Ulishawahi kuwa kwenye mahusisno na msichana anayechagua vyakula? Mimi nilimlaza njaa siku mbili akaanza kula ugali dagaa

Ulishawahi kuwa kwenye mahusisno na msichana anayechagua vyakula? Mimi nilimlaza njaa siku mbili akaanza kula ugali dagaa

Njaa ni best teacher..Mimi nilikuaga sili parachichi,matango, sikua nakula SENENE.

Ni Kama ukienda gerezani/ boarding school za SERIKALI na hukuwai kuishi hayo Maisha.

Niliendaga na kakikombe kadogo ka uji , siku ya mwanzo nilikuaga nagawa CHAKULA nikaambiwa huyu mgeni ngoja azoee Bagosha soon after Nika adopt.
Mimi parachichi sili, biringanya, nyanya chungu, mlenda, vya kizungu pia kuna vilivyonishinda sausage, canned food, burger.
Vyakula vya shule ni common hivyo vinalika na ukiwa mjanja wa appetiser umetoboa.
 
Huyu binti alikuwa ni mpenzi wa rafiki yangu,sijui walizinguana nini,saa nne usiku akanipigia simu kuwa amezinguana na rafiki yangu yaani mpenzi wake na hajui atalala wapi hana hata mia mbovu

Nikamwambia njoo ulale kwangu,usiku mrefu ndugu zanguni,nilikuwa naishi kighetogheto chumba kimoja ,itoshe kusema tukalala mzungu wa pili kufumba na kufumbua tuko tunaivunja amri ya sita kimasihara.,shetani mtu mbaya sana

Kesho yake ilikuwa weekend ,sie watu wa pwani tunajua kukirimu wageni,mjinga mimi nikanunua kilo ya nyama akasema hali nyama,ndani kulikuwa na kabeji akasema huwa hali kabeji,nikazunguka genge la jiranikuchukua dagaa akasema dagaa akila anasikia kichefuchefu,nikazunguka nyuma kuchuma matembele nayo hatumii,nyanya chungu na bamia pia hatumii,maarage akasema anasikia kiungulia,anataka samaki tu,
Ugali wa dona akasema hatumii pia.

nilimpuuza siku mbili mpaka alipoanza kula ugalii dagaa nikampa nauli arudi kwao

Nilishangaa jamaa aliwezake kuishi na huyu kiumbe kwa muda wote huo

Mimi bunafsi ni mtu ninayekula kila kitu kasoro sumu,nilikuwa njombe nikaletewa ugali na mboga inaitwa mkalifya ni chungu mithili ya shubiri ila ugali uliisha
Mwanamke huwa anamtreat mwanaume kwa kumwangalia usoni kumsoma udhaifu wake.

Aina ya mapenzi aliyokuwa akipewa mwenzako ni tofauti na uliyopewa wewe.

Mdeko aliyodekewa mwenzako ni tofauti ulivyodekewa wewe.

Mwanamke hujibadili kama kinyonga kutokana na mazingira pamoja na mihemko ya wamaume, ni wepesi sana hata kuadapt lugha za waume zao.

Kwa hiyo ndugu usiulize mwenzako aliwezaje kuishi naye.
 
Huyu binti alikuwa ni mpenzi wa rafiki yangu,sijui walizinguana nini,saa nne usiku akanipigia simu kuwa amezinguana na rafiki yangu yaani mpenzi wake na hajui atalala wapi hana hata mia mbovu

Nikamwambia njoo ulale kwangu,usiku mrefu ndugu zanguni,nilikuwa naishi kighetogheto chumba kimoja ,itoshe kusema tukalala mzungu wa pili kufumba na kufumbua tuko tunaivunja amri ya sita kimasihara.,shetani mtu mbaya sana

Kesho yake ilikuwa weekend ,sie watu wa pwani tunajua kukirimu wageni,mjinga mimi nikanunua kilo ya nyama akasema hali nyama,ndani kulikuwa na kabeji akasema huwa hali kabeji,nikazunguka genge la jiranikuchukua dagaa akasema dagaa akila anasikia kichefuchefu,nikazunguka nyuma kuchuma matembele nayo hatumii,nyanya chungu na bamia pia hatumii,maarage akasema anasikia kiungulia,anataka samaki tu,
Ugali wa dona akasema hatumii pia.

nilimpuuza siku mbili mpaka alipoanza kula ugalii dagaa nikampa nauli arudi kwao

Nilishangaa jamaa aliwezake kuishi na huyu kiumbe kwa muda wote huo

Mimi bunafsi ni mtu ninayekula kila kitu kasoro sumu,nilikuwa njombe nikaletewa ugali na mboga inaitwa mkalifya ni chungu mithili ya shubiri ila ugali uliisha
Mkalufyàaa😂
 
Mimi parachichi sili, biringanya, nyanya chungu, mlenda, vya kizungu pia kuna vilivyonishinda sausage, canned food, burger.
Vyakula vya shule ni common hivyo vinalika na ukiwa mjanja wa appetiser umetoboa.
Siku ya kwanza kula sausages nilipo tafuna nikaenda kwenye sink kutema 😊😊
Sikuizi nakula Sana sousage Mimi sipendi cabbage, Kuna kipindi nilichukia mchicha maana nilienda ugenini wakawa wanapika UGALI NA MCHICHA CHUKUCHUKU MWEZI MZIMA atakuja mtu mmoja aseme kua ni chai 😀😀
 
Back
Top Bottom