa chati alikuwa anahangaika sn,,maana yule DEMU Wangu alikuwa analalanika kana kwamba TUPO PEKE YETU MLE CHUMBANI,,baada ya SHUGHULI YA KAMA DK 20,,,pakawa KIMYA,,,, huku na Mimi Niki ACT KAMA nimechoka zaidi,,mkono mmoja nimemkumbatia DEMU WANGU,,huku mkono mwingine upo tumboni mwa Yule SHOGA YAKE,,pale pale Yule SHOGA WA DEMU Wangu alizidi KUHANGAIKA,,nilichokifanya nikuendelea KUMCHEZEA,,KATIKA STYLE YA KIMYA KIMYA,, baada ya kama DK 30 ,,demu Wangu akaanza KUKOROMA,,pale pale nikageukia UPANDE MWINGINE,,,NIKAANZA KUMLA YULE MWINGINE,,,KIMYA KIMYA,, alipata taabu sn,,maana na yeye ndy wale wale wa KUPIGA KELELE,,nilikuwa na kazi ya KUMDIDIMIZA JEGEJE,,huku mkono mmoja umemziba mdomo,,ni kama DK 7 hivi,,,nakumbuka NILIPIGA KAMA TAKO 42 HIVI,,, NIPO KILELENI,,nikarudi kumkumbatia BIBIE,,nikashtuka TENA SAA 12 ,ASUBUHI,,namwangalia mtoto bado mtamu,na bado SIJARIDHIKA,,NIKAMWAMSHA DEMU WANGU,,,nikamwambiya akanifulie nguo nje BEFORE HAJAONDOKA,,bila kushtukia mchezo,,akaondoka na kumwacha SHOGA YAKE bado kalala,,,,nikatumia kama 10 dk,,,,hapo nikamalizia BAO LA USHINDI,,,nikatoka nje kusaidiana na DEMU WNGU ,,,baada ya kuwasindikiza KITUONI,,jioni nikapokea UJUMBE toka kwa yule demu kwmba yupo njiani anakuja TENA,,, basi ukawa kama ndy mchezo ,,Leo akija DEMU WANGU,, ksho anakuja SHOGA YAKE,,UKIPATA NAFASI,,,tumia,,,cheza na akili ZAO,,

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh aisee umeandika ndefu utadhani uzi wako huu!! Ila story nzuriiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom