Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahhaahha acha izo bhnaah maaaaaanina wallah hapana
hapanaAhhaahha acha izo bhn
SWa unataka nifanye kazi ganihapana
bandari, una push ndinga kali maana haiwezekani baba yake hana gari halaf tuletewe mkwe hata baiskeli hanaSWa unataka nifanye kazi gani
Ahahah baba mkwe si atatuzawadia siku ya harusibandari, una push ndinga kali maana haiwezekani baba yake hana gari halaf tuletewe mkwe hata baiskeli hana
Huyu ni mimi kabisa.Kuna mwingine halali kama huna chandarua na mto. [emoji23]
Mimi parachichi sili, biringanya, nyanya chungu, mlenda, vya kizungu pia kuna vilivyonishinda sausage, canned food, burger.Njaa ni best teacher..Mimi nilikuaga sili parachichi,matango, sikua nakula SENENE.
Ni Kama ukienda gerezani/ boarding school za SERIKALI na hukuwai kuishi hayo Maisha.
Niliendaga na kakikombe kadogo ka uji , siku ya mwanzo nilikuaga nagawa CHAKULA nikaambiwa huyu mgeni ngoja azoee Bagosha soon after Nika adopt.
Waringe kwa maisha yapi?Huyo umkute kwao sasa anavyojilamba ugali na maharage, utashangaa ni yeye au nani?
Nyumbani hawaringi.
Mwanamke huwa anamtreat mwanaume kwa kumwangalia usoni kumsoma udhaifu wake.Huyu binti alikuwa ni mpenzi wa rafiki yangu,sijui walizinguana nini,saa nne usiku akanipigia simu kuwa amezinguana na rafiki yangu yaani mpenzi wake na hajui atalala wapi hana hata mia mbovu
Nikamwambia njoo ulale kwangu,usiku mrefu ndugu zanguni,nilikuwa naishi kighetogheto chumba kimoja ,itoshe kusema tukalala mzungu wa pili kufumba na kufumbua tuko tunaivunja amri ya sita kimasihara.,shetani mtu mbaya sana
Kesho yake ilikuwa weekend ,sie watu wa pwani tunajua kukirimu wageni,mjinga mimi nikanunua kilo ya nyama akasema hali nyama,ndani kulikuwa na kabeji akasema huwa hali kabeji,nikazunguka genge la jiranikuchukua dagaa akasema dagaa akila anasikia kichefuchefu,nikazunguka nyuma kuchuma matembele nayo hatumii,nyanya chungu na bamia pia hatumii,maarage akasema anasikia kiungulia,anataka samaki tu,
Ugali wa dona akasema hatumii pia.
nilimpuuza siku mbili mpaka alipoanza kula ugalii dagaa nikampa nauli arudi kwao
Nilishangaa jamaa aliwezake kuishi na huyu kiumbe kwa muda wote huo
Mimi bunafsi ni mtu ninayekula kila kitu kasoro sumu,nilikuwa njombe nikaletewa ugali na mboga inaitwa mkalifya ni chungu mithili ya shubiri ila ugali uliisha
Kwani we ulitaka kukaa nae kila siku?Kilo ya sato haipungui 12000.
je kwao wanakula sato kila siku
Mkalufyà aa😂Huyu binti alikuwa ni mpenzi wa rafiki yangu,sijui walizinguana nini,saa nne usiku akanipigia simu kuwa amezinguana na rafiki yangu yaani mpenzi wake na hajui atalala wapi hana hata mia mbovu
Nikamwambia njoo ulale kwangu,usiku mrefu ndugu zanguni,nilikuwa naishi kighetogheto chumba kimoja ,itoshe kusema tukalala mzungu wa pili kufumba na kufumbua tuko tunaivunja amri ya sita kimasihara.,shetani mtu mbaya sana
Kesho yake ilikuwa weekend ,sie watu wa pwani tunajua kukirimu wageni,mjinga mimi nikanunua kilo ya nyama akasema hali nyama,ndani kulikuwa na kabeji akasema huwa hali kabeji,nikazunguka genge la jiranikuchukua dagaa akasema dagaa akila anasikia kichefuchefu,nikazunguka nyuma kuchuma matembele nayo hatumii,nyanya chungu na bamia pia hatumii,maarage akasema anasikia kiungulia,anataka samaki tu,
Ugali wa dona akasema hatumii pia.
nilimpuuza siku mbili mpaka alipoanza kula ugalii dagaa nikampa nauli arudi kwao
Nilishangaa jamaa aliwezake kuishi na huyu kiumbe kwa muda wote huo
Mimi bunafsi ni mtu ninayekula kila kitu kasoro sumu,nilikuwa njombe nikaletewa ugali na mboga inaitwa mkalifya ni chungu mithili ya shubiri ila ugali uliisha
Siku ya kwanza kula sausages nilipo tafuna nikaenda kwenye sink kutema 😊😊Mimi parachichi sili, biringanya, nyanya chungu, mlenda, vya kizungu pia kuna vilivyonishinda sausage, canned food, burger.
Vyakula vya shule ni common hivyo vinalika na ukiwa mjanja wa appetiser umetoboa.