Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Nchi imefungukaDagaa wa kigoma now kilo moja sh elfu 20....
Zamani dagaa ndo ilikuwa chakula cha bei nafuu Sana .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi imefungukaDagaa wa kigoma now kilo moja sh elfu 20....
Zamani dagaa ndo ilikuwa chakula cha bei nafuu Sana .
Aaah ingekuwa si busara maana alikuwa ni demu wa mshikaji,we ungemnunulia sato mkubwa ale siku mbili sato akiisha aende zake ungekupa raha zote za duniaHata kuishi nae muda mrefu ingewezekana
Zinaondoka sana na Turkish airline wenye nchi tunaishia kula kwa machoNchi imefunguka
Utatoboa kufikisha miaka 60Huyu binti alikuwa ni mpenzi wa rafiki yangu,sijui walizinguana nini,saa nne usiku akanipigia simu kuwa amezinguana na rafiki yangu yaani mpenzi wake na hajui atalala wapi hana hata mia mbovu
Nikamwambia njoo ulale kwangu,usiku mrefu ndugu zanguni,nilikuwa naishi kighetogheto chumba kimoja ,itoshe kusema tukalala mzungu wa pili kufumba na kufumbua tuko tunaivunja amri ya sita kimasihara.,shetani mtu mbaya sana
Kesho yake ilikuwa weekend ,sie watu wa pwani tunajua kukirimu wageni,mjinga mimi nikanunua kilo ya nyama akasema hali nyama,ndani kulikuwa na kabeji akasema huwa hali kabeji,nikazunguka genge la jiranikuchukua dagaa akasema dagaa akila anasikia kichefuchefu,nikazunguka nyuma kuchuma matembele nayo hatumii,nyanya chungu na bamia pia hatumii,maarage akasema anasikia kiungulia,anataka samaki tu,
Ugali wa dona akasema hatumii pia.
nilimpuuza siku mbili mpaka alipoanza kula ugalii dagaa nikampa nauli arudi kwao
Nilishangaa jamaa aliwezake kuishi na huyu kiumbe kwa muda wote huo
Mimi bunafsi ni mtu ninayekula kila kitu kasoro sumu,nilikuwa njombe nikaletewa ugali na mboga inaitwa mkalifya ni chungu mithili ya shubiri ila ugali uliisha
Samahan, kwani wewe ni Mngoni😁?Nikamwambia njoo ulale kwangu,usiku mrefu ndugu zanguni,nilikuwa naishi kighetogheto chumba kimoja ,itoshe kusema tukalala mzungu wa pili kufumba na kufumbua tuko tunaivunja amri ya sita kimasihara.,shetani mtu mbaya sana
Mkuu Kuna watu wanakula Ile MICHUNGA,Ile sio mboga bali adhabu,ni chungu hatari
Unakula dagaa?Dagaa wa kigoma now kilo moja sh elfu 20....
Zamani dagaa ndo ilikuwa chakula cha bei nafuu Sana .
Ulitaka kumaanisha Nini🏃🏃Unakula dagaa?
Nilishindwa kabisa kula hiyo mboga mdau.Ulitaka kumaanisha Nini🏃🏃
Jamaa asingeweza kuishi na sex worker kama huyo.Nilishangaa jamaa aliwezake kuishi na huyu kiumbe kwa muda wote huo
Dagaa wa kigoma ni wazuri Sana Kama NYAMA.Nilishindwa kabisa kula hiyo mboga mdau.
Ila mimi ni mpenzi wa jamii zote za samaki kasoro dagaa!
Samaki ninaowafahamu niDagaa wa kigoma ni wazuri Sana Kama NYAMA.
Pia ukerewe Kuna dagaa wakubwa wakubwa Kama SAMAKI wanaitwa FURU.
Pia Kuna SAMAKI KAMONGO unamfaham?
Samaki ninaowafahamu ni
Tasi, changu, sato, sangara, kolekole, pweza, ngisi n.k pengine kamongo namjua kwa kumwangalia.
Dagaa wa Kigoma wakoje? anyway siwajui maybe kwa sababu siko interested.
Kamongo ni huyo wa juu,wa chini kambaleView attachment 3144295
View attachment 3144297
Huyu ndio KAMONGO...Wajita huwa Wana msemo wao "KAMONGO IKO SHINDA NYAMA ILA KWA MAHARAGE IKO TOKA DROO" 😅
Je yule aliyeanza kutumia majani ya mkaratusi na ya mpapai alifikiria kitu gani.Si Bora aliyegundua majani ya kunde....aliyegundua mchunga alikuwa anatafuta nini mara nyanya chungu.....Kabichi sijui alikuwa anataka kugundua nini mara sukuma wiki ...kwanza alianzaje kuona hii mboga ni ya kusukumia wiki ... daaah